Ndio kabisa walikuwa wanatumia kile kitendo cha mbowe yuko jela kupata kiki kisiasa sasa hiv hawana cha kusema kabisaWasage chupa wanywe. Tunataka Amani. Waliokimbia nchi warejee. Walioteswa wapate faraja. Ninatamani siku Moja Mh. Rais azitembelee na kuzipa faraja zile familia zote ambazo watu wao walipotelea kusikojukikana. Japo wapewe hata kiasi cha fedha wajenge maisha Yao maana ndugu zao ndiyo walishapotezwa. Nikiwaza hii kama mtu mzima mwenye watoto na wajukuu najikuta mwanaume mzima ninalia. Rest in Peace Wherever you are Hero's😭😭😭
Kwa hiyo Lissu kaombwa sana kwa baruaa akutane na RAISCHADEMA huwa hairidhii Bali inafuatwa yenyewe. Rais kaenda mwenyewe ubelgiji na kukutana makamu wa CHADEMA. Maridhiano sio ACT Bali Ni CUF ndio waliingia na CCM na wananchi kupiga kura kukubali serikali ya umoja wa kitaifa. ACT amekuta kila kitu mezani.
Kuhusu kulipwa sitahiki zake za KibungeMaridhiano kuhusu nini?
Siyo kinyume chake,,mi naona Bavicha watafurahi na UVCCM watanuna.Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Mimi naona hata alivyowakilisha sio tatizo, tatizo alipojipa jukumu na kujifanya katumwa na Mbowe, kijana mnafiki sana yule.Shule ulikwenda kusomea ujinga.
Zitto kukutana na Rais si hoja tena utuondolee viroja vyako.Ujumbe Zitto aliowasilisha ndio tatizo.
Hajapenda kuvaa hivyo. Ule udhalimu na yale maovu mliyomtendea imebidi awe anavaa hivyo. Ila mungu ni mwema aliyetaka Lissu afe kafa yeye. Aliyemyima Lissu pesa zake za ubunge sasa hivi yupo hoi kitandani. Sasa wewe mcheke Tundu miguu yake kesho yako inakuja.nimeyapenda mabuti ya lissu
Tumbua huyo DAS hafai kabisa. Sisi tunajenga nchi wao wanabomoa. Hawa hauko naonpamoja. Ni Moja ya Ile team Dictator aliyeko Motoni akiungua Sana.
Watakula wapi ??Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Zitto Kabwe ni ccmHili kundi la Maria na MMM na wenzao wa kwenye Maspace leo ndo unafiki wao umetamalaki. Kumbe ZZK kukutana na Rais siku ile ya kongamano la TCD iliwauma. Leo Lissu kakutana na Mhe. Rais tena kwa yeye Lissu kuomba wacha uone anavyosifiwa. Haya majamaa ni makanjanja sana. Yaani bure kabisa.
Ww utakuwa unazeeka vibaya,nani alimtuma akamuombee msamaha?Hili kundi la Maria na MMM na wenzao wa kwenye Maspace leo ndo unafiki wao umetamalaki. Kumbe ZZK kukutana na Rais siku ile ya kongamano la TCD iliwauma. Leo Lissu kakutana na Mhe. Rais tena kwa yeye Lissu kuomba wacha uone anavyosifiwa. Haya majamaa ni makanjanja sana. Yaani bure kabisa.
Mbona aliomba kukutana nae muda mrefu tu? Hakuna mtu aliyeumia kwa Zitto kukutana na Rais. Shida ilikuwa hotuba. Labda kama Lissu amemuombea msamaha Mbowe. Hapo kweli itakuwa unafik.Hili kundi la Maria na MMM na wenzao wa kwenye Maspace leo ndo unafiki wao umetamalaki. Kumbe ZZK kukutana na Rais siku ile ya kongamano la TCD iliwauma. Leo Lissu kakutana na Mhe. Rais tena kwa yeye Lissu kuomba wacha uone anavyosifiwa. Haya majamaa ni makanjanja sana. Yaani bure kabisa.
Shida maombiHili kundi la Maria na MMM na wenzao wa kwenye Maspace leo ndo unafiki wao umetamalaki. Kumbe ZZK kukutana na Rais siku ile ya kongamano la TCD iliwauma. Leo Lissu kakutana na Mhe. Rais tena kwa yeye Lissu kuomba wacha uone anavyosifiwa. Haya majamaa ni makanjanja sana. Yaani bure kabisa.