Bosi anasemaje kuhusu mkasa huu wa kukamatwa Askari wake?

Anaenda kupigwa kitanzi hivihivi anajiona labda familia yake ikagalegale magogoni na kumuomba Raisi Samia Suluhu asisaini hati ya kumyonga ili kifungo cha maisha.
Zee la hovyo sana lile, bora likashikwe shikwe makalio huko jela, maana huku uraiani halikuwa na faida yoyote zaidi ya usnitch tu kwa wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…