Bongo hakuna wenye sifa ya Uhadhiri? Re-Advertisments zimekuwa nyingi

Hamna Serikali hapa Duniani inaweza ikawalipa watu wote mishahara mikubwa,utasababisha matatizo katika uchumi wa Nchi.

Hizo taasisi ulizozitaja ndio zipo miongoni mwa taasisi 200 za Serikali zinazolipa vizuri but napo mishahara yao sio mikubwa kama watu wanavyoaminishwa.

Hata mishahara ya hao ma lectures in mikubwa tena sana uki compare na walimu wengine.
 
Tatizo ni Kiinglishi 😀
 
Mtoa mada,kuna matatizo yaliibuka mwaka au miaka 2 iliyopita katika kutafuta Walimu wa kufundisha vyuoni-Kati ya Serikali na Uongozi wa vyuo katika kuwapata walimu.
hali hiyo ndio imepelekea chanzo cha hayo yote.
Nitaelezea vizuri nikipata muda.
 
Kwanza katika watu wanalipwa vizuri na hao,Walimu wa vyuo hawana kazi ngumu kama wale wa O-level,primary na advance.
 
Mtoa mada,kuna matatizo yaliibuka mwaka au miaka 2 iliyopita katika kutafuta Walimu wa kufundisha vyuoni-Kati ya Serikali na Uongozi wa vyuo katika kuwapata walimu.
hali hiyo ndio imepelekea chanzo cha hayo yote.
Nitaelezea vizuri nikipata muda.
Mkuu njoo uelezee aisee sababu huwa najiuliza kwanini TAs wengi hawaajiliwi wakati ni msingi Wa kuwa na wabobezi wengi,ni aibu unakuta kuna vyuo maprof wanafundisha certificate students.
 
UFAULU

Elimu ya chuo kikuu Ili upate upper second au first class....
Ina bidi sacrifice sana...kujitoa sana na Mwenyezi MUNGU awe upande WAKO daily.....

Na huo msako wa first class na upper second unatakiwa uuanze tangu First semester ya mwaka wa kwanza.....

Mm nilikuja kupata awereness mwaka wa kwanza semester ya pili....mtanange ukawa mgumu pambania sana KOMBE...

Nika fall in love na masomo nikawa BOOK MONGERS...

Yaan NDIO Nika ishia 3.5 nakumbuka Kuna watu wakinionaga nao wanapata mshituko am 4 real am 4 real Duniani 🌍 hakunaga mtu mwembamba😎
am 4 real hatukuwai kujua utakuja kunenepa....

Hapa sijazungumzia Favoritism huko masomo vyuoni....
All in all Kupata first class au upper second class need dedication....

Hata Kwenye course za social science sio lelemama usipo kua makini unaishia pass na lower second class
 
Si ndio maana hawaombi.
Hozo fani ukiangalia ni kali sana mitaani wachache sana huenda kusoma.masters

Sababu first degree tu.huwa zinawawezasha kuajiriwa au kujiajiri

Wakishaingia soko la ajira wengi huwa hawana mpango wa kurudi kusoma Masters

Chuo waombe kibali waajiri toka nje ya nchi nchi za Sadc watawapata
 
walikuwa too ambitious kuset GPA! GPA ya 3.8 undergraduate ni kubwa sana na haina msingi wowote. Gpa ya undergraduate ingetakiwa iwe upper second ambayo inaanzia 3.5 - 3.99 na kwa upande wa masters ndiyo iwe 3.8 and above. kisha wafanye udahili mwingine kuhakikisha mhusika anaweza kudeliver kulingana na GPA yake. Too much is harmful sasa tunajenga mazingira ya kutafuta wahadhiri wa nje angali vijana wetu hawana ajira
 
Kwa mantiki hiyo unataka kusema mwenye GPA za gentleman aje awafundishe watu Chuo kweli haki kweli.

Wako sahihi kabisa first uwe na GPA kubwa then tuoneshe uwezo wa kufanya presentation na ukaeleweka
 
Sure. Walegeze kidogo hadi 3.5. Usikute kuna wa 3.5, 3.6, 3.7 wanatamani kuomba.
 
Wengi tumesoma hapo mlimani. Na unakuta wenye hizo GPA kwa darasa hawazidi 5 hasa kwa natural science, technology and engineering.
Sasa hao ndio vyuo vigawane na soko lingine la ajira private and public. Na mtu mwenye uwezo akishazama private au central gvt, kutoka inakuwa ngumu sana.
 
Naweza kukuelewa sasa, nini kifanyike?
GPA ya 3.8 undergraduate haina uhalisia. kigezo kiwe uppersecond class kuanzia 3.5 na kwa masters iwe kuanzia 3.8. SUA zamani walikuwa na vigezo hivi ila harmonized scheme imepandisha. na wahadhiri wa SUA waliokuwa wanapatikana walikuwa wazuri tu kupitiliza! makerere gpa wanaanzia 3.5 kwa first degree na masters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…