Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GPA ya 3.8 si kigezo tena. Serikali kupitia kwa Waziri wa Elimu Prof. Mkenda ashakataza watu kuchujwa kwa kigezo cha GPA badala yake washindane kwenye interview. Naona UDSM wamefanya hivo kwenye hizi kazi.Hello members,
Nimestushwa sana na hii trend ya kutafuta wahadhiri kwa kurudia rudia matangazo kila siku.
Nilikua na mzee mwenzangu leo akanionesha tangazo la kazi za wanataaluma kutoka UDSM zaidi ya wanataaluma 300 huko lakini chakushangaza tangazo linarudiwa!!
Shida ni nini na wasomi wa masters sasa ni wengi mno tofauti na miaka yetu?
Shida ni umahiri? Uzoefu? Ufaulu au nini?
Nini kifanyike kurejebisha hili maana hii imenistua sana.
Unajidanganya! Hakufuta kigezo cha GPA alisema GPA peke yake isiwe kigezo vinginevyo tangazo lisingerudiwa!!GPA ya 3.8 si kigezo tena. Serikali kupitia kwa Waziri wa Elimu Prof. Mkenda ashakataza watu kuchujwa kwa kigezo cha GPA badala yake washindane kwenye interview. Naona UDSM wamefanya hivo kwenye hizi kazi.
Halafu TRA mwenye degree ya PASS tu anakunja zaidi ya 2+M gross bado ana allowance kibao.Nimefanya research kwa Masters ni 2.9M gross na degree 1.9M gross
Advantage moja ya uhadhiri ni kuwa, Kwa mtu anayetaka kujiendeleza kielemu ni rahisi na mapema sana anafanikiwa..Yes na ukilinganisha na mwalimu aliyepo sekondari afadhali mara 100 maana kama mtu unavuja jasho hivyo aisee ni hatari!
Nasikia PhD anakula 3.4M gross!!
Watu wengi wanakariri na kusaidiwa na google, ukiwapa wajieleze au waelezee jambo fulani kwa uelewa wao wanaeleza notisiWenye masters wengi GPA za under graduate hazifiki 3.8
Na pia ambao zinafika hawako vizuri kwenye presentations. Hivyo wanafeli interviews
Kujieleza wengi hawaweziNaona undergraduate wanataka 3.8 na Masters 4.0GPA, kwa mtaji huu ina maana wanaopata viwango hivi ni wachache?
Duh!Mathalani, ukitaka undergraduate 3.5 gpa na masters 3.8gpa maana yake average ni 3.6125gpa kimahesabu umeongea hivyo.
Sasa unawaachaje waliopata undergraduate (3.3 &4.0, 3.4&3.9)respgpa,'s au wote wenye average hiyo hiyo?
Kwanza kufundisha wala sio GPA kubwa, kufundisha ni Exposure, Experience and Education ipo mwisho.
Tafuta waseminishaji wa kitaa au wawezeshaji kutoka NGO's au Mashirika mbalimbali mstari unachorwa hapo sio kuwa addicted na gpa
Watu wanaomba kazi wako tayari wana sifa tena wengine wapo na uzoefu wa field hizo hizo we unabaki kukomaa na gpa haya kula gpa zako
Duh!
Kuna vyuo vikuu duniani ukitaka kusoma tu unapitia mchujo mkali utafikiri unaenda kuajiriwa kabisa, halafu una suggest kupunguza standards Kwa wahadhiri wa vyuo?!!!
Ukitaka standards za chini siyo kesi, unaenda tu CBE, IFM, IAA, nk
Degree ya TEKU UALIMU ni bora kuliko ya UDSM, wanafunzi hawajua hata kuandaa teaching aids na learning materials, hajui kuandaa lesson plans, hawajui kuandaa scheme of work, yani hadi lesson notes kuandaa tu shda, chakungaza zaid Had dressing code ni mtihani. SASA utajiuliza akiingia darasani anafanya nn maana hata introduction ya somo hajui inakuaje, development inakuaje and so on. SASA huyo mtu unategemea atakua competent KWELI? WANABEBWA NA MAJINA YA CHUO TU KICHWANI EMPTY KABISA.Halafu kuna kitu kingine hakijatajwa humu...hamna usawa wa ufundishaji na assessment.
Unakuta kozi moja inatumia different assessment tools kutoka chuo kimoja na kingine...huyu yuko chuo A anabanwa mbavu na anapitishwa ktk moto kweli kweli matokeo yake nakuwa competent lakini GPA ndogo huyu wa chuo B habanwi ana GPA kubwa lakini hakidhi competency ktk kila eneo la kile alichobobeaa. Kesho unatumia kigezo sawa Cha GPA kwa watu wawili kutoka ktk mifumo miwili tofauti. This is insane.
GPA ya 3.8 ni kigezo mkuu. Pitia tangazo..GPA ya 3.8 si kigezo tena. Serikali kupitia kwa Waziri wa Elimu Prof. Mkenda ashakataza watu kuchujwa kwa kigezo cha GPA badala yake washindane kwenye interview. Naona UDSM wamefanya hivo kwenye hizi kazi.