Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikaokoe labda ntapata ajiri jeshi la zimzmotoKwa mujibu wa vyanzo vya mtaani kuna uwepo wa ndege ndogo imepitiliza na kuingia ziwa Victoria
Lile jicho lake linamsumbua bwa sheheMzee vipi mambo. Miaka ya 2008 nilikua nakukubali sana kwenye mada za mambo ya security. Sikuoni siku hizi
Bukoba ni mkoa wa majanga nafikiri kuna haja ya kuepuka kupeleka ndege, meli na treni pale.Why always Bukoba?
JacksonMajaliwa [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Yawezekana ikawa janjajanja?Hata adondoke malaika toka mbinguni tunahitaji marekebisho ya mkataba wa bandari!! Hakuna kututoa kwenye reli!!
Ndege ya JWTZ, FT-6, hizi ni za mafunzo kwa fighter pilots,
Kutua kweye maji ni sehemu ya mafunzo?Ndege ya JWTZ, FT-6, hizi ni za mafunzo kwa fighter pilots,
Haya tuma salamu kwa wajinga wenzio watatuHata adondoke malaika toka mbinguni tunahitaji marekebisho ya mkataba wa bandari!! Hakuna kututoa kwenye reli!!
Mbona inafanana kama F-35
SI tumewadhulumu Waganda ardhi yaoKatika maeneo yanayotutesa nchi hii ni mkoa wa kagera na zenji,haya maeneo tuwarudishie wenyewe tu.
SI tumewadhulumu Waganda ardhi yao
Katika kanuni ya kiroho na utawara wa ardhi maji ndo hutumika kukata mipaka. Kwa upande wa mkoa wa kagera mpakani mwa uganda maji yanayoweza kutumika kama mpaka ni mto kagera tu. Hivyo kwa upande wa bukoba mjini bado itakuw tanzania labda kiwanda cha sukari na maeneo yanayofuataSI tumewadhulumu Waganda ardhi yao
shukrani kwa narration nzuriKatika kanuni ya kiroho na utawara wa ardhi maji ndo hutumika kukata mipaka. Kwa upande wa mkoa wa kagera mpakani mwa uganda maji yanayoweza kutumika kama mpaka ni mto kagera tu. Hivyo kwa upande wa bukoba mjini bado itakuw tanzania labda kiwanda cha sukari na maeneo yanayofuata