BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi

BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi

December 2020 baada ya uchafuzi Freeman Mbowe aliashaandika barua kwa Pombe na kuomba kikao cha majadiliano na akaomba tena live kwenye sherehe za uhuru m
Mwanza ila Pombe akakwepa kukutana na Chadema.
Baada ya kifo cha Pombe tena Freeman Mbowe aliandika barua kuomba kukutana na Samia na hili ameshasema mara kadhaa hadharani ila Samia hakuwahi ketenga muda wa kukutana na chadema, juzi Jaji Mutungi kaita mkutano wake wa kipuuzi ambao chadema na nccr hawakwenda coz haukua mkutano wa majadiliano na rais bali mkutano wa rais kuhutubia na kuwachamba wapinzani.

Sasa leo Samia amepatikana peke yake bila wapambe Ubeligiji, majadiliano yamefanyika ana kwa ana na Lissu na matokeo yake Mataga Pori mmechukia mmekuja na story za kujitilisha huruma kama ndo mmetangaziwa msiba wa mzee wenu Pombe 🤣🤣🤣
Waliokuwa wanalisha familia zao kwa kuchangisha wananchi kwa ajili ya kesi ya Mbowe sijui Wana hali gani
 
Akiwemo mke wako analiwa na Martin kwa kutumia hela hiyona taarifa unapewa na ndcho kinachokuuma hicho.
Sasa tafuteni jinsi ya kuishi mjini, upepo umebadilika, mmekula Hela zetu wanachadema kwa muda, Sasa utapeli umefikia kikomo
 
Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza, Sasa Lissu anafata muelekeo wa ZZK, anaachana na Chadema wenye mawazo mgando, ya kizamani, wanaimba katiba tu kama kasuku, mwenzao anaozea jela, wao wanakusanya Hela wanagawana.

Kama nyie wanaume mshambulieni Lissu mitandaoni tuone
Una akili fupi sana, sijui kama huwa ushirikisha kichwa Chako. Hapa ni chadema imemfuata Rais au Rais ameifuata chadema?. Habari mbaya ni kwenu mliodhani chadema itaipigia serikali magoti.
 
HONGERA kwa Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu, Hongera Tundu Antipas Lissu, Hongera Tanzania na Watanzania. Ni ishara na nuru kwa mwanzo mwingine kwa nchi yetu. Sijali na tusijali nani alianza kumtafuta mwingine, hawa wote ni wanasiasa, watanzania wetu ambao hawana rafiki wala adui wa kudumu. Naamini Lissu anarudi, Mbowe anaachiliwa nchi itulie na chuki dhidi ya mama ipungue na hatimaye kwisha. Iwe mwanzo mwingine wa siasa zenye tija.
 
Waliokuwa wanalisha familia zao kwa kuchangisha wananchi kwa ajili ya kesi ya Mbowe sijui Wana hali gani
Wamefurahi sana since jana baada ya mawakili wa serikali kushindwa kuleta mashahidi 11 akiwepo Boaz aliyeogopa kutapishwa damu kizimbani.
 
Mimi siyo CCM na wala sijawahi kuwa ila naelewa jinsi Dunia inavyokwenda na naweza ku connect dots, Tanzania siyo ya kwanza kufanyiwa umafia.

Ila kumekaribia kukucha, soon chadema watamjua Adui yao ni nani na kwa nini Mbowe yuko Jela, halafu bado kuna tifu litakuja la akina Makamba Zito vs Tundu Lisu kugombania power walioahidiana.

Kumbuka pamoja na chadema kumchukia Magufuli lkn Magufuli hakuwahi kumfunga Mbowe hata siku moja, Mbowe kafungwa na Uongozi wa Samia, sasa kwa nini ?

Go figure …
Hivi Mbowe ameshafungwa? Hivi Mwaka 2020 kabla ya October ni Nani alikuwa Rais wa Nchi? Unafahamu historia ya kesi ya Mbowe ilianza lini kusetiwa? Usimsingizie our beloved Madam President. Usimtie damu mikononi mwake. Sasa mtashangazwa na hatima ya Kesi ya Mbowe.
 
Viva our darling mama and our beloved President, her Excellency, the only Excellency with a heart full of flesh. Be blessed madam President. We love you. Uchama tuweke pembeni tujenge nchi.
Haswa mkuu.

Uchama tuweke pembeni tujenge nchi
 
Sijui itakuwaje kwa wale bavicha ambao hawatak maridhiano
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia, amekutana na kufanya Mazungu na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Tindu Lissu.

Ni baada ya Lissu kuomba kuonana naye.

Walizungumzia mambo mbalimbali kuhusu usitawi wa Tanzania.

Pia, soma

1). Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

2). Tundu Lissu afutiwa kesi zote za uchochezi
View attachment 2121277
View attachment 2121284View attachment 2121285
View attachment 2121326
Safi sana mh rais karibu nyumbani Tundu Lisu tunakupenda sana
 
Hili kundi la Maria na MMM na wenzao wa kwenye Maspace leo ndio unafiki wao umetamalaki. Kumbe ZZK kukutana na Rais siku ile ya kongamano la TCD iliwauma. Leo Lissu kakutana na Mhe. Rais tena kwa yeye Lissu kuomba wacha uone anavyosifiwa. Haya majamaa ni makanjanja sana. Yaani bure kabisa.
 
Sijui itakuwaje kwa wale bavicha ambao hawatak maridhiano
Wasage chupa wanywe. Tunataka Amani. Waliokimbia nchi warejee. Walioteswa wapate faraja. Ninatamani siku Moja Mh. Rais azitembelee na kuzipa faraja zile familia zote ambazo watu wao walipotelea kusikojukikana.

Japo wapewe hata kiasi cha fedha wajenge maisha Yao maana ndugu zao ndiyo walishapotezwa. Nikiwaza hii kama mtu mzima mwenye watoto na wajukuu najikuta mwanaume mzima ninalia. Rest in Peace Wherever you are Hero's😭😭😭
 
Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza, Sasa Lissu anafata muelekeo wa ZZK, anaachana na Chadema wenye mawazo mgando, ya kizamani, wanaimba katiba tu kama kasuku, mwenzao anaozea jela, wao wanakusanya Hela wanagawana.

Kama nyie wanaume mshambulieni Lissu mitandaoni tuone

Na kwa akili yako finyu unadhani TL kajiamulia mwenyewe kukutana na SSH bila kuushirikisha uongozi wa juu wa CHADEMA?

Acha kupandikiza fitina. Mara ngapi Mbowe aliomba kukutana na SSH akapuuzwa?

Leo hii SSH mwenyewe ndio kaomba kukutana na kiongozi wa CHADEMA.

CHADEMA ni level ingine ndugu!
 
Tundu Lisu ambaye ni makamu mwenyekiti wa Chadema amekuwa gumzo kubwa duniani na ameonekana kukubalika " zaidi " na Rais Samia ukilinganisha na wapinzani wengine akiwemo Zitto Kabwe.

Awali mama Samia akiwa makamu wa Rais alimtembelea Tundu Lisu mjini Nairobi nchini Kenya alikokuwa akitibiwa.

Na sasa wamekutana tena makao makuu ya Jumuiya ya Ulaya Ubelgiji.

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia.

Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Lisu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hivi Mbowe ameshafungwa? Hivi Mwaka 2020 kabla ya October ni Nani alikuwa Rais wa Nchi? Unafahamu historia ya kesi ya Mbowe ilianza lini kusetiwa? Usimsingizie our beloved Madam President. Usimtie damu mikononi mwake. Sasa mtashangazwa na hatima ya Kesi ya Mbowe.

Mbowe kawekwa ndani chini ya Utawala wa Samia, kama angekuwa Jela kipindi cha Magu (RIP) jambo la kwanza ambalo Samia na Tundu Lisu wangefanya ni kumtoa Jela mara moja kama walivyofanya kwenye mambo mengine yalioanzishwa na Magufuli, Samia mpaka aliomba msamaha kwa foreign leader Uhuru Kenyata na kusema live kwamba tuliwafanyia Wakenya ukatili ije kuwa hilo la Mbowe ?

Kinachomponza Mbowe ni Uwenyekiti, huo unatakiwa hivyo aidha aukabidhi kwa Makamu or else yatamkuta.
 
Na kwa akili yako finyu unadhani TL kajiamulia mwenyewe kukutana na SSH bila kuushirikisha uongozi wa juu wa CDM?
Acha kupandikiza fitina. Mara ngapi Mbowe aliomba kukutana na SSH akapuuzwa?
Leo hii SSH mwenyewe ndio kaomba kukutana na kiongozi wa CDM.
CHADEMA ni level ingine ndugu!
Lissu hawezi kushirikisha viongozi wa CHADEMA vichaa waliobaki Tanzania, hii kaipiga mwenyewe
 
Back
Top Bottom