Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Punguza ujinga,Kumbe bado kuna watu mnafatilia huo upuuzi 🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ujinga,Kumbe bado kuna watu mnafatilia huo upuuzi 🤔🤔
Master J hajui mziki? Alafu acha kujitia unajiharibia namaanisha kujitia ujuaji
Unacho ona wewe kinafaa kwa wengine ni upumbavu tuuPunguza ujinga,
Acha ujinga,Unacho ona wewe kinafaa kwa wengine ni upumbavu tuu
ujinga gani zaidi ya ujinga wako?Acha ujinga wewe,
Sawa mjinga mwingineAcha ujinga,
Nimekuuliza Master Master J alitengeneza mapin kibao hajui mziki?Hapa tunamzungumzia Shilole kuwa jaji kwenye shindano la kusaka vipaji vya uimbaji, mbona unahaha? Hoja yangu ni Shilole hana sifa za kuwa hapo.
Ndio tatizo lenu watu wenye uelewa mdogo, mtu akiwaeleza mapungufu mnamuona mjuaji.
Soma comment yako hio, ndio maana nakwambia kichwani kwako kuna kitu hakijakaa sawa Juzi haukulia kweli wewe? Mlipigwa mkonoWaambie waache mizaha, watafute watu wanaoujua muziki ndio wawe majaji.
Kwa hio we ni mjinga ?)Sawa mjinga mwingine
Na wewe unakosa vipindi vya kuangalia mpaka ukaangalie BSS? Si bora ungeangalia hata marudio ya mpira wa Makolo FC Vs Utopolo FC? Au TOM & JERRY?Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.
Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?
Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?
Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?
Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.
Acheni huu udhalilishaji
We umekubari we ni mjinga ?)ujinga gani zaidi ya ujinga wako?
Daa nimecheka sana aisee ,eti yeye ndo atakuwa shilolePASI NA SHAKA WEWE UTAKUWA NI SHILOLE.
KATIKA UZI HUU NI WEWE PEKE YAKO NDIO HUONI KOSA KWA KILICHOFANYIKA KWENYE HIYO VIDEO.
DADA SHISHI ENDELEA KUUZA UBWABWA UMAARUFU WA KINGESE WA KUDHALILISHA WENZIO ACHANA NAO.
Usituharibie uziNa wewe unakosa vipindi vya kuangalia mpaka ukaangalie BSS? Si bora ungeangalia hata marudio ya mpira wa Makolo FC Vs Utopolo FC? Au TOM & JERRY?
Ujinga tuDaa nimecheka sana aisee ,eti yeye ndo atakuwa shilole
Nimekuuliza Master Master J alitengeneza mapin kibao hajui mziki?
Soma comment yako hio, ndio maana nakwambia kichwani kwako kuna kitu hakijakaa sawa Juzi haukulia kweli wewe? Mlipigwa mkono
usitake ligi ya matusi jadili hojaWe umekubari we ni mjinga ?)
Eehe kumbavu Sana kumbe shilole Ni mpumbavu HV shemzi sna nimechukia sna natamani nimnaze makofiHiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.
Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?
Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?
Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?
Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.
Acheni huu udhalilishaji
Ndio maana uchebe alikuwa anamnaza makofiHiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.
Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?
Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?
Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?
Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.
Acheni huu udhalilishaji
Ime niumiza sana hii mm napenda sana kwenda kula kwenye mgahawa wake,lakini kwa hili basi nimejisikia vibaya sana.Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.
Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?
Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?
Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?
Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.
Acheni huu udhalilishaji