Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Dah 🙆🏿♂️
Hata Watoto huwa wanapitia nyakati ngumu pia nakumbuka nilipokuwa na miaka 11 kuna mtoto mwenzetu alichukua uamuzi kama huo. Alichukua zile kamba za nailon za kufungia marobota ya mitumba akafunga kwenye mbao iliyokuwa inashikiria roof ya velandar bahati nzuri alipojiachia tu ile mbao ikavunjika maana ilikuwa imeshaliwa na dumuzi ilikuwa imebaki na muonekano mzuri lakinj ndani ilikuwa imebaki unga tu.
Sababu kubwa ilikuwa ni manyayaso ya Mama yake mzazi alikuwa anamtumikisha sana na maneno ya kumtukana yaani hakuna jambo alilolitenda lilikuwa jema mbele ya Mama yake.
Hata Watoto huwa wanapitia nyakati ngumu pia nakumbuka nilipokuwa na miaka 11 kuna mtoto mwenzetu alichukua uamuzi kama huo. Alichukua zile kamba za nailon za kufungia marobota ya mitumba akafunga kwenye mbao iliyokuwa inashikiria roof ya velandar bahati nzuri alipojiachia tu ile mbao ikavunjika maana ilikuwa imeshaliwa na dumuzi ilikuwa imebaki na muonekano mzuri lakinj ndani ilikuwa imebaki unga tu.
Sababu kubwa ilikuwa ni manyayaso ya Mama yake mzazi alikuwa anamtumikisha sana na maneno ya kumtukana yaani hakuna jambo alilolitenda lilikuwa jema mbele ya Mama yake.