Bongo hakuna wenye sifa ya Uhadhiri? Re-Advertisments zimekuwa nyingi

Bongo hakuna wenye sifa ya Uhadhiri? Re-Advertisments zimekuwa nyingi

Nimefanya research kwa Masters ni 2.9M gross na degree 1.9M gross
Sio mbaya. Kinachowatofautisha wao na waalimu wa A-level ni hiyo GPA tu. Mshahara hautoshi kila sehemu. Watumie vizuri faida ya kukopesheka kufanya mambo mengine. Kinyume na hapo watazidi kulaumu tu. Hata hawa wabunge wangekuwa wanapata mishahara tu bado sio nyingi kivile kwa sababu ya wahitaji wengi walio nao. Wahadhiri wajiongeze kwasababu pia wana faida kubwa ya vyuo vingi kuwa mijini.
 
Sio mbaya. Kinachowatofautisha wao na waalimu wa A-level ni hiyo GPA tu. Mshahara hautoshi kila sehemu. Watumie vizuri faida ya kukopesheka kufanya mambo mengine. Kinyume na hapo watazidi kulaumu tu. Hata hawa wabunge wangekuwa wanapata mishahara tu bado sio nyingi kivile kwa sababu ya wahitaji wengi walio nao. Wahadhiri wajiongeze kwasababu pia wana faida kubwa ya vyuo vingi kuwa mijini.
Basi re-advertisement zitaendelea kuwepo. Re-advertisement kila mar ni alarm. Ni ujumbe wa kimya kimya ambao bahati mbaya sio kila mtu/mwajiri naweza kung'amua.
 
GPA kubwa vs package ndogo: utapata nini? Plus ugumu wa kazi yenyewe.
GPA kubwa vs package ndogo: utapata nini? Plus ugumu wa kazi yenyewe.
Yes na ukilinganisha na mwalimu aliyepo sekondari afadhali mara 100 maana kama mtu unavuja jasho hivyo aisee ni hatari!

Nasikia PhD anakula 3.4M gross!!
 
Yes na ukilinganisha na mwalimu aliyepo sekondari afadhali mara 100 maana kama mtu unavuja jasho hivyo aisee ni hatari!

Nasikia PhD anakula 3.4M gross!!
Maslahi vyuo vikuu haivutii kabisa ukilinganisha na muda, nguvu ana akili inayohitajika.
Inakuwa kama kazi ya kujitolea.
Pangekuwa na Mfuko wa Elimu ya Juu kama ulivyo mfuko wa mahakama.
Elimu ya juu ni capital intensive, labour intensive na time intensive. Haiwezi kuhudumiwa kwa bajeti ya ndogo na ada zetu hizi ambazo ukiongeza hata 50, 000/- ni kilio nchi nzima kwa mwaka mzima.
 
Basi re-advertisement zitaendelea kuwepo. Re-advertisement kila mar ni alarm. Ni ujumbe wa kimya kimya ambao bahati mbaya sio kila mtu/mwajiri naweza kung'amua.
Tutachukua hata wa Uganda huko shida academicians wanatakaga kuonekana spesho sana wakati ni ualimu tu kama mwalimu wa darasa la SITA B kama wameipenda kazi wafanye maswala sijui package waje tukomae kitaa waone package za huku [emoji3] alafu dunia linavyozidi kwenda kwenye Artificial intelligence Moja ya taaluma rahisi kunifanyia replacement ni hiyo kufundisha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana wengi wanaosoma hizo kozi na wanajua presentations Hawakazi kwenye masomo chuoni. Wanakula bata tu mwisho wa siku hawafikishi gpa 3.8

Gpa kubwa zimebaki udbs , conas na coet tu
Na hizo ndio Colleges dume sasa hasa hizo mbili za mwisho
 
Kuna shida kuamini kuwa GPA ndio kila kitu na kwa mujibu wao hicho ndicho kigezo cha Msingi

Mambo yanabadilika sana humu duniani lakini wanaojiita wana taaluma wana-assume dunia ipo static

Mathalani, ukitaka undergraduate 3.5 gpa na masters 3.8gpa maana yake average ni 3.6125gpa kimahesabu umeongea hivyo.

Sasa unawaachaje waliopata undergraduate (3.3 &4.0, 3.4&3.9)respgpa,'s au wote wenye average hiyo hiyo?

Kwanza kufundisha wala sio GPA kubwa, kufundisha ni Exposure, Experience and Education ipo mwisho.

Tafuta waseminishaji wa kitaa au wawezeshaji kutoka NGO's au Mashirika mbalimbali mstari unachorwa hapo sio kuwa addicted na gpa

Watu wanaomba kazi wako tayari wana sifa tena wengine wapo na uzoefu wa field hizo hizo we unabaki kukomaa na gpa haya kula gpa zako
 
Panelist wanahusika na shortlisting?
So far...
Wanaanza na shortlisting hapo shortlisters tunawatoa

Shortlisted wanaenda interview, either written, practical, oral or both (in sequence) of which to advance to next interview hapo umefaulu previous one (include being shortlisted from a crowd of applicants). be as it may... Hadi kufika oral which is the last stage in an interview halafu eti wote mlio fika hadi hiyo stage mnakua disqualified hapo inafanyika re-advert dah

What harm will it do kulower standard zao ili kuchukua the best one na sio kuleta mambo zao eti ni mpaka kufikisha a certain pass mark threshold. Hapo unakuta ni unoko tu wa panelist. Kwanza in that room kunakua na pressure, panic and very limited time.
 
Sio tuwaandae vizuri zaidi vijana? Hivi hata course za kiswahili, linguistics, journalism siku hizi zinakosa wataalam? Nimeshangaa!
Hiyo linguistics usiiguse Hilo ni balaa lingine ndiyo maana hata maprof/doctors/ masters graduates ni wachache sn. Na kwa sasa hata enrolment ya undergraduate imekuwa inapungua mwaka hadi mwaka. Course hiyo haina Cha mzungu Wala Mwaafrika ukicheza unakamatwa at any time. It's a course for few individuals. Huko nyuma sheria ndiyo ilikuwa hivyo wachache walibahatika ila kwa sasa fani hii nayo imevamiwa, watu wanasoma kwa wingi. But all in all law is above the law. Ukijua hii kitu vizuri unakuwa huru Duniani, ni zaidi ya kuwa baunsa.
 
Hiyo linguistics usiiguse Hilo ni balaa lingine ndiyo maana hata maprof/doctors/ masters graduates ni wachache sn. Na kwa sasa hata enrolment ya undergraduate imekuwa inapungua mwaka hadi mwaka. Course hiyo haina Cha mzungu Wala Mwaafrika ukicheza unakamatwa at any time. It's a course for few individuals. Huko nyuma sheria ndiyo ilikuwa hivyo wachache walibahatika ila kwa sasa fani hii nayo imevamiwa, watu wanasoma kwa wingi. But all in all law is above the law. Ukijua hii kitu vizuri unakuwa huru Duniani, ni zaidi ya kuwa baunsa.
Linguistics ina ugumu gani mzee?
 
Back
Top Bottom