Bunda: Auawa na mkewe kwa kuchomwa kisu, kung'atwa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri pamoja na ulimi

Bunda: Auawa na mkewe kwa kuchomwa kisu, kung'atwa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri pamoja na ulimi

Tupe mstari! Lakini kwa kumwangalia usoni huyo mwanamke wa kikurya jicho kodo lazima ni mtata!
Wanawake wa hivyo huwa wanakuwa wametumika sana wakaisha utamu wote, sasa ikabakia kupata nice man alafu alipe kisasi kwa kutumika huko nyuma... sasa wanawake hawajuagi jinsi unavyochanganya wanaume unakuwa mwovu mpaka sura inabadilika kabisa maana ukimwangalia unaona ana maumivu sana. Sasa anakwenda kuishia gerezani dahh nahisi asiwe na watoto.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ofisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.

Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.

View attachment 2951950
The reason why I will never get married
 
Ofisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.

Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.

View attachment 2951950
Uhusiano wa mashaka.
 
Ukilala naye usiku si anaku time tu
😄
akikukosa huko atakupata kwenye chakula si anakupikia,anakupakulia pia
AKikukosa huko atakupata kwenye kukufulia nguo 😄

ova
😊😊😊😊
Huko kuviziana mkuu Mimi nilisemea kupigana ngumi alaf nidundwe na MWANAMKE

Kuviziwa hapo sawa mkuu😊😊😊😊
 
Ofisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara.

Inasadikika kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mwanaume kumtuhumu mke wake kuwa ameanzisha mahusiano mengine nje ya ndoa.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Mara ACP Salim Morcas na amesema tayari mwanamke huyo anashikiliwa na Jeshi hilo na kwamba uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.

View attachment 2951950
Lakini ni kwanini hii mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na mikoa ya upande wa kushoto inaongoza sana kwa mauaji ya kikatili yanayohusu wivu wa kimapenzi?
 
Ukweli ukiitizama sura ya mwanamke inajieleza lakini huyo bwana mdogo alikuwa so innocent hata kwa kuonekana tu.

Mungu amrehemu lakini tuliobaki tunasonga mbele ndoa bado zitakuwepo tu hiyo ni ajali kama zilivyo ajali nyingine au kama leo tulipotoka makwetu asubuhi hadi muda huu giza linaingia kuna ambao hatukupata kitu na kuna ambao wamepata so yote ni matokeo mwenye mke ameuawa na mkewe na yupo mwengine anatengewa maji na mkewe akaoge muda huu.
Naona umewablock timu kataa ndoa
 
Back
Top Bottom