Ttzo anayewaahauri nae ni Zero brain.Hahaa aisee ni kichekesho cha mwaka. Bongo movie wamejiharibia wenyewe hasa baada ya kuikurupukia insta kwa pupa,wana majibu ya dharau sana mitandaoni,nyodo nyingi,kujionesha wana hela sana bila kusahau movie zao chini ya kiwango wakwendree tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..bora umesema mkuuWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Wawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Naona hawa bongo movie akili zao zimehamia kwenye makalio..Akiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.
Kodi gani. Kodi ziko nyingi Je anapewa sticker za kuandika kwenye CD zakekwan kodi wanalipa kanisani au tuulize sisi wakazi wa pasua ndo tunamjua vizur arifu
Wanakeraga kinoma.mi huwa nawakomalia wapunguze sauti.alafu selection yao ua muvi na muziki ni mbovu mno.alafu sijui wote wanatumia CD mojaKatika kero yangu kubwa kwenye mabasi ni yale ma-tv yao hakika yananikera na utadhani wamerogwa maigizo ulioyaona Dar Lux utayakuta Shabiby,jana nimeamua kupanda Sai baba toka Dar–Sumbawanga kwa kua nilijua hawana tv wala redio ingawa scania imechoka ila nilikua na amani kwa kua kero ya bongo movie nilijua haipo.
Tena ukiwaambia, "BONGO MOVIE KAONDOKA NAYO KANUMBA ", wanavimba kwa hasira mpaka wanataka kupasuka.. Lakini ndio ukweli.Hawa wenyewe si wanaigaga mikato ya mbele haki walai bongo movie kaondoka nayo s.kanumba kwa kweli R.I.P
Nenda katwange makopaSio wote
HII NDIO SIRI KUBWA YA WATANZANIA KUCHUKIA BONGO MOVIE... mengine yote ni madogo madogo..Hao wacha wapigike na bado wataendelea kupigika hadi akili itakavyowarudia maana na laana za watanzania kwa jinsi walivyoegemea ccm kipindi cha uchaguzi
Kodi ya kazi zao go to his office hao wanaotaka kumshitaki wajipangeAnalipa kodi gani?
Sikiliza wewe usitake kutuzingua...Kujipanga ni pamoja na kupambana na soko la haki
Huwezi kudai haki kabla hujatimiza WAJIBU..Wanataka haki