Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #161
Mkuu I said it in their CONTEXT course wanafanyaga reference ya kile kipindi cha Kanumba wanasema the market was good.
Pia kiukweli uwezi ukafananisha hali ya kipindi kile na sasa hivi when it comes to sales of movies. Kipindi kile movie zilikuwa mbaya but soko lilikuwa zuri kipindi hiki ubora vumeongezeka compared to zamani lakini soko hamna kabisa
Sasa tunaenda sawa.
Movie zilikuwa mbaya na zilikuwa zinapendwa kwa sababu ya jamii kuwa gizani, elimu duni, na mitandao ilikuwa bado haijachanganya.
Wasanii walipaswa wabadilike kulingana na nyakati, waligundue hili mapema kabla haijala kwao, wao wakazubaa.
Kipindi kile ishu sio kuigiza, ishu ilikuwa ni kuonekana kwenye TV bila kujali unaongea nini, nchi ilikuwa ushambani, sasa kila mtu ni mjanja kasoro tuu waigizaji ambao wanadhani jamii yao ni ile ile.