Bro ametuachia Janga kubwa sana, sababu tu ni Upendo wake kwetu

Bro ametuachia Janga kubwa sana, sababu tu ni Upendo wake kwetu

Hujatumia lugha nzuri kwa mtoto wa mwenzako, kuwa na staha kidogo mkuu, muonee huruma mwana wa mwenzio, by the way wewe umeandaa mazingira gani kwa watoto wako ikiwa Israel ataitaka roho yako?

Ulipaswa kumuelewesha tu huyo kijana na sio kumuhusishanisha na marehemu!!
Mtoto wa mwenzio kichupa cha Nyeg** kishajaa huyo , asije akaba akaangukia pabaya bureee
 
Mie sie bro wako,, mie baba ako kwa huo tu muandiko wako na dalili zote za ushoga unazo,, watafute vijana wenzio hapa umekosea njia labda wanawza wakakuza
Wewe unataka heshima halafu hapohapo huna heshima....madhara ya mtoto wa la7 Kuwa mtaani Ayo.
 
Mleta hana lolote ndo Wale Wale wazee wa kutafuna mali za marehemu hapo alipo anatamani tuu Dogo afee ili apate mwanya atafune mali za marehemu

Kama Dogo kaachiwa mali na nyumba inakuwaje mnashidwa kutoa mwongozo ajipange vipi aoweeee
Sasa wewe mbona jamaa yako si marehemu na watu wanakutafuna? Au tayari alishafariki?
 
Hahahaaaaa kama sie vilevileeee, nilidhan tupo wenyewe. Brother alitangulia mbele za haki 2009.Sasa bwana ametuachia hilo totooo,kwanza halitaki shule jinga lile.Limesoma hadi form 4 likafeli, sasa tunaliambia urudi kupambana shule halitaki.Linataka mambo makubwaaaaa ambayo yanahitaji elimu.Sujui anadhani ni wanapewa tu?

Ni majinga sana haya matoto mkuu. Fanya yako litajua lenyewe huko shenzi.Sie tumeliacha tu.
 
Members wengi sijui kwa nini wanakuwa emotional, au ndio kusema wengi wamezoea comfort lies na kuepuka bitter truth.

Hauwezi ukawa unaongea na mwanao wa kiume, mdogo wako ambaye kwenye mambo muhimu ya maisha anazingua kwa kutumia lugha ya kubembeleza huku ukijua madhara yatayompata mbeleni ni makubwa.

Mbona tough love kiumeni kawaida tu.
 
Hahahaaaaa kama sie vilevileeee, nilidhan tupo wenyewe. Brother alitangulia mbele za haki 2009.Sasa bwana ametuachia hilo totooo,kwanza halitaki shule jinga lile.Limesoma hadi form 4 likafeli, sasa tunaliambia urudi kupambana shule halitaki.Linataka mambo makubwaaaaa ambayo yanahitaji elimu.Sujui anadhani ni wanapewa tu?

Ni majinga sana haya matoto mkuu. Fanya yako litajua lenyewe huko shenzi.Sie tumeliacha tu.
Kweli Hamza aliua watu ambao sio stahili kabisa akaacha upupu!
 
Mleta hana lolote ndo Wale Wale wazee wa kutafuna mali za marehemu hapo alipo anatamani tuu Dogo afee ili apate mwanya atafune mali za marehemu

Kama Dogo kaachiwa mali na nyumba inakuwaje mnashidwa kutoa mwongozo ajipange vipi aoweeee
Halafu mbaya zaidi wanang'ang'ania kukaa katika nyumba hiohio ya marehemu,
Dogo alivyomjanja anataka kuoa ili wampishe kwenye nyumba ndio maana povu linawatoka.
 
Mie nimefiwa na wazazi wangu wote wawili ningali mdogo na sikuachiwa hata hatua mbili za kiwanja, na nilikuwa napiga kazi za kufa mtu pale hom,na bado naonekana mimi mbwa, nilipomaliza tu darasa la saba nikaingia mtaani rasmi kukimbizana na life, yani kuna watu wana bahati sana hapa duniani
La saba mbona mdogo sana mkuu?,hawakukuoa kweli?
 
Ametuachia toto Jinga sana. Tumelikuza limefika miaka 30 linataka oa. Tunaliuza umejipanga una Tsh ngapi. Linasema halina hata shillingi. Bwege kabisa fala, zumbukuku, topolo kabisa.

Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha. So linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza, kiazi, kimburukutu, zebwa kabisa.

Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu. Halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.

Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tunamwacha sababu bro amefariki.

Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege, bulldozer, fala, kichomi, kichefuchefu kabisa....

Sometime tunasema heri bro angebaki yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.
Nimejikuta ninacheka kwa sauti ndani ya daladala! Mleta mada umemaliza maneno yooote ya kututhibitishia upoyoyo,ufalalendi na uzabwa wa huyo mtoto wa kaka
 
Sasa wewe mbona jamaa yako si marehemu na watu wanakutafuna? Au tayari alishafariki?
Wee jamaa ni fala sana instead ya kuanzisha uzi ya kuomba ushauli jinsi gani ya kumsaidia Mtoto wa mwenzio unaanzisha uzi wa kumsema vibaya mtoto wa mwenzio

wee jamaaa ubongo wako kichwani umejaaa mikojo na moyo wa chuki dhidi ya Mtoto wa marehemu
 
Back
Top Bottom