Unachuki na Walimu we bumunda.
Kwanini USISEME wazazi wake?
Kama aliuziwa na Mwalimu SI angejinylngea vyoo vya shuleni??
Tumia akili bichwa kubwa akili kisoda
We nawe huna akili kabisa, mimi kuna mjukuu wangu yupo darasa la pili somewhere, kuna siku mwalimu alimchapa kisa kavaa sweta la kawaida ajavaa lile la rangi ya taifa,na sweta wakalichukua,kumbuka siku iyo mvua ilikuwa imenyesha, baridi,na mtoto ana miaka nane wa kike tena, basi wakampora sweta wakalifungia stoo, ok,
Next day tena akataka amchape kisa sijui kwann kanunua sambusa nje wakati mwalimu yeye anauza mandazi darasani, mjukuu akagoma kuchapwa,maana jana yake walimchapa hadi kidole kikavimba, basi akamuuliza chagua nikuchape au uende ukamuite mzazi,mtoto akasema mi jana umenichapa sababu ya sweta hadi nna maumivu kwenye kidole,na leo unataka kunichapa tena,
Dogo akaondoka akaja kunishtakia babu yake,kiukweli nilimfuata yule mwalimu kwa ukali hswa,
Mkuu hawa walimu wa shule za msingi wamevurugwa na maisha sometimes wanawapa stress watoto,usiwatetee kabisa,kwani kuna kesi ngapi walimu wameua watoto? Walimu wengine madishi yameyumba,
Iyo shule juzi kuna mwalimu kasimamishwa kisa anawakaza wanafunzi wa kike,na kuwasumbua kuwatongoza.
Japo huyo aliyejinyonga haijulikani sababu nini,polisi ndio kazi yao watajua.