Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Bibi yangu upo? Nimekumiss sana.Katiba inahusu nini? Kwani ulikatazwa na nani kumuwacha mkeo au mumeo?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi yangu upo? Nimekumiss sana.Katiba inahusu nini? Kwani ulikatazwa na nani kumuwacha mkeo au mumeo?
Safi my wangu. Nitakucheki ili uniletee bidhaa fulani hivi, maana huku bongo miyeyushoeeh nilirudi week iliyoisha but naondoka tena this weekend
sawa mahi dihaSafi my wangu. Nitakucheki ili uniletee bidhaa fulani hivi, maana huku bongo miyeyusho
Wanawake wa hivyo huwa wanakuwa wametumika sana wakaisha utamu wote, sasa ikabakia kupata nice man alafu alipe kisasi kwa kutumika huko nyuma... sasa wanawake hawajuagi jinsi unavyochanganya wanaume unakuwa mwovu mpaka sura inabadilika kabisa maana ukimwangalia unaona ana maumivu sana. Sasa anakwenda kuishia gerezani dahh nahisi asiwe na watoto.Tupe mstari! Lakini kwa kumwangalia usoni huyo mwanamke wa kikurya jicho kodo lazima ni mtata!
Mzee foxyKatiba inahusu nini? Kwani ulikatazwa na nani kumuwacha mkeo au mumeo?
Ukilala naye usiku si anaku time tuMimi sijui Kama Kuna MWANAMKE wa kunipigaa najarib kuwaza
The reason why I will never get marriedOfisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.
Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.
View attachment 2951950
Uhusiano wa mashaka.Ofisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.
Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.
View attachment 2951950
Taja verse sasaHekima ya Yoshua Bin Sira, unakipata kwenye biblia ya wakatoliki.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
😊😊😊😊Ukilala naye usiku si anaku time tu
😄
akikukosa huko atakupata kwenye chakula si anakupikia,anakupakulia pia
AKikukosa huko atakupata kwenye kukufulia nguo 😄
ova
Lakini ni kwanini hii mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na mikoa ya upande wa kushoto inaongoza sana kwa mauaji ya kikatili yanayohusu wivu wa kimapenzi?Ofisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.
Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.
View attachment 2951950
wachana na njombe yetu wewNjombe watalipa
Naona umewablock timu kataa ndoaUkweli ukiitizama sura ya mwanamke inajieleza lakini huyo bwana mdogo alikuwa so innocent hata kwa kuonekana tu.
Mungu amrehemu lakini tuliobaki tunasonga mbele ndoa bado zitakuwepo tu hiyo ni ajali kama zilivyo ajali nyingine au kama leo tulipotoka makwetu asubuhi hadi muda huu giza linaingia kuna ambao hatukupata kitu na kuna ambao wamepata so yote ni matokeo mwenye mke ameuawa na mkewe na yupo mwengine anatengewa maji na mkewe akaoge muda huu.
Umejuaje kuwa ni wenyeji wa huko?ila watu wa kanda ya ziwa kwa matukio mwee
Mnoo..nawaza wakati wa upendo huo ulimi ulikua una kazi yake...Yaan bora uniue sio uning'ate ulimi...hajaona sehemu nyingine za kung'ata...yaan marehemu kateseka kwa maumivu makali sana
Wolper hana sura ngumu hivyoHapana kama wolper ready to fight huyo ni mchagga