Bosi anasemaje kuhusu mkasa huu wa kukamatwa Askari wake?

Bosi anasemaje kuhusu mkasa huu wa kukamatwa Askari wake?

Wanafiki Kama wewe walikuwepo kipindi gesi inauzwa, mkawacheka waliokuwa wakipinga gesi isiondoke. Leo gesi imeuzwa , wananchi wanatozwa tozo maana serikali haina pesa. Endeleni kishangilia DP world shida ikija, mnajificha Kama hamkuwepo.
1. Sio kila siku ni ijumaa.
2. Kila nabii na kitabu chake na kila kiongozi na maono yake.

Hata hivyo watu wangekosoa na kupinga kama kina kardinal Pengo, Tibaijuka, Warioba nk. Hapakuwa na haja ya kuanza kusema aliesaini mkataba fulani ana akili za matope, sijui tunatoa siku 14 kama madai yetu hayajasikilizwa tutaiangusha serikali nk.
 
Hata Lisu aliona kuwa habari ya Nyerere kuacha ualimu ili apiganie uhuru ilikuwa ni porojo tu.

View attachment 2717564
usituletee habari za huyo kichaa wenu, yeye ktk maisha yake amefanya nini zaidi ya kuwatumia mabeberu na kulalamika kila siku majukwaani, hilo ni shoga la wazungu. Kwa Lissu hakuna kizuri kinaweza kufanya na binadamu mwenzake, km anathubutu hata kumsema baba wa taifa na bado mazuzu mnamsikiliza, nawasikitikia.
 
Watu wanashinda kesi za mauwaji sembuse uhain, tatizo lenu nyie makuwad ya warabu ni ujinga mlionao na kukosa elimu ndio maana mnafikir kushtakiwa kwa uhain ni kama vile kitu cha ajabu kisa ujinga na upumbavu wenu, kwa taarifa yenu nyie makuwadi ya warabu hilo ni igizo na hakuna atakayethibitisha hio kesi na baada ya muda mtaficha nyuso zenu humu jf na mimi nitaendelea kuwatwanga hapahapa siku hio kesi hao wajinga wenu watakaposhindwa kuendelea nayo.
we ni kuwadi wa nini, mbwa kweli. Kazi iendelee nyie mapoyoyo mtakufa na sonona siku si nyingi
 
Uchungu na Nchi ndio uvunje sheria za Nchi yetu pendwa ya Tanzania kalichuma janga mwenyewe akalile na wa kwao
Hana uchungu wowote. Dokta alipewa pesa avuruge mpango wa bandari, na yeye alivyokuwa kichwa panzi akaamua kutoka katika swala la bandari na kuingia katika swala la kuangusha serikali kwa njia haramu.
 
Hana uchungu wowote. Dokta alipewa pesa avuruge mpango wa bandari, na yeye alivyokuwa kichwa panzi akaamua kutoka katika swala la bandari na kuingia katika swala la kuangusha serikali kwa njia haramu.
Anaenda kupigwa kitanzi hivihivi anajiona labda familia yake ikagalegale magogoni na kumuomba Raisi Samia Suluhu asisaini hati ya kumyonga ili kifungo cha maisha.
 
Wakwere wanasema "zilongwa mbali, zitendwa mbali"
Maneno na vitendo vya Kamaragi ni vitu viwili tofauti.

Acha awatelekeze maana wameshindwa kazi mapema sana.
Wakwere ni werevu sana. Ukiandika hekaya zako kaa nao mbali. Friendly reminder.
 
wenzako wanafinywa mapumbu sahivi unasema hakuna la kufanya, we mwehu hebu jaribu wewe uone km hutarudi ukiwa shoga, kenge kweli
Mkuu haya mandondocha umeyaweza kweli kweli, lazima yatafutane leo.
 
Back
Top Bottom