Yaani hadi Mh. Rais aelewe kuna watu nyuma yake wanao mhujumu itakuwa too late!!!Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi.Branding or Debranding?Jadili.
Duuuuh!Watampa kesi ya uhujumu uchumi au ugaidi
Na watoto wamemzidi mama kwa makelele wanayopiga wakigombea urithi wa Baba yao!!!!Nyumba imejaa kelele tu haina maelewano!!!kila mtoto anataka asikike kama kiongozi wa kaya!!!!Upo sahihi
Bulendu, watalii wengi watakuja kupiga picha za magaidi wa bastola na sh.600,000/=Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi.Branding or Debranding?Jadili.
Well said, hajui kuwa kizuri kinajiuza chenyewe. Standard Airports, standard roads/infrastructure, Star hotels and resorts, quality services na Usalama ndiyo msingi wa kuvutia utalii. Ati anaenda kufanya filamu ya kuonyesha utalii, sorry hata ungefanya trimming too --bese!Nyumba haina Baba kiongozi mama haelewi nini kifanyike ana haha tu!!!
Hili sikubaliani nalo, Angela Marckel ameiongoza Ujerumani kwa maiaka mingapi na anajua analolifanya.Nyumba haina Baba kiongozi mama haelewi nini kifanyike ana haha tu!!!
βββWatangazaji Tz ni hawa 1. Dotto Bulendu 2. Aloyce Nyanda 3. Edwini Odemba
Teteteβββ
vido vidox wa ayo tvβοΈβοΈ
Maza amegeukia maigizoNa watoto wamemzidi mama kwa makelele wanayopiga wakigombea urithi wa Baba yao!!!!Nyumba imejaa kelele tu haina maelewano!!!kila mtoto anataka asikike kama kiongozi wa kaya!!!!
Subiri utaona mkuuDuuuuh!
Wote ni wale wale tu, lao moja unataka kusema yeye Rais hajasikia na haelewi?Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi.Branding or Debranding?Jadili.
Natamani kujua hii picha ina maanisha nini?πππ
View attachment 1921819
Mmoja anadeki mwingine anachafua tena kwa spead kuliko anayepiga dekiAnaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi.Branding or Debranding?Jadili.
Achana na mwanaharakati Dotto Bulendu- wapi hakuna ugaidi hapa duniani? Mkumbushe kuwa msimamo wa dunia ni kuwa ugaidi usitutie hofu bali tuendelee kuishi maisha yetu ili nia ovu ya magaidi ya kututia hofu ishindwe. Ndiyo maana RJMT Samia anaendelea kuchapa kazi.Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi.Branding or Debranding?Jadili.
Rafiki huyo jamaa alievaa kijani anajenga zebra ya kuvukia kwenda porini sehemu ambayo hakuna wavuka barabara.Maana yake hana akili na hajitambui na hajui analofanya.Natamani kujua hii picha ina maanisha nini?
Hujui lolote kuhusu utalii. Na utalii haundeshwi kisiasa, jifunze kidogo ndiyo uwe unachangia madaAchana na mwanaharakati Dotto Bulendu- wapi hakuna ugaidi hapa duniani? Mkumbushe kuwa msimamo wa dunia ni kuwa ugaidi usitutie hofu bali tuendelee kuishi maisha yetu ili nia ovu ya magaidi ya kututia hofu ishindwe. Ndiyo maana RJMT Samia anaendelea kuchapa kazi.
Mkuu umefikiri na kusema kwa hisia kali sana.Watampa kesi ya uhujumu uchumi au ugaidi
Mara nyingi sana nasema hapa jukwaani watu wasichanganye siasa na uchumi ndio matatizo hayo mkuu.Hujui lolote kuhusu utalii. Na utalii haundeshwi kisiasa, jifunze kidogo ndiyo uwe unachangia mada