Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..

Kaka usiwaite mabeberu tutakosa milion 500 za elimu kwa watoto wetu
 
SURA MBAYA KUFA HUTAKI... WEWE MWENYEWE HUNA ELIMU KAZI KUAMBIA KILA MTU HANA ELIMU. PUMBAVU KABISA, SHETANI MKUBWA WEWE. KWENDA.....TOKAAAAAA GO TO HELL
Si nimesema, hapo umeihakikishia jamii kuwa kweli kabisa shule ulienda kusomea ujinga. Kinaga ubaga.
 
Huyu jamaa ameshiriki ushetani wa hali ya juu sana, na kwa umri wake hii BAN imemvurugia saaaana.
Acha imvurugie, alifikiri kuwa mkuu wa mkoa ni kuwa juu ya Dunia. Tena Wamarekani watoe ushahidi kabisa juu ya jinsi amekuwa akinyang'anya watu haki yao ya kuishi!!!!!
 
Huyu naye siku hizi amepoteza credibility. Mikono yako kama ilivyo ya Magufuli na Makonda imejaa damu. Kuchongea watu wengine kwa magaidi wa serikali hakutakusaidia kitu ila inaonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri.
 
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
unajua zile dollar million 500 zilikuwa ztolewe na nan
Tumia akili
Fikiria kwanza kabla ya kutoa shudu zako
 
Daaaaah !
Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUNACHOKIFAHAMU NA TULICHOKITEGEMEA NI KWAMBA. ILIKUWA NI LAZIMA KWA MAKONDA KUNYOOSHEWA KIDOLE NA HAO WAMEREKANY, SABABU NI NINI? SABABU NI Mh. MAKONDA KUJITOKEZA NA KUPINGA MASHOGA HADHARANI. NA KUHAMASISHA JAMII PIA NA KUIZINDUA JAMII ISIKUBALI USHOGA HAPO DAR.

HUO NDIO UKWELI. KISINGIZIO KINACHOTUMIKAGA NA HAO WATU KINAITWA "DIMOKRASYIA' LAKINI HILO NI VUNGA TUU. WAZEE HUKO MAMBELE WANATAKA WANAUME WA WAAFRIKA NAO WAANZE KUTANDIKANA. HILO HALIKUBALIKI.

HUYU KIONGOZI WETU NI BORA ASIENDE HUKO, LAKINI USHOGA AENDELEE KUUPINGA TUU.

KAZA UZI BWANA MAKONDA. SISI TUPO NA WEWE.
 
Atavuna mambo aliyoyafanya
 
Sikumbuki ni lini mtu mweupe akawa na jema kwa ngozi nyeusi.

Hivi si ndio hawa hawa walikuwa wanapiga babu zetu mijeledi na kuyaita makazi yao bara la giza??

Hivi ni lini wamepata upendo wa ghafla mpaka wakaamua kutupigania ili tupate demokrasia??
Unataka kutuambia wewe na genge lako mnapowaua watu ngozi nyeusi wenzetu mkawafunga kwenye miroba, na kuwatupa kwenye mito Ni jambo jema kwa ngozi nyeusi?
 
Wewe na nani,!
 
Hata Iran mara ya kwanza walivyoambiwa na US kwamba wana ushahidi wa kutosha kwamba wameitungua ndege ya Ukraine walibisha ila baada ya kugundua kweli US wana data zote ikabidi "WATEME NDOANO" ,Mabeberu washasema BASHITE kaua watu wana ushahidi wa Kutosha inabidi uwaelewe tu mtu kama MIKE POMPEO sio MAMBO SASA au KOVA WANAOTUNGA FUTUHI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…