Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Ndio mmkome kwenda kula chakula kwake
 
Kiukweli nilishangaa sana kumuona Shilole kwenye jopo la majaji,nikajiuliza kwa muziki na uimbaji wa Shilole anaenda kujaji nini pale?...Ila baadae nikakumbuka mwenye shindano ni Ritha,hajui mziki ila amelazimisha na yeye awe jaji.Upuuzi juu ya upuuzi.
 
Eti rita nae jaji ebu imagen
 
Wewe shilole ushinde tuzo kwa mziki upi?
 
Anatema ng’onda ile kishenz nliendaga shishi fud kule ada estate na mwanangu kabla hawajamvunjia kmmk aisee acha kabisa yan na ule mwili anavuja jaso lina nuka kama gari la mavi lile la manispaa ya kinondoni
Shilole anajasho baya sana nilishangaa kuona anamwambia vile yule jamaa wakati yeye mwenyewe ana tatizo hilohilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…