Bora tukose umeme na Maji kuliko watu kupotea na kuokotwa kwenye Viroba baharini Coco Beach

Wadanganye hao hao,

Bahari Bado haijatulia, hapajakucha Bado.

KITI Bado hakikaliki.

Machungu juu ya wananchi yakupe ALARM!!!!

Angalizo: Kutumia vifungu vya BIBLIA, kitabu KITAKATIFU Kwa HILA, unajitafutia LAANA.

Acha mara moja, UTAPIGWA, Mungu hadhihakiwi.
 
Ujinga ujinga tu, utavumiliaje kukosa maji katikati ya Jiji!!

Una HAKIKA pale MAGOGO I hakuna maji pia?

Au unataka tuje kuhakikisha.!!!!!
 
Sasa msihalalishe huu udhaifu wa kukosa umeme na maji kwa kukumbusha mambo yaliyopita, ni kweli kwamba jamaa alifanya uhalifu na mambo yasiyofaa, ila isiwe kichaka, tunataka maji na umeme wa uhakika.

Kukubali tu kwamba jamaa ni kweli alifanya uhalifu tayari umeshawekwa,kaa hapo hapo kwa mleta mada.
 
Wanasema raisi kama malaika

Nadhani haujaipitia katiba yako vizuri kwa sababu ndio inayo mpa nguvu raisi kutekeleza ayatakayo.

Ila sisi watanzania ni wepesi sana wa kusahau tulipo toka

Lau kama Kiongoz wa awam ya 6 angegombea 2015 sizan kama angetoboa.

Hii nchi lile jembe kaichukua ikiwa imeoza
Kuisafisha kwake kulihitaji maamuzi magumu

Jakaya mwenyewe alishawai sema kuwa si mnataka raisi mkali? Basi nimewaletea JPM

Mwinyi mwenyew akasema wao walipambana na rushwa ila JPM kaisambaratisha kabisa.

Mauwaji (maono yangu)
1.Ni mchezo Mchafu wa kisiasa
2.wewe ukiujua wa iv mm naujua wa iv
3.ujambazi/uhuni wa aina yoyote ule ulipotea
Amani ilikuwepo kwa asilimia kubwa sana

Na nukuu ya aliye tangulia kusema
Tulia sindano/chanjo ya mtu aliyekufa ikuingie

Swali: Hivi awamu ya 6 imeingiaje bila kampeni?

Kwa sababu sijapiga kura kwa awamu ya sita kura yangu ilikuwa awamu ya tano muhula wa pili.
 
Mnalalamika maji wakati upo jirani na bahari?Uzembe huo.Na kama umeme wa Tanesco wa kukupa mwanga hakuna,tumia solar power.Nayo huna?Basi tumia kijinga cha moto kumulika palipo giza.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nja inatangazwa?
 
waliokuwa wakiokotwa kwenye viroba hawakuwa hata na ndugu. Sijui alikuwa anawaua kutoka nje ya nchi?
 
Niukweli mwingi sana mpaka hapa Leo tunaenda mwaka wa 2 wasiojulikana hawapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…