Hao mabongo movie ni waganga njaa tu wanashindwa kufanya kazi ikaonekana wanaanza majungu ya kilumumbaSikiliza wewe usitake kutuzingua...
Soko ni bidhaa yako tu..
Kariakoo maduka ya nguo kibao, hapa shati sh. 20,000 lkn duka la pili shati sh. 50,000. Na biashara inafanyika.
Mbona hamna longolongo???
Mbona wengine wananunua?Achana na hayo mambo arawa... NANI ANUNUE UCHAFU????
Wafunge private tv zote ili tuitazame tbcUpuuz mkubwa, katik zam hiz kuzuia mov za nje kisa kkuza bongo movie, maana ya globalization haipo. Tunapoelekea watazuia na mpira wa nje ili kkuza soka LA bongo. Ushaur tuzuie na BBC, DW, BNC, na zinginezo ili kkuza Uhuru wa habari TZ pia
Mkuu upo kama mimiSijawahi na sitegemei kununua bongo movie
Mbona hatuoni sticker kwenye CD zake?
Wajibu upiHuwezi kudai haki kabla hujatimiza WAJIBU..
Nani ameshalipwa mshahara kabla ya kufanya kazi?????!!!??
Kweli kabisa mkuuBongo muvi wanangalia mabeki tatu
Haiwezekani mimi engineer mzima nikakaa chini naangalia upuuzi wa bongo muvi.
Njaa inawapeleka putaWaache upumbavu mbona wakati kanumba yupo mark alikuwepo na bado muvi za bongo ziliuza.
Kodi ni lazima awe na sticker za tra kama hana hizo atakuwa analipa kodi ya biashara ya CD tu.Kodi ya kazi zao go to his office hao wanaotaka kumshitaki wajipange
Movie sio mashati kuna haki za msanii n.k mashati hawana copyrightSikiliza wewe usitake kutuzingua...
Soko ni bidhaa yako tu..
Kariakoo maduka ya nguo kibao, hapa shati sh. 20,000 lkn duka la pili shati sh. 50,000. Na biashara inafanyika.
Mbona hamna longolongo???
Wanatakiwa walipe kodiUpuuz mkubwa, katik zam hiz kuzuia mov za nje kisa kkuza bongo movie, maana ya globalization haipo. Tunapoelekea watazuia na mpira wa nje ili kkuza soka LA bongo. Ushaur tuzuie na BBC, DW, BNC, na zinginezo ili kkuza Uhuru wa habari TZ pia
Haya maigizo kuna jamaa pale ubungo huwa ana kilaptop anawajazia kwenye flash zao madereva nasikia wengine wanalipwa,hakuna kero kama hii ya a an safari InaboaWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Tatizo ni shule mkuu.Huwa najiuliza hivi bongo movie nani kati yao hata anasifa za kusimama ktk media na kulia lia?
upuuzi wa kiwango cha lami unapotaka kumshtaki mtu nawakati ww siyo mmiliki
Mlela na wenzie ni wapuuzi wasiokuwa na akili hata kidogo ujinga ujinga tu ndo unaowasumbua na kukomaa kabla ya wakati
wapuuzi mno! tena vihiyo vya hali ya juu mno!
On what ground sidhani kama watakuwa na locust moreover sioni violation ya sheria unless wenye movie hizo za nje washitakiAkiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.
Mbona hata wao zao zimetafsiriwa tena kwa broken English watu hawasemiBongo movie wameishiwa swagga, sasa kwa mfano jamaa (Dj Murphy) akafuata taratibu za kulipa kodi na taratibu zote halafu akaendelea kutafsiri, watakuja na swagga gani tena?
Ni hao wengine. SISI HATUTAKI.Mbona wengine wananunua?