BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili kuwadhalilisha. Yatoa mwongozo mpya!

Serikali ilitakiwa iwafungie hawa.
Si walisema watawafungia kabisa!??
Mbona wamebadilika!?
 
Serikali ilitakiwa iwafungie hawa.
Si walisema watawafungia kabisa!??
Mbona wamebadilika!?
Principle ya BOT ni "monitoring and inovation". Kufungia kabisa ni kuua ubunifu katika sector mpya ya digital lending. BOT wamefanya vzr kujikita ktk kuregulate, na siyo kufungia. Biashara ya digital lending lazima iendelee.
 
Principle ya BOT ni "monitoring and inovation". Kufungia kabisa ni kuua ubunifu katika sector mpya ya digital lending. BOT wamefanya vzr kujikita ktk kuregulate, na siyo kufungia. Biashara ya digital lending lazima iendelee.
Hapo hamna jipya. Watu wataendelea kukopeshwa kwa siku 4 mpaka 6 tofauti na vibali vyao
Udhalilishaji upo palepale.
Riba mpaka 80% iko palepale.
Nawajua vizuri hawa wakopeshaji kuliko BOT ambao wametoa vibali.
Kwani ni BOT waliowapa kibali cha kutukana watu zamani?
Kwani ni BOT waliowapa mamlaka ya kutoa mkopo wa siku 3?
Kwani ni BOT waliowapa mamlaka ya kutoa riba ya mpaka 80% kwenye mikopo ya siku 5?
Hawa jamaa hawaiogopi serikali. Na wataendelea kufanya hivyo.
 
Hakika,yaani hadi mtu unaona umeumizwa kabisa hata kama ulikuwa na shida
 
Hiyo riba ni zaidi ya 80%
BOT wasicheze na akili za Watanzania.
Inakuwaje deni la wiki moja lizae riba ya 40-90%?
Maana app nyingi mkopo ni wa wiki ambapo siku ya 4 tu wanadai pesa yao
Hawa waondoshwe nchini.
Wamekiuka Sheria miaka mingi
BOT ndio waliokubali watanzania tuumizwe,inakuaje yeye kama msimamizi anasikia malalamiko yote haya na hachukui hatua madhubuti
 
Hiyo riba ni zaidi ya 80%
BOT wasicheze na akili za Watanzania.
Inakuwaje deni la wiki moja lizae riba ya 40-90%?
Maana app nyingi mkopo ni wa wiki ambapo siku ya 4 tu wanadai pesa yao
Hawa waondoshwe nchini.
Wamekiuka Sheria miaka mingi
BOT sijui wana regulate nini sasa maana hapo intelijensia ilitumika kung'amua kuwa watu wanasumbuliwa hata wasiohusika ilitakiwa ing'amue pia kwamba riba sio radiki ndo maana watu wanakimbia.
 
Juzi kuna kampuni inaitwa flexi walinitumia meseji na kunipigia simu wanataka nikope kwao.
Binafsi natumiaga branch hawana riba kubwa na marejesho ni siku 30.

Sasa jana nikasema ngoja niwajaribu, aisee riba ni 37 kwa wiki.
Flex wasumbufu sana. Namba yako ikiingia kwenye mfumo wao tu watakupigia kila siku ili ukope. Mimi nimewablock
 
Good move
 
BOT fungieni hawa watu hakuna manufaa yoyote kwa mtanzania kwa sababu madhara ni makubwa kuliko faida.Sisi waathitika tunashauri muwafungie hii biashara.Sisi watanzania wenye nchi tunasema fungieni hii biashara ambayo inafanywa na wachina pamoja na wakenya wakishirikiana na watanzania wachache.Tumeona madhara yake ikiwemo kuwa na madeni lukuki hivo inabidi uendelee kukopa kwenye app zao mbalimbali ili ukamilishe madeni ya APP zingine wakati huo riba ni kubwa sana na siku ni chache (5-6)hivo unabaki kuwa mtumwa wa madeni ambayo hayalipiki na hakuna faida unayopata zaidi ya kugombana na ndugu zako, marafiki,wafanyakazi wenzio kwa sababu ili uweze ku maintain pressure za hawa wachina na wakenya wa APP za mikopo inakubidi ukope na kwa watu wako wa karibu hivo husababisha ugomvi na chuki miongoni mwa jamii wakati huo huo aliekopa akiendelea kuwa na madeni kwa sababu inafikia wakati hayo madeni hayalipik tena.kUMBUKA kuwa utapigiwa simu kuanzai saa kumi na moja alfajir hadi usiku wa manake ukipokea vitisho na maneno ya kejeli muda wote unakuwa huna amani badala ya mkopo inakuwa SHARI sasa.Hebu fikiria saa saba usiku mkeo anapigiwa simu eti anaambiwa tunajua uko na jamaa hapo mwambie alipe ! Saa saba usiku wakati umelala na mkeo ! Hii ni zaidi ya ushenzi !
Nawashauri BOT wafanye reseach katika jamii juu ya suala hili ili waujue ukweli na research yenyewe iwe direct one to one na wale walioathirika watapata A to Z ya tatizo hili kubwa.
Narudia tena BOT funga hii biashara ya mikopo ya APP mitanadaoni.
CCM waelekezeni BOT wafunge hii biashara tafadhali.
Na pia wakati BOT wakivuta miguu kufunga biashara hii TRA fuatilieni hizi APP , pesa nyingi sana mapato ya serikali zinaenda kwa wajanja wachache bila kulipa kodi wakati hawana ofisi ya kuwa trace wala kuwa hold responsible.
Huu ni UHUJUMU UCHUMI

Narudia tena BOT na serikali ya sikivu ya CCM fungia hawa watu !
 
Mkuu nakuunga mkono.kwa asilimia Mia kwa mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…