Bukoba: Ndege ndogo yapitiliza na kuingia ziwa Victoria

Vip Yale Mazoezi Ya Utayari Hayakufua Dafu Wakati Huu Wa Hali Halisi
 
Wabongo utawaweza?? Hawana shughuli ya kufanya all day long. Wakipata tukio ndo hivo sasa. Kila mtu ni mwandishi wa habari, anahusika na usimwulize eti inakuhusu nini?? Atakufyatukia kama javelin ya Ukraine.
 
Hii ndio JWTZ wameizamisha majini mzeeee. 😬😬😬😬 Kumbeeee Tz tupo wa Moto sanaaa
Inaweza kuwa ni mojawapo ya Topic (Mada)katika mafunzo namna ya kuepusha maafa kwa raia na mali zao. Nakumbuka tukio lile la Uwanja wa Taifa Chang'ombe enzi hizo baada ya vita ya Uganda, jamaa aliielekeza ndege nje ya uwanja na JWTZ waliokuwa kwenye hilo gwaride ndani ya Uwanja na hivyo wakasalimika.
Rubani alipewa heshima ya Ushujaa.
 
Wapi majaliwa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…