Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Hiyo mixer unaweza kuta ni ya ng'obe kama 10 hivi.
Jifunze kushukuru Mungu kabla ya kuwa mjivuni!
 
Mnalishwa nyama ambazo ni condemned kule machinjioni! Mtakuja kuugua Hydatidosis hivi hivi, shauri yenu!
 
Nasubiri atakayemsimulia yule bubu mwingine wa Mwanza, enzi hizo nimeenda kikazi huko nikaenda kiwanja sijui kinaitwa Diamond na mshikaji, zimekolea nikabeba bubu kwa ushauri wa mshikaji wangu, yeye akabeba mwenzake na bubu ila siyo bubu, weeh, Whiskey ile na moto niliompelekea bubu nilishtushwa na kelele za mshikaji chumba cha pili, akijua kuna ugomvi, nikisikia story za mabubu nabaki kucheka
 
Mmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…