Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Master J hajui mziki? Alafu acha kujitia unajiharibia namaanisha kujitia ujuaji
Hapa tunamzungumzia Shilole kuwa jaji kwenye shindano la kusaka vipaji vya uimbaji, mbona unahaha? Hoja yangu ni Shilole hana sifa za kuwa hapo.

Ndio tatizo lenu watu wenye uelewa mdogo, mtu akiwaeleza mapungufu mnamuona mjuaji.
 
Hapa tunamzungumzia Shilole kuwa jaji kwenye shindano la kusaka vipaji vya uimbaji, mbona unahaha? Hoja yangu ni Shilole hana sifa za kuwa hapo.

Ndio tatizo lenu watu wenye uelewa mdogo, mtu akiwaeleza mapungufu mnamuona mjuaji.
Nimekuuliza Master Master J alitengeneza mapin kibao hajui mziki?
Waambie waache mizaha, watafute watu wanaoujua muziki ndio wawe majaji.
Soma comment yako hio, ndio maana nakwambia kichwani kwako kuna kitu hakijakaa sawa Juzi haukulia kweli wewe? Mlipigwa mkono
 
Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.

Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.

Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?

Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?

Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?


Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.

Acheni huu udhalilishaji
Na wewe unakosa vipindi vya kuangalia mpaka ukaangalie BSS? Si bora ungeangalia hata marudio ya mpira wa Makolo FC Vs Utopolo FC? Au TOM & JERRY?
 
PASI NA SHAKA WEWE UTAKUWA NI SHILOLE.

KATIKA UZI HUU NI WEWE PEKE YAKO NDIO HUONI KOSA KWA KILICHOFANYIKA KWENYE HIYO VIDEO.

DADA SHISHI ENDELEA KUUZA UBWABWA UMAARUFU WA KINGESE WA KUDHALILISHA WENZIO ACHANA NAO.
Daa nimecheka sana aisee ,eti yeye ndo atakuwa shilole
 
Nimekuuliza Master Master J alitengeneza mapin kibao hajui mziki?
Soma comment yako hio, ndio maana nakwambia kichwani kwako kuna kitu hakijakaa sawa Juzi haukulia kweli wewe? Mlipigwa mkono
Wewe sidhani kama una shida kichwani, ila naona kabisa una tatizo la uelewa. Na kama hujanielewa hadi sasa basi huwezi kunielewa mpaka ujielewe mwenyewe.
 
Kwan wamelazimishwa kushiriki
Lakin pia ni kosa sana kua na kipaji na ujui ni wap kipaji chako kinaweza onekana
 
Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.

Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.

Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?

Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?

Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?


Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.

Acheni huu udhalilishaji
Eehe kumbavu Sana kumbe shilole Ni mpumbavu HV shemzi sna nimechukia sna natamani nimnaze makofi
 
Ndio
Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.

Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.

Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?

Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?

Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?


Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.

Acheni huu udhalilishaji
Ndio maana uchebe alikuwa anamnaza makofi
 
Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.

Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.

Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?

Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?

Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?


Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.

Acheni huu udhalilishaji
Ime niumiza sana hii mm napenda sana kwenda kula kwenye mgahawa wake,lakini kwa hili basi nimejisikia vibaya sana.
 
Back
Top Bottom