Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
- Thread starter
-
- #21
Mali za baba yake hakuna hata moja iliyoguswa. Mtu wa miaka 24 ni mtu ambaye tuliamua ajisimamie mwenyewe isipokuwa akiona anashindwa. Makasiriko yapo sana.... Toto ni bwege sana. Lijinga nami sipendi mitoto mijinga.shule liliacha form six ada imelipwa yoteon point huyu ndugu mtoa post hadi hapa inaonekana tayari anachuki na makasiriko juu ya mtoto wa marehem kaka yake na bad usikute dogo mzee wake alimuachia mali nying na jamaa wamemtaifisha kwa kumhadaa kuwa ndio amekuziwa
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeAmetuachia toto Jinga sana. Tumelikuza limefika miaka 30 linataka oa. Tunaliuza umejipanga una tsh ngapi. Linasema halina hata shilling. Bwege kabisa fala,zumbukuku,topolo kabisa.
Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange...linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha.so linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza,kiazi,kimburukutu,zebwa kabisa.
Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu.halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.
Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio...kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tumwacha sababu bro amefariki.
Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege ,bulldozer,fala,kichomi ,kichefuchefu kabisa....
Sometime tunasema heri bro angebaki.yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.
Darasa la 7 upo mtaani??Haukuwahi lawitiw@?Mie nimefiwa na wazazi wangu wote wawili ningali mdogo na sikuachiwa hata hatua mbili za kiwanja, na nilikuwa napiga kazi za kufa mtu pale hom,na bado naonekana mimi mbwa, nilipomaliza tu darasa la saba nikaingia mtaani rasmi kukimbizana na life, yani kuna watu wana bahati sana hapa duniani
We mchele mchele mboga saba ugali kitenesi unaleta dharau kisa baba yako alikupeleka st Mary's,Darasa la 7 upo mtaani??Haukuwahi lawitiw@?
Atakama mtoto wa la7 kulanda mtaani bado Mdogo Sana...pole Sana Mzee Ndo life lakn,, nlkuwa nauliza Tu maana wale wafiraji sio watu wazuri...sio Kwa Nia mbaya lakiniWe mchele mchele mboga saba ugali kitenesi unaleta dharau kisa baba yako alikupeleka st Mary's,
Maisha tunatofautina duniani, hata sie tulipenda tuishi kama wewe isipokuwa wazee walitangulia mapema mbele ya haki na familia ilikuwa choka mbaya, so acha dharau kisa uko nyuma ya keyboard mtoto wa kota, yani wewe na huyu jamaa anayezungumziwa kwenye uzi mpo sawa sawa, kila kitu mnataka mfanyiwe na kutuona sie tunaohaingaika wenyewe mtaani wajinga.
Inaonekana ndo michezo yako hiyo kufilwa mana kinachozungumziwa na hizo mada wala haziingiliani,, najua watoto wengi mliolelewa kwapani mnapenda sana kukanyagwa tena sometimes mnatufuata sie wa uswahilini mixa kutuhonga ili tu tuwabandueAtakama mtoto wa la7 kulanda mtaani bado Mdogo Sana...pole Sana Mzee Ndo life lakn,, nlkuwa nauliza Tu maana wale wafiraji sio watu wazuri...sio Kwa Nia mbaya lakini
Yatima wa miaka 30?? 🙄🙄Mara nyingi watoto wavivu hutafuta visingizio kama hivyo vya kufiwa,Yatima hadeki!huyo mwanenu ni mvivu.
Samahan Bro unaongea Sana kama Khadija kopa, lakini fact inabaki pale pale mtoto wa la7 Dunia hii ya leo kulanda mtaani lazima abakweInaonekana ndo michezo yako hiyo kufilwa mana kinachozungumziwa na hizo mada wala haziingiliani,, najua watoto wengi mliolelewa kwapani mnapenda sasa kukanyagwa tena sometimes mnatufuata sie wa uswahilini mixa kutuhonga ili tu tuwabandue
Kabla ya hiyo 30Yatima wa miaka 30?? 🙄🙄
Duniani ya leo hivi we unanijua mimi wa kizazi gani? Unanijua mimi hilo darasa la saba nimemaliza mwaka gani? Hii ndio tabu ya jf watu kutumia I'd fake,,, ila siku moja mpaka unikute na mama yako mzazi ndani ana upande wa khanga tu nadhani ndo utaniheshimu,,,,Samahan Bro unaongea Sana kama Khadija kopa, lakini fact inabaki pale pale mtoto wa la7 Dunia hii ya leo kulanda mtaani lazima abakwe
Nimeona sehemu umemuita "bulldozer"!Tafadhali,hilo jina tulimpa mtukufu.Lifute kwa maslahi manene ya nchi.Natania.😝😝😝😝Ametuachia toto Jinga sana. Tumelikuza limefika miaka 30 linataka oa. Tunaliuza umejipanga una Tsh ngapi. Linasema halina hata shillingi. Bwege kabisa fala, zumbukuku, topolo kabisa.
Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha. So linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza, kiazi, kimburukutu, zebwa kabisa.
Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu. Halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.
Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tunamwacha sababu bro amefariki.
Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege, bulldozer, fala, kichomi, kichefuchefu kabisa....
Sometime tunasema heri bro angebaki yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Liambie litafute pa kufia kama hamza
Dunia ya leo, kizazi cha nyoka kimeanza Enzi Za yesuDuniani ya leo hivi we unanijua mimi wa kizazi gani? Unanijua mimi hilo darasa la saba nimemaliza mwaka gani? Hii ndio tabu ya jf watu kutumia I'd fake,,, ila siku moja mpaka unikute na mama yako mzazi ndani ana upande wa khanga tu nadhani ndo utaniheshimu,,,,
Mpuuzie katakuwa katoto legelege ka mamaWe mchele mchele mboga saba ugali kitenesi unaleta dharau kisa baba yako alikupeleka st Mary's,
Maisha tunatofautina duniani, hata sie tulipenda tuishi kama wewe isipokuwa wazee walitangulia mapema mbele ya haki na familia ilikuwa choka mbaya, so acha dharau kisa uko nyuma ya keyboard mtoto wa kota, yani wewe na huyu jamaa anayezungumziwa kwenye uzi mpo sawa sawa, kila kitu mnataka mfanyiwe na kutuona sie tunaohaingaika wenyewe mtaani wajinga.
Hunijui sikujui,,, heshima kitu cha bure kama kwenu haukunzwa adabu,,, basi ni huko hukoDunia ya leo, kizazi cha nyoka kimeanza Enzi Za yesu
Au wewe umezaliwa BC?
Nimekuelwa mkuu,,
Mleta hana lolote ndo Wale Wale wazee wa kutafuna mali za marehemu hapo alipo anatamani tuu Dogo afee ili apate mwanya atafune mali za marehemuAmetuachia toto Jinga sana. Tumelikuza limefika miaka 30 linataka oa. Tunaliuza umejipanga una Tsh ngapi. Linasema halina hata shillingi. Bwege kabisa fala, zumbukuku, topolo kabisa.
Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha. So linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza, kiazi, kimburukutu, zebwa kabisa.
Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu. Halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.
Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tunamwacha sababu bro amefariki.
Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege, bulldozer, fala, kichomi, kichefuchefu kabisa....
Sometime tunasema heri bro angebaki yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.
Nakuheshimu Sana bro ndomaana sikusema ulibakwa... niliuliza kipole Tu kama ulinusurika.Hunijui sikujui,,, heshima kitu cha bure kama kwenu haukunzwa adabu,,, basi ni huko huko
Mie sie bro wako,, mie baba ako kwa huo tu muandiko wako na dalili zote za ushoga unazo,, watafute vijana wenzio hapa umekosea njia labda wanawza wakakukazaNakuheshimu Sana bro ndomaana sikusema ulibakwa... niliuliza kipole Tu kama ulinusurika.
Au kuuliza imekuwa ujinga?
Hahahaha daah umejua kumdhihaki vya kutosha mkuu. Km vip mpeni anachotaka ndoa inapangwa mbinguni kila mtu na rizk yakeAmetuachia toto Jinga sana. Tumelikuza limefika miaka 30 linataka oa. Tunaliuza umejipanga una Tsh ngapi. Linasema halina hata shillingi. Bwege kabisa fala, zumbukuku, topolo kabisa.
Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha. So linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza, kiazi, kimburukutu, zebwa kabisa.
Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu. Halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.
Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tunamwacha sababu bro amefariki.
Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege, bulldozer, fala, kichomi, kichefuchefu kabisa....
Sometime tunasema heri bro angebaki yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.