Bongo fleva top 5 yangu ya muda wote

Bongo fleva top 5 yangu ya muda wote

5. Zari la mentari- Prof J
4. Mtumishi wako- Mwana Fa, Banana Zorro
3. Lala salama- Diamond
2. Single Again- Harmonize
1. CNN - Albert Mangwear
 
Fimbo Zangu 5 za Muda Wote Tanzania.



1. Dakika Moja -Ngwea ft Noorah



2. Sister sister - Crazy Gk



3. Tusahau. - O-ten ft Afande Sele



4. Vichwa Shupavu - Amstrong Bandago



5. Atatamani - Linah Sanga.



Bonus



6.Ingewezekana - D knob /Ray C

7. Nasonga mbele - Vivien
 
Kuna wimbo wa Bob Ludala unaitwa Julie kimsingi unanikumbusha CBE sehemu niliyopata heartbreak ya kwanza kwa mtoto wa kichaga
Julie yule mwenye mwanya na hips don't lie!? Julie s.m au?..nimepiga sana yule
 
5. Zari la mentari- Prof J
4. Mtumishi wako- Mwana Fa, Banana Zorro
3. Lala salama- Diamond
2. Single Again- Harmonize
1. CNN - Albert Mangwear
CNN ile verse ya Ngwea ilikua ya hatari sana... alianza kama hatari hivi.

Nilimsikia Farid anasema alishaingiza vocal za verse yake ila baada ya kuskia verse ya Ngwea ikabidi aifute ile ya kwanza ndio akaingiza ile verse yenye unyama mwingi sana " usiniite half man, niite man in a half, you think small, and you'll remain small for life..."

Kwa hapa sikupingi mkuu... huu ulikua muwa kati ya miwa mingi ya Ngwea
 
CNN ile verse ya Ngwea ilikua ya hatari sana... alianza kama hatari hivi.

Nilimsikia Farid anasema alishaingiza vocal za verse yake ila baada ya kuskia verse ya Ngwea ikabidi aifute ile ya kwanza ndio akaingiza ile verse yenye unyama mwingi sana " usiniite half man, niite man in a half, you think small, and you'll remain small for life..."

Kwa hapa sikupingi mkuu... huu ulikua muwa kati ya miwa mingi ya Ngwea
Unaikumbuka ile interview?
Ngwear alikuwa Mnyama sana 😂😂😂
 
1.Dulayo - Naumia roho.
Niliupenda sana wakati nimependa pia na nilikua napitia situation kama hiyo hiyo na kibaya zaid dogo aliimba verse kali tena kwa hisia sana.

2.Dushelele - Alikiba.
Napends miondoka ya huu wimbo, lugha ilotumika na content safi kabisa.

3.Aug'13 - Fd Q
Huu ndo wimbo ulonifanya nimwelewe zaid Fid Q kwa maana uligusa sana maisha yangu kuanzia ushaiti mpaka jina la wimbo hua nautumia kila mwakan kuienzi siku yangu ya kuzaliwa.

4. Utu - Alikiba.
Huu wimbo umepangilia sana kiushairi, beat, sauti na umetulia yani hauna itikadi. Wimbo bora wa Mapenz wa muda wote kwangu.

5.Mtoto wa Kiume - Jeez Mabovu.
Huu wimbo niliusikiq kwa mara ya kwanza mitaani nikiwa mdogo nikiwa kwenue hustle ile ajira za utotoni ulinitia moyo sana na kuanzia hapo sikujichukulia kama mtoto tu bali mtoto wa kiume hivyo kujituma ni wajibu wangu na si mateso.

#Ziko nyingine nyingi nzuri pengine hata zaid ya hizo ila hiz ndizo naweza weka repeat mpaka msanii akaomba maji ya kunywa.
 
1.Dulayo - Naumia roho.
Niliupenda sana wakati nimependa pia na nilikua napitia situation kama hiyo hiyo na kibaya zaid dogo aliimba verse kali tena kwa hisia sana.

2.Dushelele - Alikiba.
Napends miondoka ya huu wimbo, lugha ilotumika na content safi kabisa.

3.Aug'13 - Fd Q
Huu ndo wimbo ulonifanya nimwelewe zaid Fid Q kwa maana uligusa sana maisha yangu kuanzia ushaiti mpaka jina la wimbo hua nautumia kila mwakan kuienzi siku yangu ya kuzaliwa.

4. Utu - Alikiba.
Huu wimbo umepangilia sana kiushairi, beat, sauti na umetulia yani hauna itikadi. Wimbo bora wa Mapenz wa muda wote kwangu.

5.Mtoto wa Kiume - Jeez Mabovu.
Huu wimbo niliusikiq kwa mara ya kwanza mitaani nikiwa mdogo nikiwa kwenue hustle ile ajira za utotoni ulinitia moyo sana na kuanzia hapo sikujichukulia kama mtoto tu bali mtoto wa kiume hivyo kujituma ni wajibu wangu na si mateso.

#Ziko nyingine nyingi nzuri pengine hata zaid ya hizo ila hiz ndizo naweza weka repeat mpaka msanii akaomba maji ya kunywa.
Great choices
 

Bongo fleva top 5 ya muda wote...​

1.Baby Candy-Dully sykes
2.Mech Kali -Solid ground family
3.Singida dodoma-Albert Mangair
4.Taifa la bongo-B town Clan
5.Rud mpenz-BDP
 
Ay-Yule
Banana Zoro- Niko radhi
East coast- Hii leo
Dully sykes- Bijou
Mr Blue- Mapozi
 
Back
Top Bottom