Bunda: Auawa na mkewe kwa kuchomwa kisu, kung'atwa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri pamoja na ulimi

Mkiambiwa msioe hamsikii
 
Ukisoma Injili 4 (Mathayo, Marko, Luka na Yohane) utagundua maelezo kama hayo.

Wengi wanadhani zinapingana, kumbe kila mwandishi anawasilisha taarifa ileile katika engo yake na maudhui makhususi.
 
Umeandika points tupu.Dalili za mwanamke muovu ukizisoma mapema muache.Heri nusu shari kuliko shari kamili
 
Ogopa sana mwanamke wa KIJITA
 
Wanake wa siku hizi wako kama wanaume tu. Wanachepuka halafu wa kamatwa wanakuwa wakali. Wanawake wa zamani walikuwa wanachwa na waume zao miaka miwili wakati mme kaenda kutafuta pesa na akirudi wanakuwa mke anamsubiri bila shida. Lakin wa siku hizi ni shida tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…