Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,768
Umejiuliza tarehe 7 September, 2017 Bashite alikuwa wapi wakati Ikulu ya Dar, Rais alikuwa anapokea ripoti ya makinikia na yeye akiwa mkuu wa mkoa wa Dar alitakiwa kuwepo!!!?Huyu atakuwa alihusika na shambulio la LISU huyu.Hii Ban kwake inamaana kubwa sana.
Ila kweli nimeani ccm kuna majuha wengi.Hivi marekani Ni peponi? Yani asipoenda marekani atapata hasara gani au nchi itapata hasara gani.
Tusisahau kuwa hivi karibuni tu, balozi wa Marekani alifunga Safari kwenda kumwona mke wa Azory Gwanda na kumtakia Krismasi njema.Makonda bado ni kijana mdogo ana familia inakua changa nadhani yeye mwenyewe ataangalia haya yanakuaje kwasababu inavyoonekana hawa wanaoitwa mabeberu wamemkalia vibaya..
Ni vizuri tukipata nafasi za uongozi tujue kuna kesho na tuna watoto wanakua..hili ni jambo zito sana.
Kitendo cha kutajwa kwa mke wake kimenitisha kumbe ukifanya mambo usisahau inawagharimu hata ndg zako wa karibu..Kwa nchi kama US kutajwa namna ile tena na Waziri wa mambo ya nje na Jasusi kama huyo Pompi ujue kweli kuna mahala sio sawa.
Ile barua inasema credible sources ina maana wamefuatilia na wana jambo pengine..
Kwann unampenda sana yakobo,nimenukuu moja ya mistari kwenye wimbo wa roma. Baba akionyesha hadharan upendo kwa mtoto anakua anajiona yy yuko juu anaweza fanya lolote ukichaa unamjaa na lazima anaishia pabaya nisawa na makondaMakonda aka Bashite hajawahi kufanya jambo bila kuacha alama...Haya ni machache tu ila yapo mengi sana aliyofanya ambayo yanakandamiza haki za binadamu na uhuru wa kuishi....Bashite anafanya hayo akikingiwa kifua na Baba Yake Meko na Mjomba wao Hi Now.
1.Bashite anahusika 100% kwa kuawawa kwa Ben Saanane.
2.Bashite anahusika 100% kwa shambulio la Lissu.
We pu.nga, uwe japo na akili kidogo angalau ya kuombea maji. Hivi unadhani hayo MAUAJI Makonda aliyatekeleza kwa amri ya nani? Shenzi wewe.Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Hamzidi yule dada mwenyekalio anaitwa Kawe AlumniUMEM SAHAU YULE MPUMBAVU MKUBWA ANAYE JIITA "MAGONJWA MTA UMBUKA" AISEE THIS GUY IS A LOSER SIJA PATA KUONA. VERY STUPID GUY
Si leo tu. Labda hunisomi bila kuwa biased.Leo umeongea fact Dada faizafoxy ujue sijui tuna akili za kushikiwa sisi jamani ccm yangu naililia kwa kuenda shimoni kiss wachache wenye uchu wa madaraka ila mungu yupo ccm italudi kwenye misingi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
FAIZA HUJAMBO LAAZIZ .VIPI MA CCM YANA SEMAJE, YAME KUKOSEA NINI MBONA LEO UNA YAKANA?Si leo tu. Labda hunisomi bila kuwa biased.
Kaka Tumia ubongo hivi sisi hapa Kweli tunaweza kusema tupambane na hao unaoita Mabeberu?? Jana tu wametupa Magari ya Jeshi sasa unasema wamebanwa ha haa..sisi na wao nani anaweza kubana mwingineMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Toa hoja,acha kuropoka kijana!Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..