TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

Yah kweli mkuu, wanawake hawa tunazaa nao na kusaidiana nao kulea lkn weng wana siri kubwa mioyoni mwao. Anaweza kukupa mtoto ambae si wako na ikabaki kuwa siri kubwa kwake au pengin na yule aliempa hiyo mimba. Ndio maana nchi zilizoendelea wengi huanza kwanz kufanya vipimo kabla ya kuendelea na huduma za mimba.
 
Shukrani mkuu kwa haya madini
 
basi alikuwa mtu wa aina yake,kupewa urais wa nchi jirani...mi nilimjua akiwa mkuu wa mkoa wa Dar kama sikosei

..unashangaa!?

..mbona Lt.Col.Benjamin Msuya aliongoza kikosi kilichoteka Kampala, halafu akalinda jiji hilo mpaka Raisi[ Yussuf Lule] wa serekali ya muda ya Uganda alipoapishwa?

..Ngwilizi alikuwa kamanda wa kikosi cha Jwtz kilichokwenda kulinda visiwa vya Seychelles.

..Pia aliongoza kikosi cha Jwtz kilichokwenda kusaidiana na Majeshi ya Msumbiji, na Zimbabwe, kupambana na waasi wa Renamo.

..Mwanachama mwenzetu Echolima alikuwepo ktk operation ya Seychelles / "Operation Mahe." Nachukua nafasi kumpa pole kwa kuondokewa na kamanda wake.

..Pia pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki.
 
Moja maswali yaliyokuwa yanaulizwa kwenye Civics.

Ni Waziri wa tawala za mikoa na serikali za mitaa.

Br. Ali Hassan Ngwilizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…