Bongo hakuna wenye sifa ya Uhadhiri? Re-Advertisments zimekuwa nyingi

Bongo hakuna wenye sifa ya Uhadhiri? Re-Advertisments zimekuwa nyingi

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
28,259
Reaction score
41,416
Hello members,

Nimestushwa sana na hii trend ya kutafuta wahadhiri kwa kurudia rudia matangazo kila siku.

Nilikua na mzee mwenzangu leo akanionesha tangazo la kazi za wanataaluma kutoka UDSM zaidi ya wanataaluma 300 huko lakini chakushangaza tangazo linarudiwa!!

Shida ni nini na wasomi wa masters sasa ni wengi mno tofauti na miaka yetu?

Shida ni umahiri? Uzoefu? Ufaulu au nini?

Nini kifanyike kurejebisha hili maana hii imenistua sana.
 

Attachments

Sio tuwaandae vizuri zaidi vijana? Hivi hata course za kiswahili, linguistics, journalism siku hizi zinakosa wataalam? Nimeshangaa!

Vijana wengi wanaosoma hizo kozi na wanajua presentations Hawakazi kwenye masomo chuoni. Wanakula bata tu mwisho wa siku hawafikishi gpa 3.8

Gpa kubwa zimebaki udbs , conas na coet tu
 
Hello members,

Nimestushwa sana na hii trend ya kutafuta wahadhiri kwa kurudia rudia matangazo kila siku.

Nilikua na mzee mwenzangu leo akanionesha tangazo la kazi za wanataaluma kutoka UDSM zaidi ya wanataaluma 300 huko lakini chakushangaza tangazo linarudiwa!!

Shida ni nini na wasomi wa masters sasa ni wengi mno tofauti na miaka yetu?

Shida ni umahiri? Uzoefu? Ufaulu au nini?

Nini kifanyike kurejebisha hili maana hii imenistua sana.
Sio ukubwa wa qualifications tu. Kazi ni highly demanding, time consuming, energy consuming abd relatively poor rewarding. Unaenda kufundisha chuo na MaGPA yako makubwa, uwe unabukua na kuandaa masomo kila wakati lkn mwishowe malipo ni kiduchu ukilinganisha na wenzako waliopambana au watakaopambana kuingia kwingine ndani ya serikali. Na Masters yako, unakuja vijana wa Bachelor wanakuzunguka mara kibao. Wana safari za kilakukicha wakato weww unakomaa kuandaa slides kozi kama 3 hivi au hata kupitia za wenzako. Mara usahibishe mitihani ya wanafunzi wengi. Pointi yangu ni kwamba package za wahadhiri zipitiwe na kuboreshwa. Hata kwa kuhamia hakuna mtu atataka kwemda. Maisha ya wahadhiri nayo yawe bora kama huko TCRA, TRA, BOT, PSSF, NSSF, NHIF na kwingine.
 
Sio ukubwa wa qualifications tu. Kazi ni highly demanding, time consuming, energy consuming abd relatively poor rewarding. Unaenda kufundisha chuo na MaGPA yako makubwa, uwe unabukua na kuandaa masomo kila wakati lkn mwishowe malipo ni kiduchu ukilinganisha na wenzako waliopambana au watakaopambana kuingia kwingine ndani ya serikali. Na Masters yako, unakuja vijana wa Bachelor wanakuzunguka mara kibao. Wana safari za kilakukicha wakato weww unakomaa kuandaa slides kozi kama 3 hivi au hata kupitia za wenzako. Mara usahibishe mitihani ya wanafunzi wengi. Pointi yangu ni kwamba package za wahadhiri zipitiwe na kuboreshwa. Hata kwa kuhamia hakuna mtu atataka kwemda. Maisha ya wahadhiri nayo yawe bora kama huko TCRA, TRA, BOT, PSSF, NSSF, NHIF na kwingine.
Mbona wanadai yameboreshwa?
 
Mbona wanadai yameboreshwa?
Wameboreshaje? Kuboresha sio kuongeza percent. Shida ni packages au remunaration kwa ujumla. Unajua hata walimu wana mishahara mikubwa tu kwa mujibu wa scale za serikali. Lakini tatizo package. Yaani unakuta chuoni mwenye GPA 4.2 anafundisha na kupata nusu ya package anayopata mtu mwenye GPA ya 2.6 huko kwingine. Kama wanataka GPA kubwa basi package zivutie kweli.
 
Sio ukubwa wa qualifications tu. Kazi ni highly demanding, time consuming, energy consuming abd relatively poor rewarding. Unaenda kufundisha chuo na MaGPA yako makubwa, uwe unabukua na kuandaa masomo kila wakati lkn mwishowe malipo ni kiduchu ukilinganisha na wenzako waliopambana au watakaopambana kuingia kwingine ndani ya serikali. Na Masters yako, unakuja vijana wa Bachelor wanakuzunguka mara kibao. Wana safari za kilakukicha wakato weww unakomaa kuandaa slides kozi kama 3 hivi au hata kupitia za wenzako. Mara usahibishe mitihani ya wanafunzi wengi. Pointi yangu ni kwamba package za wahadhiri zipitiwe na kuboreshwa. Hata kwa kuhamia hakuna mtu atataka kwemda. Maisha ya wahadhiri nayo yawe bora kama huko TCRA, TRA, BOT, PSSF, NSSF, NHIF na kwingine.
Wahadhiri wanalipwa Tsh ngapi?
 
Back
Top Bottom