Bro ametuachia Janga kubwa sana, sababu tu ni Upendo wake kwetu

Mali za baba yake hakuna hata moja iliyoguswa. Mtu wa miaka 24 ni mtu ambaye tuliamua ajisimamie mwenyewe isipokuwa akiona anashindwa. Makasiriko yapo sana.... Toto ni bwege sana. Lijinga nami sipendi mitoto mijinga.shule liliacha form six ada imelipwa yote
 
Aisee
 
Darasa la 7 upo mtaani??Haukuwahi lawitiw@?
 
Darasa la 7 upo mtaani??Haukuwahi lawitiw@?
We mchele mchele mboga saba ugali kitenesi unaleta dharau kisa baba yako alikupeleka st Mary's,
Maisha tunatofautina duniani, hata sie tulipenda tuishi kama wewe isipokuwa wazee walitangulia mapema mbele ya haki na familia ilikuwa choka mbaya, so acha dharau kisa uko nyuma ya keyboard mtoto wa kota, yani wewe na huyu jamaa anayezungumziwa kwenye uzi mpo sawa sawa, kila kitu mnataka mfanyiwe na kutuona sie tunaohaingaika wenyewe mtaani wajinga.
 
Atakama mtoto wa la7 kulanda mtaani bado Mdogo Sana...pole Sana Mzee Ndo life lakn,, nlkuwa nauliza Tu maana wale wafiraji sio watu wazuri...sio Kwa Nia mbaya lakini
 
Atakama mtoto wa la7 kulanda mtaani bado Mdogo Sana...pole Sana Mzee Ndo life lakn,, nlkuwa nauliza Tu maana wale wafiraji sio watu wazuri...sio Kwa Nia mbaya lakini
Inaonekana ndo michezo yako hiyo kufilwa mana kinachozungumziwa na hizo mada wala haziingiliani,, najua watoto wengi mliolelewa kwapani mnapenda sana kukanyagwa tena sometimes mnatufuata sie wa uswahilini mixa kutuhonga ili tu tuwabandue
 
Inaonekana ndo michezo yako hiyo kufilwa mana kinachozungumziwa na hizo mada wala haziingiliani,, najua watoto wengi mliolelewa kwapani mnapenda sasa kukanyagwa tena sometimes mnatufuata sie wa uswahilini mixa kutuhonga ili tu tuwabandue
Samahan Bro unaongea Sana kama Khadija kopa, lakini fact inabaki pale pale mtoto wa la7 Dunia hii ya leo kulanda mtaani lazima abakwe
 
Samahan Bro unaongea Sana kama Khadija kopa, lakini fact inabaki pale pale mtoto wa la7 Dunia hii ya leo kulanda mtaani lazima abakwe
Duniani ya leo hivi we unanijua mimi wa kizazi gani? Unanijua mimi hilo darasa la saba nimemaliza mwaka gani? Hii ndio tabu ya jf watu kutumia I'd fake,,, ila siku moja mpaka unikute na mama yako mzazi ndani ana upande wa khanga tu nadhani ndo utaniheshimu,,,,
 
Nimeona sehemu umemuita "bulldozer"!Tafadhali,hilo jina tulimpa mtukufu.Lifute kwa maslahi manene ya nchi.Natania.😝😝😝😝
 
Dunia ya leo, kizazi cha nyoka kimeanza Enzi Za yesu
Au wewe umezaliwa BC?
 
Mpuuzie katakuwa katoto legelege ka mama

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Mleta hana lolote ndo Wale Wale wazee wa kutafuna mali za marehemu hapo alipo anatamani tuu Dogo afee ili apate mwanya atafune mali za marehemu

Kama Dogo kaachiwa mali na nyumba inakuwaje mnashidwa kutoa mwongozo ajipange vipi aoweeee
 
Hahahaha daah umejua kumdhihaki vya kutosha mkuu. Km vip mpeni anachotaka ndoa inapangwa mbinguni kila mtu na rizk yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…