Bunda: Auawa na mkewe kwa kuchomwa kisu, kung'atwa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri pamoja na ulimi

siafikiani na hili inamaana kwa hii sura yangu ni moja kwa moja mm ni jambaz au maana hii sura yang sometimes inanitisha mm mwenyew nkijiangalia kwa kioo
 
Zinaa ni mauti! Watu wanajisifia eti kuchepuka! Kikristo ndoa ni mme/mke mmoja! Kama huwezi usiingie na usifanye tendo hilo kwani ni kwa waliooana nje ya hapo ni dhambi na dhambi mshahara wake ni mauti
 
🥺🥺🥺🥺
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…