Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Ni mbaya sna mwanaume kupata mtoto wa kike bila kujipanga kimaisha , tunakuja kutoa Malaya kama mtoa mada , yeye anachoona cha ku ofa kwa mwanaume ni mbususu tu.
Exactly bro Mungu asaidie kazi ya mikono yetu
 
Uko sahihi.

Na wewe kijana, kama hujatafuta mali ni bora usioe. Sio kujidai kuoa oa na kuanza kutesa familia kuwalazimisha wale nguna na maharage kila siku. PUMBAVU!
Nadhani kwa mtazamo wangu sio suali la kuoa au kutooa bali ni suali la kuanzisha familia, maana kuna watu wengi hawajaoa lakini wana watoto kila pembe ya nchi. Ni bora mtu uhangaike mwenyewe bila ya kuleta kiumbe chengine duniani kije kuteseka nawe. Kama umeamua kuwa na mahasiano na mwanamke kumbuka kuvaa raba kila unapokwenda kwenye mechi kumbuka "no condom, no sex" policy!!!!
 
Nadhani kwa mtazamo wangu sio suali la kuoa au kutooa bali ni suali la kuanzisha familia, maana kuna watu wengi hawajaoa lakini wana watoto kila pembe ya nchi. Ni bora mtu uhangaike mwenyewe bila ya kuleta kiumbe chengine duniani kije kuteseka nawe. Kama umeamua kuwa na mahasiano na mwanamke kumbuka kuvaa raba kila unapokwenda kwenye mechi kumbuka "no condom, no sex" policy!!!!
Binadamu wengi hasa waafrika ni wakatili na wenye roho mbaya sana, analeta viumbe wakati hana uwezo hata wa kuwalisha tu chakula, watoto wanavaa vinguo vimechanika yeye hajali, kila mwaka anamzalisha mkewe.

Ni roho mbaya na ukatili uliopitiliza.
 
Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.

Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.

Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.

Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?

Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.

Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini husababisha magonjwa ya kizembe na kupelekea mtu kufa kizembe.

Usikubali kuolewa na maskini.

UPDATES;
Nimesoma comments zenu zote. Lakini nasema hivi "Mm sitaki kuteseka duniani na ahela. Yaani niiishi kwa shida kisa eti nampenda kidudu-mtu asiye na hela. Naanzaje kwanza? Ujana wako wa kimaskini peleka kuchanganya zege huko!!"
Peleka matako kwa Waturuki wa Yapi Merkezy wakupe hela za bure
 
Vijana wa siku hizi wakikutongoza swali la kwanza unaishi kwako au umepanga inaonekana wanapenda sana mtelemko sana
 
Umenena vyema mleta post.

Ndoa na umasikini ni mateso matupu.
Duniani mwanamke anayeweza vumilia njaa hayupo...

Tafuta pesa kwanza,,
Ndoa baadae.
Watu wanasema tu hapa mkuu. Lkn ndoa nyinginzinasheki kwasabb ya umaskini. Furaha ya ndoa inakosekana kama hela hakuna
 
Vp Mr Bwegez? Hivi kwann yule mwanachuo alikuchinja kikatili namna hiyo?
Mkuu nilishaleta mrejesho humu muda mrefu,,

Kuna siku nimekutana nae yule demu wa chuo,,
amechoka balaa,,
Yupo na jamaa mmoja amevaa shati limepauka mgongoni katupia na suruali,,jamaa amekaza mkanda balaa,, hatà kiuno kikawa kidogo kama cha ngedere,,

Yule Mwana chuo nishapiga chini muda mrefu,,
Sasa Nina mtoto mbichi hatàri,, hajaanza hata kuongea maneno vizuri...

Mtoto lainiiiii ,,so cutest.

Tafuta Maisha mkuu,.,warembo wapo tu..

Kuoa na huna kitu ni sawa na kukumbatia mtungi wa gesi mbovu huku jiko linawaka.
 
Mkuu nilishaleta mrejesho humu muda mrefu,,

Kuna siku nimekutana nae yule demu wa chuo,,
amechoka balaa,,
Yupo na jamaa mmoja amevaa shati limepauka mgongoni katupia na suruali,,jamaa amekaza mkanda balaa,, hatà kiuno kikawa kidogo kama cha ngedere,,

Yule Mwana chuo nishapiga chini muda mrefu,,
Sasa Nina mtoto mbichi hatàri,, hajaanza hata kuongea maneno vizuri...

Mtoto lainiiiii ,,so cutest.

Tafuta Maisha mkuu,.,warembo wapo tu..

Kuoa na huna kitu ni sawa na kukumbatia mtungi wa gesi mbovu huku jiko linawaka.
Kaka pleaseeeee ni tag kwenye huo mrejesho. Plz
 
Huyu kiumbe si juzi tu kadai anaenda kuwa na sharobaro ili wapige picha mzee wake sio photogenic
 
Back
Top Bottom