Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Ila jinsia ya mtoa mada ni tata kidogo, siku zingine ni dume, wakati mwingine ni jike.
 
Umasikini ndio driving factor inayowasukuma wanawake wengi kuingia kwenye ndoa na sio kwamba wanajua nini maana ya ndoa. Wao maadamu una pesa tu na ukamuweka SAwa mama mkwe umebeba jiko. Thus mama mkwe kama anufaiki na ndoa ya binti yake yaani umefulia tambua upo kwenye traffic lights, mda wowote tu taa inaweza badilika.
Wanawake tuonee huruma sio KILA wakati tuna pesa wakati mwingine down ni nyingi lakini mkumbe na ups ipo pia.
Leo shida ni za kwako raha ya wote. Shida na raha ni kiapo kinachoishia mlongoni kanisani.
 
Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.

Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.

Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.

Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?

Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.

Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini hisababisha magonjwa ya kizembe na ku.pelekea mtu kufa kizembe.

Usikubali kuolewa na maskini.
Kumbe! Mnatafuta kuinjoi mali za wenzio ambazo hamjui zimepatikana je! Kutafuta mali pamoja na kijana mwenzio mnakwepa eeh?
 
Kwanini mnafanya upendo/mapenzi yawe based and depending on material things??
Huwezi kumpenda mtu kwakua unampenda?
Ukiangalia kwenye familia nyingi anaependwa na kusikilizwa ni yule mwenye pesa. Sasa patia picha kwa watu wasio na undugu na wewe, hii dunia ya sasa upendo na material things vimegandana na mtu anaweza kukuvumilia akiona kuna dalili ya better days lakini nayo hii ina expiry date. Akikuona unaendelea kuwa hopeless anaondoka

Siamini katika kuwathamini watu kutokana na vitu wanavyomiliki Ila ndio dunia ya sasa ilivyo
 
Back
Top Bottom