Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

mnakula uchafu
 
kuna jamaa walikuaga wanagonga supu ya utumbo uwanja wa fisi usiku kwenye vibatari akashangaa anatafuna lisaa lizima mzigo hausagiki kusogea kusogea kwenye mwanga bhana kumbe ule sio utumbo ni kondomu na janaba lake alilia kama mtoto
 
Sio kweli wenye upeo mdogo utawapeleka kama maji yanavyofuata mkondo
 
Kwa uroho mtalishwa MBWA!!!
 
Sio kweli wenye upeo mdogo utawapeleka kama maji yanavyofuata mkondo
Kitu gani siyo kweli mkuu?
Nakuomba njoo hapa buguruni muda huu nikununulie vitu vyote niliyo viorodhesha hapo!
Nitakununulia supu 500, wali 500, na chips kwa mama Aisha anauza 500, na juisi ya Matunda nitakununulia 300 ushushie!
Ukishiba nakupeleka kwa wahaya ukachague mwaamke yeyote unayemtaka kwa 3000 nitalipa mimi.

Serious njoo buguruni ili uache ubishi.
 
Wazee kuleni msiogope Wala Nini, baa na kwenye migahawa hata ya ki.sasa tu mijini ukienda huko majikoni yaani aisee tunapikiwa kwenye mazingira ya hovyo kabisa, hygiene ya ajabu kweli lakini msosi ukija mezani ni mtamu na msafi kabisa...hivyo wasiwatishe sijui vibudu sijui Nini, hata huko mabuchani unaweza kula kibudu au nyamamfu maana hukumuona mnyama kipindi anachinjwa Wala hukuona mazingira ya maandalizi ya huyo mnyama Hadi kufika buchani.

Hvyo kuleni nyama hizo sema Sasa usitumie sana Hadi ukasahau kujenga future yako, tumia kidogo cha kukutosha, then save kadri uwezavyo mwisho tafuta shimo la kuongeza pesa zaidi ili uwe financial freedom ya uhakika.
 
Mwamba unataka kujaribu kila kilemaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Kiziwi je??
 
Vingunguti , buguruni na viunga vyake πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…