Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Baada ya kumcheka kwanza.

At least Master J alionyesha utu lakini athari ilishatokea.

Kati ya wote pale, Shilole ndio anapaswa kujua hasa maana ya kunuka jasho sababu ya dhiki maana kakulia kwenye ufukara, lakini yeye ndie amekuwa wakumdhalilisha mwanamke mwenzie.

Nimemchukia na kumdharau Shilole kwa hili.
Ndio mmkome kwenda kula chakula kwake
 
Kiukweli nilishangaa sana kumuona Shilole kwenye jopo la majaji,nikajiuliza kwa muziki na uimbaji wa Shilole anaenda kujaji nini pale?...Ila baadae nikakumbuka mwenye shindano ni Ritha,hajui mziki ila amelazimisha na yeye awe jaji.Upuuzi juu ya upuuzi.
 
Kiukweli nilishangaa sana kumuona Shilole kwenye jopo la majaji,nikajiuliza kwa muziki na uimbaji wa Shilole anaenda kujaji nini pale?...Ila baadae nikakumbuka mwenye shindano ni Ritha,hajui mziki ila amelazimisha na yeye awe jaji.Upuuzi juu ya upuuzi.
Eti rita nae jaji ebu imagen
 
Nyinyi ndio mnavumisha ujinga hi o nekane kipindi cha hivyo, I already say yaweza kua hata hakua ananuka kwapa Ila nyinyi wanazengo kwa kuvumisha Mambo tena mnapenda yale Mambo machafu machafu ndio mnayavumisha mngesikia kashinda tunzo sehemu fulani hakuna ambae angesema kwanza mngefunikafunika tu watu wasijue au mngeanza kwa kuponda kashindaje huyu hasitahiri alistahiri fulani, stop
Wewe shilole ushinde tuzo kwa mziki upi?
 
Anatema ng’onda ile kishenz nliendaga shishi fud kule ada estate na mwanangu kabla hawajamvunjia kmmk aisee acha kabisa yan na ule mwili anavuja jaso lina nuka kama gari la mavi lile la manispaa ya kinondoni
Shilole anajasho baya sana nilishangaa kuona anamwambia vile yule jamaa wakati yeye mwenyewe ana tatizo hilohilo.
 
Back
Top Bottom