Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Hello members,
Nimestushwa sana na hii trend ya kutafuta wahadhiri kwa kurudia rudia matangazo kila siku.
Nilikua na mzee mwenzangu leo akanionesha tangazo la kazi za wanataaluma kutoka UDSM zaidi ya wanataaluma 300 huko lakini chakushangaza tangazo linarudiwa!!
Shida ni nini na wasomi wa masters sasa ni wengi mno tofauti na miaka yetu?
Shida ni umahiri? Uzoefu? Ufaulu au nini?
Nini kifanyike kurejebisha hili maana hii imenistua sana.
Nimestushwa sana na hii trend ya kutafuta wahadhiri kwa kurudia rudia matangazo kila siku.
Nilikua na mzee mwenzangu leo akanionesha tangazo la kazi za wanataaluma kutoka UDSM zaidi ya wanataaluma 300 huko lakini chakushangaza tangazo linarudiwa!!
Shida ni nini na wasomi wa masters sasa ni wengi mno tofauti na miaka yetu?
Shida ni umahiri? Uzoefu? Ufaulu au nini?
Nini kifanyike kurejebisha hili maana hii imenistua sana.