Bulendu: Rais ana-brand utalii kimataifa, wasaidizi wake wanasema kuna ugaidi

Bulendu: Rais ana-brand utalii kimataifa, wasaidizi wake wanasema kuna ugaidi

Rafiki huyo jamaa alievaa kijani anajenga zebra ya kuvukia kwenda porini sehemu ambayo hakuna wavuka barabara.Maana yake hana akili na hajitambui na hajui analofanya...

Slain Tanzania gunman was 'terrorist': police​


1630656338623.png
 
Anaandika Dotto Bulendu

Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
'Proof of the pudding is in the eating'.
 
Yaani hadi Mh. Rais aelewe kuna watu nyuma yake wanao mhujumu itakuwa too late!!!
Hivi ni mtalii gani ata kuja kwenye nchi yenye magaidi?
Tukisema Siro na genge lake wana mhujumu Mh. Rais wengine wana bisha. Ila kwa kweli Siro anatakiwa kuachia hiyo nafasi kwa heshima yake na heshima ya Taifa.

Na yeye kama anaweza kuhujumiwa kwa kiasi hiki bila ya kujua, basi hatufai kwenye hiyo nafasi.
 
Anaandika Dotto Bulendu

Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Yaani katika serikali ambazo hazijielewi ni hii ya ccm. Full mvulugano
 
Well said, hajui kuwa kizuri kinajiuza chenyewe. Standard Airports, standard roads/infrastructure, Star hotels and resorts, quality services na Usalama ndiyo msingi wa kuvutia utalii. Ati anaenda kufanya filamu ya kuonyesha utalii, sorry hata ungefanya trimming too --bese!

Kashaonekana ni mtu wa maigizo tu. Nchi hii inabahati mbaya sana sana.
 
Anaandika Dotto Bulendu

Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Debranding ya hali ya juu!!!!
 
Kuna tatizo kubwa katika mawasiliano kati ya Taasisisi, no communication at all. Labda ni kweli hawa wasaidizi wake hawana exposure, mtalii yupo atachagua kwenda Afghanistan asiende Morocco? Asiende Kenya aje Tanzania kwenye ugaidi? Utalii kitu namba moja ni usalama; wa vyote hata mahali watakapolala.
Haya majinga machumia tumbo sidhani kama yatakuelewa.
 
Kashaonekana ni mtu wa maigizo tu. Nchi hii inabahati mbaya sana sana.
Nchi hii inasalitiwa na watu wa chache kwa maslahi yao binafsi Sio wengine ni akina Fulani wanaomilki mamlaka za kikatiba.
 
Bulendu tumjengee Mnala njiapanda ya kuingia Ikulu Dodoma.
Kuna waandishi na watangazaji wako vizuri sana.

actually watanzania wengi wakiweka matumbo pembeni ni magenius.
 
Msishangae,Mama Jana Kasema Gwajiboy Oyeeee huku Juzi kati Gwajima katoka kuhojiwa na bunge lake kuhusu kauli zake sa unashindwa kumuelewa huyu Rais Wetu Ni Moto Au Baridi?? huyu Mama huenda anamatatizo sio bure Wa mchunguze tusije Mpoteza Huenda Baada ya Kuchanja Kaanza kupotea
 
Yaani hadi Mh. Rais aelewe kuna watu nyuma yake wanao mhujumu itakuwa too late!!!
Hivi ni mtalii gani ata kuja kwenye nchi yenye magaidi?
Tukisema Siro na genge lake wana mhujumu Mh. Rais wengine wana bisha. Ila kwa kweli Siro anatakiwa kuachia hiyo nafasi kwa heshima yake na heshima ya Taifa.

Nyie ambao hamumuambii ukweli Mama ndio mnamhujumu kiana. Ugaidi uliofanyika mbele ya lango kuu la kuingilia Ubalozi wa inji maarufu na muhimu duniani ya Ufaransa unategemea utawazuga wanzungu kwa kusema halikuwa tukio lenye viashiria vyote vya kigaidi. Ionesheni dunia mtafanya juhudi gani kukabiliana na watu wenye matendo ya Hamza hapo ndipo mtaheshimika na kuwapa Watalii imani.
 
Anaandika Dotto Bulendu

Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Idiocy of astronomical proportions! Ni vigumu Tanzania kuivunja hii vicious circle of poverty kwa akili kama hizo!
 
Kuna tatizo kubwa katika mawasiliano kati ya Taasisisi, no communication at all. Labda ni kweli hawa wasaidizi wake hawana exposure, mtalii yupo atachagua kwenda Afghanistan asiende Morocco? Asiende Kenya aje Tanzania kwenye ugaidi? Utalii kitu namba moja ni usalama; wa vyote hata mahali watakapolala.
Ukilitizama hili suala kwa makini utagundua kuwa Mama Tozo anatwanga maji kwenye kinu.
Yeye yuko buzy kuwavutia Watalii kuja nchini Kwa gharama kubwa. Wakati huo huo wasaidizi wake wako buzy kuhakikisha kuwa Dunia inaamini kuwa Tanz kuna Ugaidi. Polisi wanatumia Kila njia kuhakikisha nchi imechafuka kimataifa. Kwa kujaribu kutengeneza kesi za kuunga unga za Ugaidi mf suala la Hamza na Mh Mbowe. Siwalaumu Sana Polisi kwani sote tunafahamu sifa ya viwango vya elimu ya kujiunga na jeshi la polisi. Lawama nawaangushia Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
 
Anaandika Dotto Bulendu

Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Gwajima anasema Viongozi wa serikali wamehongwa ili kuwashawishi Watanzania kuchanja nae hatachanja kisha Rais anampandisha jukwaani ili aseme kama atachanja. Maajabu yanayopatikana Tz tu.
 
Ni bahati mbaya sana awamu hii nchi yetu neno UGAIDI tunalitumia kwa urahisi sana ilihari kwingineko duniani likitajwa nchi zinasimama kwa taharuki. Tukio la Hamza mi bado nilipima kama uhalifu mwingine unaoweza kuwa umesababishwa na visa, msongo wa mawazo au tatizo la kiafya. Kumbuka hata malaria ikipanda kichwani inapelekea mtu kufanya yasiyotarajiwa.

Nashauri mamlaka zisipende kuitumie neno UGAIDI kirahisi. Ingekuwa hivo hata alivouawa DAUD MWANGOSI ingekuwa zaidi ya ugaidi.
 
Back
Top Bottom