Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

Sasa boss Kama suala ni tendo na mwili tu hakuna factors nyingine za kuzingatia Mbona ulipokuwa mdogo huwezi kujilinda ulilindwa? Unadhani wewe wa miaka 9 na huyu wa sasa wa miaka 9 mna tofauti?

Ingekuaje kama jamii iliyokulinda na wafiraji ingepuuza tu sababu mwili unao, tundu unalo na tendo ni lile lile?

Kinachoangaliwa hapa si uwezo wa mtoto kuingiliwa na kubeba mimba, ni ukomavu wa akili ya mtoto kuweza kuhandle hiyo hali, utayari wake na uwezo wa kulea huyo mtoto na athari anazoweza kupata kama fistula, kuchanika kizazi n.k same as madhara ambayo ungeyapata iwapo ungefanyiwa hicho kitendo ulipokuwa na miaka 9.

Binti wa miaka 9 na wewe ulipokuwa mvulana wa miaka 9 wote ni watoto, ulistahili ulinzi na huyu wa sasa anastahili ulinzi
Ulinzi upi!?, Hii sheria ya miaka 18 ipo miaka lakini mbona haijazuia Wasichana wadogo wasishike mimba na kuzaa!?.

Ikiwa anaweza kubeba mimba akiwa shule ya msingi bila ndoa , vipi azuiliwe kuolewa!?.
 
Aya maelezo yako yoote ni kujustify suala lenu la kuoa vitoto vya miaka9 ? Hivi unawezaje wezaje kupitisha li Engong baltsaar lako kweny K ya mtoto?
Ungemuliza Joseph alipo mposa mama wa Yesu wakati ana umri wa miaka 6 angekujibu.
 
Vyombo vya habari vya kimataifa na wanaharakati wa haki za binadamu wameishutumu vikali Iraq kwa muswaada unaojadiliwa na bunge la nchi hiyo unaokusudia kushusha umri wa wanawake kuolewa kutoka miaka 18 hadi kufikia miaka 9, wanaharakati wa haki wanasema muswaada huu ni mbovu mno na huku ni kurudisha nyuma hatua kiasi zilizofikiwa za haki za wanawake katika taifa hilo.

View attachment 3147454
Watesaji wa watoto hao ....hao ndio makafiri haswa.
 
Ulinzi upi!?, Hii sheria ya miaka 18 ipo miaka lakini mbona haijazuia Wasichana wadogo wasishike mimba na kuzaa!?.
Sheria inamlinda mtoto sababu ukikamatwa umemwingilia mtoto adhabu zipo.
Ikiwa anaweza kubeba mimba akiwa shule ya msingi bila ndoa , vipi azuiliwe kuolewa!?.
Kuweza kubeba mimba hakukupi uhalali wa kumuingilia mtoto.

Nimekupa mfano mwepesi kuwa mambo hayafanyiki tu sababu yanawezekana.

Naurudia mfano ili tuelewane.

Wewe ulipokuwa na miaka 9 si ulikuwa na uwezo wa kuingiliwa? Si wafiraji walikuwepo? Pamoja na uwepo wa sheria si matukio ya watoto kuingiliwa yalikuwepo?

Sasa sababu inawezekana kuingiliwa, ingepitishwa sheria kuwa vijana wadogo ruksa kuolewa mzazi wako akaamua uwekwe sokoni unadhani angekosekana wa kukuoa? But hili halikutokea sababu sheria zilikulinda.

Sasa kama ambavyo wewe ulilindwa na watoto wengine wanalindwa bila kujali jinsia.

Suala kwamba wanaweza kuingiliwa na kushika mimba halihalalishi wao kuingiliwa japokuwa watu wenye hizi tamaa wapo.
 
Kwa akili hizo Israel ataendelea kuwatifua mpaka mwisho wa dunia.
Adui mkubwa wa Waarabu ni Uisilamu na haswa kuamini kuwa Quruani ni DIRECT WORD OF ALLAH.

Wakati wa Abbasid Caliphate Sultan wa Baghdad Harun Bin Rashid aliwaita Muslim Scholars na likaongelewa sana hili Scholars walibishana sana kuhusu hilo mwishowe ikafosiwa kuwa Quruani ni maneno ya moja kwa moja kutoka kwa Allah halafu ukiwauliza Waisilamu kama Mohamed alionana USO KWA USO na Allah wanasema kuwa HAPANA HAKUONANA ni Malaika ndio alimletea Quruani 😆😆😆😁😂
 
Hivi hizi serikali za kiislamu kipaumbele chao huwa ni kuwaza ngono na kumkandamiza mwanamke tu??
 
Unaweza kukubali binti yako wa miaka 9 kuolewa ??
Kwann nisikibali au unataka wamgegede shuleni vijana wa ovyo ,,huu mfumo wa elim ya sekular mashuleni ndio unaodhorotesha maadili,,watoto wanasagana mabwenini ,,wengne wanafirana mahostel,,,sasa kwanin nisimuoze mwanang ww kama unataka kumpa elim mchwara ww mpe sis tunaozesha
 
KWA MAYAHUDI KWAO NI 3 YEARS OLD LKN HAMUSEMI KWA SABABU NI TAIFA TEULE
 
Sasa miak 9 si anacheza vikopo tu jmn kha wamezidi Sasa
 
Makilo hiii elim ya sekular tunaysoma mashulen sio elim halis ,,,wameamua kutupa tone tu la elimu ila bahar nzima wanayowao
 
We jamaa punguza ufala bac mtoto wa miaka tisa bado hajakomaa, hajakomaa mwili, hajakomaa akili, hajakomaa kimawazo hadi awe mke wa mtu.

Watoto wa kike wanapevuka kuanzia miaka 8 hadi 13, baada ya 13 ndo wanakuwa angalau wame Develop kidogo but je wanafaa kuwa wake? HAPANA.

Viungo vyao bado vidogo sana kushahimili kufanya mapenzi na watu wazima, wengine wanaumia hadi wanachukia kufanya mapenzi, wengi wanapata michubuko na vidonda hadi vagina zao zinakuwa disfigured.

Mke wa miaka 9 wewe atakusaidia nn?? Hajui hata kula vizur, hata kujisafisha vizur hawez, hata kujisimamia hawez.


Au ndo mnaiga ile mudy na Aisha?
Kwamujibu wa uislamu kufanya aliyofanya mtume ni Sunna

Yaani huwezi ukajiita muislamu halafu hufati aliyofanya mtume, eg kuoa wake wengi, kufuga ndevu, kuoa visichana vdogo(refer Aisha), kufunga, kuvaa kanzu na kobazi, kufuga majini etc
 
Serikali ya Tanzania inaruhusu Watu kuuza na kunywa pombe lakini haimaanishi kila Mtanzania ni mlevi, ila Sheria ya kukuzuia usinywe haipo ni wewe na maamuzi yako.

Iraq inachotaka kufanya ni kuondoka huo mbano , msichana awe huru akiona anataka kuolewa kuanzia umri huo ruksa, hii itaondosha uzinzi uliojaa kwakua watu wamebanwa sanaa na sheria kandamizi ya miaka 18. Naunga mkono muswada huo, Msichana akitaka kuolewa kuanzia umri huo na aolewe. Uzuri ndoa katika Uislamu haipiti bila ridhaa ya muolewaji, kwanini umsubirishe mtu na karidhia kuolewa kisa hajafika miaka 18 lakini mwili na afya yake vinamruhusu!?..

Leo hii Tanzania inawasichana wangapi ambao wamepewa mimba wakiwa shule ya msingi!?, Au wakiwa sekondari ambao ni umri kuanzia miaka 10, 11, 12 na kuendelea.
Yaani mtoto wa miaka 9 aone yupo huru kuolewa?
 
Vyombo vya habari vya kimataifa na wanaharakati wa haki za binadamu wameishutumu vikali Iraq kwa muswaada unaojadiliwa na bunge la nchi hiyo unaokusudia kushusha umri wa wanawake kuolewa kutoka miaka 18 hadi kufikia miaka 9, wanaharakati wa haki wanasema muswaada huu ni mbovu mno na huku ni kurudisha nyuma hatua kiasi zilizofikiwa za haki za wanawake katika taifa hilo.

View attachment 3147454
Hawa ni ng'ombe kabisa.
 
Back
Top Bottom