Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,281
- 1,300
Mtoto wa mwenzio kichupa cha Nyeg** kishajaa huyo , asije akaba akaangukia pabaya bureeeHujatumia lugha nzuri kwa mtoto wa mwenzako, kuwa na staha kidogo mkuu, muonee huruma mwana wa mwenzio, by the way wewe umeandaa mazingira gani kwa watoto wako ikiwa Israel ataitaka roho yako?
Ulipaswa kumuelewesha tu huyo kijana na sio kumuhusishanisha na marehemu!!
Wewe unataka heshima halafu hapohapo huna heshima....madhara ya mtoto wa la7 Kuwa mtaani Ayo.Mie sie bro wako,, mie baba ako kwa huo tu muandiko wako na dalili zote za ushoga unazo,, watafute vijana wenzio hapa umekosea njia labda wanawza wakakuza
Sasa wewe mbona jamaa yako si marehemu na watu wanakutafuna? Au tayari alishafariki?Mleta hana lolote ndo Wale Wale wazee wa kutafuna mali za marehemu hapo alipo anatamani tuu Dogo afee ili apate mwanya atafune mali za marehemu
Kama Dogo kaachiwa mali na nyumba inakuwaje mnashidwa kutoa mwongozo ajipange vipi aoweeee
We ni fala aisee huna utu hata kidogoππ daah! Nimecheka sana.. Ila Pole sana mkuu... Miaka 30 linasema bora baba angekuwepo? Daah! Inatia shaka sana hata hiyo familia ataendeshaje sasa!! ππ daah!
Kweli Hamza aliua watu ambao sio stahili kabisa akaacha upupu!Hahahaaaaa kama sie vilevileeee, nilidhan tupo wenyewe. Brother alitangulia mbele za haki 2009.Sasa bwana ametuachia hilo totooo,kwanza halitaki shule jinga lile.Limesoma hadi form 4 likafeli, sasa tunaliambia urudi kupambana shule halitaki.Linataka mambo makubwaaaaa ambayo yanahitaji elimu.Sujui anadhani ni wanapewa tu?
Ni majinga sana haya matoto mkuu. Fanya yako litajua lenyewe huko shenzi.Sie tumeliacha tu.
Halafu mbaya zaidi wanang'ang'ania kukaa katika nyumba hiohio ya marehemu,Mleta hana lolote ndo Wale Wale wazee wa kutafuna mali za marehemu hapo alipo anatamani tuu Dogo afee ili apate mwanya atafune mali za marehemu
Kama Dogo kaachiwa mali na nyumba inakuwaje mnashidwa kutoa mwongozo ajipange vipi aoweeee
La saba mbona mdogo sana mkuu?,hawakukuoa kweli?Mie nimefiwa na wazazi wangu wote wawili ningali mdogo na sikuachiwa hata hatua mbili za kiwanja, na nilikuwa napiga kazi za kufa mtu pale hom,na bado naonekana mimi mbwa, nilipomaliza tu darasa la saba nikaingia mtaani rasmi kukimbizana na life, yani kuna watu wana bahati sana hapa duniani
Citizen B naona umekuja kwa I'd nyingine,, mm sifili machoko naona unalazimisha sana tangu asubuhiLa saba mbona mdogo sana mkuu?,hawakukuoa kweli?
Nimejikuta ninacheka kwa sauti ndani ya daladala! Mleta mada umemaliza maneno yooote ya kututhibitishia upoyoyo,ufalalendi na uzabwa wa huyo mtoto wa kakaAmetuachia toto Jinga sana. Tumelikuza limefika miaka 30 linataka oa. Tunaliuza umejipanga una Tsh ngapi. Linasema halina hata shillingi. Bwege kabisa fala, zumbukuku, topolo kabisa.
Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha. So linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza, kiazi, kimburukutu, zebwa kabisa.
Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu. Halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.
Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tunamwacha sababu bro amefariki.
Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege, bulldozer, fala, kichomi, kichefuchefu kabisa....
Sometime tunasema heri bro angebaki yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.
Wee jamaa ni fala sana instead ya kuanzisha uzi ya kuomba ushauli jinsi gani ya kumsaidia Mtoto wa mwenzio unaanzisha uzi wa kumsema vibaya mtoto wa mwenzioSasa wewe mbona jamaa yako si marehemu na watu wanakutafuna? Au tayari alishafariki?