Bosi anasemaje kuhusu mkasa huu wa kukamatwa Askari wake?

Bosi anasemaje kuhusu mkasa huu wa kukamatwa Askari wake?

Mkuu mnashangilia sana ila nina uhakika asilimia 100 ndugu zako wako wanao teseka sana kwa sababu ya upuuzi wa watawala wa CCM walio pita na waliopo sasa, ila mnajitia upofu na kushabikia ujinga, Binafisi ndugu zangu wana maisha magumu kijijini huko yanayo sababishwa na hawa watawala na hakuna siku moja nitakubaliana na upuuzi wao na hakuna hata siku moja nitashangilia
hayo mapumbavu hata usijibizane nayo kistarabu twanga vilivyo mpaka upumbavu uyatoke.
 
Kwahiyo watu waachiwe tu wamtukane mkuu kuwa ana akili za matope kisa wakikamatwa wanaweza kufia mikononi mwao?

Mbona kina Tibaijuka, Pengo na wengine wengi wamemkosoa mkuu kistarab kuhusu mkataba na hawakuguswa?

Tatizo mdomo uliponza kichwa, walivyokuwa wanatukana na kumdhihaki mkuu huku watu wanacheka na mkuu yupo kimya wakaona kwamba wao ndio wenye haki ya kuongea chochote, sehemu yoyote na muda wowote, bila kupima wala kuangalia athari za maneno yao.
Ametukanwa na wewe huna cha kufanya mbali na ukuwa wako kwa warabu koko na hao waliokamatwa watatoka mashujaa huku wew na wapumbavu wenzio mkipotea hata jf.
 
Kesi ya Uhaini ni sinema?
Watu wanashinda kesi za mauwaji sembuse uhain, tatizo lenu nyie makuwad ya warabu ni ujinga mlionao na kukosa elimu ndio maana mnafikir kushtakiwa kwa uhain ni kama vile kitu cha ajabu kisa ujinga na upumbavu wenu, kwa taarifa yenu nyie makuwadi ya warabu hilo ni igizo na hakuna atakayethibitisha hio kesi na baada ya muda mtaficha nyuso zenu humu jf na mimi nitaendelea kuwatwanga hapahapa siku hio kesi hao wajinga wenu watakaposhindwa kuendelea nayo.
 
Maombi yako ni mazuri, ila kuna mtu au watu hawakuyaona ndomaana walikuwa wanazunguka kanda ya ziwa na maeneo mengine ya nchi kumtukana mkuu kwamba ana akili za matope.

Waliona wakiongelea mkataba tu bila kuingiza matusi wasingeeleweka.
Matusi unayapima wewe na familia yako, nenda kawashitaki hao waliokuwa wanazunguka kanda ya ziwa tuone kama utafanikiwa kuwadi la warabu koko dpwod wewe.
 
Wao wanaikandia serikali,na moto wao umekua mkali sana,hivyo serikali iwape kashikashi,then baadae itawaachia.Soma mchezo chief.
Hata wasipoachiwa moto uko palepale na wakiachiwa moto wa bandari ndio utaongezeka zaidi, cha msingi makuwadi ya warabu koko dpworld yajiandae kwa moto mpya na hii ngoma haitazima leo wala kesho nawataarifu makuwadi ya samia na warabu koko.
 
Hata wasipoachiwa moto uko palepale na wakiachiwa moto wa bandari ndio utaongezeka zaidi, cha msingi makuwadi ya warabu koko dpworld yajiandae kwa moto mpya na hii ngoma haitazima leo wala kesho nawataarifu makuwadi ya samia na warabu koko.
Keyboard warrior umeshindwa kuzuia wasikamatwe.

Toka juzi nchi imetulia, aliekuwa anatoa kauli za ushuzi sasa hivi analala darini, hatapiki tena ushuzi kama siku zilizopita.
 
Watu wanashinda kesi za mauwaji sembuse uhain, tatizo lenu nyie makuwad ya warabu ni ujinga mlionao na kukosa elimu ndio maana mnafikir kushtakiwa kwa uhain ni kama vile kitu cha ajabu kisa ujinga na upumbavu wenu, kwa taarifa yenu nyie makuwadi ya warabu hilo ni igizo na hakuna atakayethibitisha hio kesi na baada ya muda mtaficha nyuso zenu humu jf na mimi nitaendelea kuwatwanga hapahapa siku hio kesi hao wajinga wenu watakaposhindwa kuendelea nayo.
Povu la nini ngoja uone kigagula wako atakavyo hifadhiwa store kwa miongo mingi
 
Nazikumbuka kesi za uhaini wakati wa Mwalimu Nyerere zilikuwa zikichukua miaka mingi sana zilikuwa unazisikia uko darasa la pili mpaka unafika form four zinaendelea tu
Walivyoona wanatukana bila kushikwa, wakavimba kichwa na kuamua kupanga uhaini kwa kupitia maneno yao wenyewe wakiamini pia na hilo wasingeshikwa.

Mbeleji na mwenyekiti wake walikaa kimya kuhusu kauli hizi za kihaini, maana waliuona mwisho wake utavyokuwa mbaya.

Mwabukusi na wenzake wakaingia kichwa kichwa ili kujitafutia umaarufu uchwara. Sasa wataupata kupitia kesi ya kupanga mapinduzi.
 
Nauliza kama boss ana taarifa, au habari inayohusu kamata kamata ya askari wake?

Kama anayo taarifa, je amechukua hatua gani kuwasaidia, au ukishamlipa mtu akufanyie kazi basi litakalompata huko mbeleni ni juu yake?

Au askari wake wamevuka mipaka ya kile alichowaagiza, kwa kuanza kumshambulia mkuu kwa njia ya matusi, na kupanga mambo maovu dhidi yake badala ya hoja?

Boss Karamagi, Prof Tibaijuka (mama wa vimboga mboga vya milioni 10) na wakwepa kodi wengine wa bandari, tafadhalini jitokezeni kuwasaidia Askari wenu.

Maana walipokuwa wakimtukana mkuu, mlifurahi na kuwapongeza, badala ya kuwaonya mapema kuhusu athari ya matusi yao.

Ukimya wa mkuu ulifanya wasahau kuwa wao wameshika makali, na mkuu ameshika mpini. Acha wagombanie panga tuone nani atakatika vidole.

Wengine wamesahau kuwa kila mchuma janga hula na wa kwao tu. Sasa hivi Karamagi anafuatilia tukio radioni tu na familia yake, masikio baridi kabisa.
Wanafiki Kama wewe walikuwepo kipindi gesi inauzwa, mkawacheka waliokuwa wakipinga gesi isiondoke. Leo gesi imeuzwa , wananchi wanatozwa tozo maana serikali haina pesa. Endeleni kishangilia DP world shida ikija, mnajificha Kama hamkuwepo.
 
Back
Top Bottom