Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Ni uelewa Mdogo
Sana
 
Sawa Sawa mm maskin pia sjawaza kbsa kuoa kabla sna pesa naangalia watt wang wasije ish maisha ya ovyo umeongea ukweli kbsa umaskin mbaya
 
Sawa, ukiachana na hiyo "****" uliyonayo una kitu gn cha ziada mpaka uolewe na tajiri?

Kwa taarifa yako matajiri hatuoi takataka za aina hii
 
Umeandika kwa uchungu sana kimekusibu nini hasa?
 
Mimi ni ME, Ila hatupaswi kumtukana huyu mleta mada kwa sababu kasema mawazo yake na napenda tuyaheshimu , alitaka Mzee mwenye pesa sawa duniani tumepewa Uhuru wa kuchagua , kama haitaki siye vijana tusio na kitu sawa, Mungu humpa kila mja mtu wake hata yeye atampata wa kwake masikini au tajiri hatujui Ila tukumbuke Mungu ni mkubwa kuliko mawazo yetu. Wacha HATMA iyamue ,wakubwa watanielewa.
 
Umepotea sana.. kumbe ulipata jiko au ulipatwa?.. pole kwa yaliyokusibu..

Ila kuna topic na ni wewe.. nimecheka sana 😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…