State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 542
- 1,286
That is the true meaning of being mediocre.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ndio ilikuwa debut kazini mkuu kitu kilikuwa tight balaa!Chai kabisa hii..bikra it means ulianza wew au ndo siku ya kwanza kuanza kazi?
Hiyo mixer unaweza kuta ni ya ng'obe kama 10 hivi.
Jifunze kushukuru Mungu kabla ya kuwa mjivuni!Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Inawezekana sana, mm nilishakula bubu pale Arusha maeneo ya kaloleni kwenye yalee mabar mengi ..Bubu anajiuza? How?
Hahahah sawa mkuuInawezekana ndio ilikuwa debut kazini mkuu kitu kilikuwa tight balaa!
Alishakufaga huyo mzee mushi kimboka.Kimboka pale ni shida.
Yule mzee alikula mpaka mtoto wake wa kumzaa, ndio maana baa imejaa laana ile.
🤣🤣🐕 Kitu hicho hapo
Ungemnunua huyo ukampelekee mwoto mpaka aongeee!juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
Mnalishwa nyama ambazo ni condemned kule machinjioni! Mtakuja kuugua Hydatidosis hivi hivi, shauri yenu!Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Bubu yule wa long time kinoma nakumbuka nilimwona hapo 2020 hivi kwa mara ya kwanza!
😁😁😁
Kuna bubu nilimkutaga sinza, itakua ndo huyo.juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
Yule bubu nlikuwa nakaa nae sinza mkorofi Sana af mwizi usijaribu kumgusa ana kelele Sanajuzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
Ndo huyohuyo duu kweli Dunia kijijiKuna bubu nilimkutaga sinza, itakua ndo huyo.
Miaka ya 2018 huko, alikua bado binti mdogo mdogo tu.
Saivi ndo kahamia buguruni, duuh nakumbuka alikua anapenda sana smartphone sijui saizi kanunua yake.Ndo huyohuyo duu kweli Dunia kijiji
Hahaha true ila watu ni watata sana yaani hadi details zake mnazo,Saivi ndo kahamia buguruni, duuh nakumbuka alikua anapenda sana smartphone sijui saizi kanunua yake.
Kitambo sana aisee
Katakuwa kalimla haka kajinga! Eti ana kelele sana usijaribu!Hahaha true ila watu ni watata sana yaani hadi details zake mnazo,
Sikuwezi!
😁😁
Ndiooo mkuuUnaishi buguruni na haujawahi kuona hiyo Supu ya 500 au haujawahi kuona kumma za aftatu.
MmmhNyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️