Kujipanga ni pamoja na kuwa na soko la hakiHivi kuna mtu mzima anaweza kuangalia huo up....zi unaoitwa BONGO MOVIES? Wanatafuta wa kumlaumu tu. Wakae chini wajipange ila siwezi kupoteza muda wangu kungalia hayo maigizo yao artificial!!! Bora wacheze kiduku na kuvaa sare za nyinyiemu ndo watapata mkate wao wa kila siku tu!!!!
Lazima walipe kodiWaache njaa wanashindwa kufanya kazi nzuri zenye ubunifu wanahangaika na watu wanaotafuta ridhiki mara walalamikie wamachinga. BONGO MOVE NA BADO MPAKA MPATE AKILI .....USAWA HU HABEBWI MTU hakuna cha mutoto ya ng'ombe wala ndama
Sasa wanahangaika nini?i mean mnahangaika nini bongo movieHaujakatazwa kuangalia
Amesata huyo yani.tangazo dar au nchi zima movie za nje azitakiwi maana silewi.maana huku kwetu nje ya dar tunakodisha kununua. vibanda kibaoAkiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.
Me huwa napanda Ktk mabasi ni bwiii.likisima sehemu ya Kila kuchimba dawa naongeza ili niangalie tuWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Hakuna jambo linanikera kama hili,alafu wanafungulia sauti kubwa,wanashindwa kuelewa kuwa si kila abiria anapenda hayo mashudu,alafu wakimaliza hapo wanaanza kupiga nyimbo za msondo afu zinafuatana kama nane hiviWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Nadhani huu ni ushauri wa BASHITE.......zero adviceBongo movie kabisa wamekaa wameona solutions no kumshitaki DJ muphy? Haihitaji elimu ya chuo kikuu hawa jamaa wanatapatapa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Wanamtafuta mchawi wakati mchawi ni wao wenyeweWanapigania haki ya soko
Hakuna jambo linanikera kama hili,alafu wanafungulia sauti kubwa,wanashindwa kuelewa kuwa si kila abiria anapenda hayo mashudu,alafu wakimaliza hapo wanaanza kupiga nyimbo za msondo afu zinafuatana kama nane hivi
Ray anatoa Movie mbili yenye part 1 & 2 kila wikiWananitia hasira sana badala wakae chini wajipange jinsi ya kujiongeza wao wanakaa kulumbana mno na kufanya yasiyo ya msingi..
WANAZIDI KUNIPA SABABU ZA KUTOWA_SUPPORT
Bashite kawingiza choo cha jinsi tofautiWaambieni hao bongo lala wachape kaazi waache ukumbafu.