do! hili umenikumbusha niliingia mgahawa mmoja wa kawaida kunywa chai sukari ikawa imeisha muhudumu akang'ata kwa meno kufungua pakiti ya sukari wakati nashaa mwingine akawa anatumia tena meno kufungua pakiti ya majani ya chaiMbeya wachafu
Wapi kuko planned hapa Tzn ukiacha Dodoma?Mji wa Mbeya hauko planed kabisa,ndio maana hauvutii hili tatizo la kujenga hovyo tunalo sana waafrica,Mbeya ingekuwa planed vizuri ingependeza kama Edmonton
Haters huwa hamkosekani 🤣Mbeya ni mji wa hovyo sana, hauna hadhi ya kuitwa jiji hata kidogo, bora hata Mtwara
Mwambie Mbeya kuna kila kitu ambacho kinapatikana kwenye majiji makubwa 👇Uliza nawewe mkuu au jamaa hajawahi fika Mbeya apewe mahitaji yake yote muhimu
Kitu gani hicho ulitafuta hakipo Mbeya ikiwa Scania tuu Wana branch yao pale?Naipenda Mbeya ila Mbeya is no better.
Hizo pubs zenyewe Mbeya pazuri, City pub na Mwailubi ni utopolo mtupu. Majina makubwa ukifika utachoka huwezi kukaa hata dakika 5.
Mbeya hakuna viwanja classic. Hizo clubs ni more of vilabu vya pombe than clubs. Kifupi Mbeya hakuna nightlife.
Zamani ilikuwepo Pamodzi sijui iliishia wapi?
Mbeya service ndogo tu hakuna unaweza tafuta kitu cha kawaida kabisa mji mzima na ukakosa utasikia hadi tuagize Dar.
Naipenda Mbeya ila ule mji hauendelei kabisa.
Achana na huyo mwehu mkuuJiji la Mbeya lina zaidi ya miaka 30???
Haters kama Kawa huwa hamkosekani 👇Mbeya inazidiwa Hadi na iringa kimaendeleo ndo mje mlinganishe na Dodoma kweli??
Yaan mbeya ni Jiji la ovyo Sana kwanza miundombinu yake ya ajabu Sana akija kiongozi yoyote wa serikali jam itakayotengenezwa barabarani sio ya kawaida
Mbeya mzunguko wa pesa hakuna unakuta mtu anakaa mjini ila anamashamba huko milimani ko chakula analima huko milimani , anavuna analeta ndani hakuna kununua chakula na uyo anakaa mjini
Mbeya ni Jiji la ovyo saana sijawai kuona.
UkoroofiiiiiNimefika dodoma toka juzi
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki
Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi
Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe
Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka
Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi
Ni raha tupu
Bora mbeya
Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...
Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo
Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi
Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saana
View attachment 2215992
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Anasahau kwamba Mbeya ni Namba 3 kuchangia Pato la Taifa sasa sijui mwenzetu anaizungumzia Mbeya ya wapi.Umeishi Mbeya na kufanya biashara.... Hivi utafananisha Mbeya na dodoma ki biashara kweli!?
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Ubovu wake?Mbeya na Tanga huwa najiuliza sijui zikipewaje JiJi ni mini mibovu kupindukia.
Wapi kuna status ya maisha kubwa? Nataka jibu tulinganishe maana Mbeya ni mkoa namba3 Tzn kwa kuwa na watu wenye Hali nzuri kimaisha.Dah,, maeneo mengi ya miji ya mbeya ukitoka hatua kidogo tu kutoka barabara kuu unakutana na mitaa ya hali ya chini kuanzia mpangilio Hadi status ya maisha. Lakini hii Ni kwa maeneo mengi ya miji ya nchi yetu. Sijui ndo maana tunauswahili mwingi sana. Tunalundikana barabarani tu halaf kazi hamna zaidi kuonglea maisha ya watu.
Mwamba ngoma, ngozi huivutia kwake!Nimefika dodoma toka juzi
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki
Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi
Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe
Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka
Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi
Ni raha tupu
Bora mbeya
Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...
Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo
Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi
Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saana
View attachment 2215992
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Kama Mtwara itakuwa makao makuu ya nchi! Tanzania kurudi uchumi wa kati ni hadi mwaka 2199
Hawa ndo tuliokuwa tukiwaongelea dakika chache zilizopitaKwa mawazo yake anafikiri hutolewa kwa wingi wa kelele na kurukaruka labda!
Kwenye upande wa status ya maisha, vyakula na uweza wa kumudu gharama za maisha ni kweli angalau mbeya kidogo unafuu upo. Ila kwenye mpangilio wa mitaa, na makazi kiukweli bado. Nyumba za kuishi angala Kuna unafuu japo ndoivo wengi akishamaliza zungusha tofali ndo Basi, finishing na mambo mengine yanasahaulika.Wapi kuna status ya maisha kubwa? Nataka jibu tulinganishe maana Mbeya ni mkoa namba3 Tzn kwa kuwa na watu wenye Hali nzuri kimaisha.