Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
poa my wangu, nimekumissMy wangu....mambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa my wangu, nimekumissMy wangu....mambo?
Kifungu?Biblia inasema, "uovu wa mwanamke unaonekana kwenye sura yake"
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
siafikiani na hili inamaana kwa hii sura yangu ni moja kwa moja mm ni jambaz au maana hii sura yang sometimes inanitisha mm mwenyew nkijiangalia kwa kiooUkweli ukiitizama sura ya mwanamke inajieleza lakini huyo bwana mdogo alikuwa so innocent hata kwa kuonekana tu.
Mungu amrehemu lakini tuliobaki tunasonga mbele ndoa bado zitakuwepo tu hiyo ni ajali kama zilivyo ajali nyingine au kama leo tulipotoka makwetu asubuhi hadi muda huu giza linaingia kuna ambao hatukupata kitu na kuna ambao wamepata so yote ni matokeo mwenye mke ameuawa na mkewe na yupo mwengine anatengewa maji na mkewe akaoge muda huu.
Zinaa ni mauti! Watu wanajisifia eti kuchepuka! Kikristo ndoa ni mme/mke mmoja! Kama huwezi usiingie na usifanye tendo hilo kwani ni kwa waliooana nje ya hapo ni dhambi na dhambi mshahara wake ni mautiOfisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.
Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.
View attachment 2951950
Tupe mstari! Lakini kwa kumwangalia usoni huyo mwanamke wa kikurya jicho kodo lazima ni mtata!Biblia inasema, "uovu wa mwanamke unaonekana kwenye sura yake"
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hata mimi Chief najiuliza ataanzia wapi kwanzaMimi sijui Kama Kuna MWANAMKE wa kunipigaa najarib kuwaza
Hata urefu anamzidi mme! Pamoja na kwamba mimi mrefu, lakini Siwezi oa mwanamke anayenizidi urefu!Mke anaonekana baunsa
Nimekumiss pia. Usharudi kutoka Dubai?poa my wangu, nimekumiss
Kitabu gani?Biblia inasema, "uovu wa mwanamke unaonekana kwenye sura yake"
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
🥺🥺🥺🥺Ofisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.
Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.
View attachment 2951950
Njombe BomayeNjombe watalipa
eeh nilirudi week iliyoisha but naondoka tena this weekendNimekumiss pia. Usharudi kutoka Dubai?
Inafikirisha sanaaHata mimi Chief najiuliza ataanzia wapi kwanza
Hlf najiuliza aliung'ataje ulimi coz upo ndani ya mdomo,,,,inafikirisha sana
Kwa Tanzania katiba mpya itamke kutakuwa na ndoa za mkataba ,I) tukizaa mtoto mmoja tuachane,( 2 tukihisi mmoja wetu anachepuka basi tuachane.
Hekima ya Yoshua Bin Sira, unakipata kwenye biblia ya wakatoliki.Kitabu gani?