FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ma shaa Allah, ikiwa hivyo raha sana.Inawachukulia wanawake kama chombo cha starehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma shaa Allah, ikiwa hivyo raha sana.Inawachukulia wanawake kama chombo cha starehe
Wanaojadili bungeni wanaelewa wanachokifanya.Miaka 9 hivi anakua amevunja ungo kweli, hii ni too much. Wengine wanalinganisha na africa zamani. Sio kweli wale walikua wanafanya booking, mpaka apevuke ndio anamchukua.
Ni uonevu kwa watoto wadogo,umri huo wanakuwa hawana hisia zaidi ya maumivu tu.Ma shaa Allah, ikiwa hivyo raha sana.
Bibi FaizaFixy anasema ni halali kabisa binti yako wa miaka 9 kwenda kufanywa kama yeye anavyofanywa maana inafanywa wafuasi wa Mudi.Ni uonevu kwa watoto wadogo,umri huo wanakuwa hawana hisia zaidi ya maumivu tu.
Tusubiri bunge lao wataafikiana nini.Ni uonevu kwa watoto wadogo,umri huo wanakuwa hawana hisia zaidi ya maumivu tu.
Wakiipitisha hii sheria, tutawaona kama genge la wahuni waliokusanyika sehemu moja.Tusubiri bunge lao wataafikiana nini.
Ukiniuliza maoni yangu, aona ni vyema sana.
Mimi naona wajinga ni wale wanaojifanya wana akili kuliko Muumba wao. Ingekuwa ni mini nnawaongoza, ingekuwa haina mjadala wala haina umri.Wakiipitisha hii sheria, tutawaona kama genge la wahuni waliokusanyika sehemu moja.
Changes bro! Karne 21,2024 huwezi kutumia mbinu za kuishi za mwaka 1900! It's mad and insane,hivi kwa mujibu wa sayansi umri gani unafaa kuolewa?, maana mabibi zetu wengi huku Afrika walikuwa wanaolewa katika umri wa miaka chini ya 15
Mtoto aache kusoma aolewe!Mimi naona wajinga nu wsle wsnaojifsnya wana akili kuliko Muumba wao. Ingekuwa ni mini nawsingiza, haina mjadala wala haina umri.
Tufate uasili (nature) tu. Mradi wa kike kisha vunja ungo aolewe na w kiume kabalehe aowe tu.
Mhakua cha miaka wala nini.
. Haya masheria ya kijinga ya kujitungia wenyewe ndiyo yanatupekeka puta.
Waislamu wenzio wa Iraq wanataka kuoa watoto wakike wa miaka 9,Naam, umeniita?
Tatizo nini?
Kasome post #172.Waislamu wenzio wa Iraq wanataka kuoa watoto wakike wa miaka 9,
Je wewe kama muislamu una maoni gani
PumbavuKama yeye anataka kuolewa kwa nini nimkataze?