Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hamna Serikali hapa Duniani inaweza ikawalipa watu wote mishahara mikubwa,utasababisha matatizo katika uchumi wa Nchi.Sio ukubwa wa qualifications tu. Kazi ni highly demanding, time consuming, energy consuming abd relatively poor rewarding. Unaenda kufundisha chuo na MaGPA yako makubwa, uwe unabukua na kuandaa masomo kila wakati lkn mwishowe malipo ni kiduchu ukilinganisha na wenzako waliopambana au watakaopambana kuingia kwingine ndani ya serikali. Na Masters yako, unakuja vijana wa Bachelor wanakuzunguka mara kibao. Wana safari za kilakukicha wakato weww unakomaa kuandaa slides kozi kama 3 hivi au hata kupitia za wenzako. Mara usahibishe mitihani ya wanafunzi wengi. Pointi yangu ni kwamba package za wahadhiri zipitiwe na kuboreshwa. Hata kwa kuhamia hakuna mtu atataka kwemda. Maisha ya wahadhiri nayo yawe bora kama huko TCRA, TRA, BOT, PSSF, NSSF, NHIF na kwingine.
Hizo taasisi ulizozitaja ndio zipo miongoni mwa taasisi 200 za Serikali zinazolipa vizuri but napo mishahara yao sio mikubwa kama watu wanavyoaminishwa.
Hata mishahara ya hao ma lectures in mikubwa tena sana uki compare na walimu wengine.