Bunge la Tanzania umekuwa muhimili mbovu na usio na tija wala faida kwa Taifa

Tukiamua kama nchi wote tunakomaa tunakwenda pale tunaongea nao mpk waelewe na unaitishwa uchaguz mkuu kwa ajili ya kuchagua wabunge upya sio wanaokaa kuangalia nembo za taifa. Katb ya warioba ndio ilikuw mhogo mchungu kwao lakn wakaescape kiaina lakn xxa hv wabunge wengi wasingeweza kaliza miaka yao mitano kwny jimbo.
 

Bunge letu lao(cccm) limekuwa halina tofauti na msikiti au kanisa, limekuwa ni sehemu ya kusikilisa mahubiri ya cccm, kupongeza, kusifia na kusifu...from parliament to church la mungu mtu.
 
nadhan swala la bunge kuonyeshwa live sio hoja hapa mkuu nadhan na wewe ni mbunge wa bunge la tanzania ndio maana unatoka nje ya mada maana nikawaida kwa wabunge hawa.
Tena atakuwa anatokea chama cha makenikia.
 
Kwa bunge hili bora lisiwepo linatumia fedha zetu bure na sioni faida yoyote. Wamefikia wanaongelea mambo ya wigi ktk nembo ya taifa! Kweli? akili nyingine bora kwenda kulima matembele.
 
Sasa kama spika wa Bunge ajui kwamba Bunge ni muhimili unajitegemea unategemea nini nikutokujitambua tu kwa watanzania Spika wa Bunge ajui kwamba Bunge linabidi lisimamie serikali yeye kutwa kucha najipendekeza kwa serikali sasa hivi serikali ndo inasimamia Bunge
 
Bunge mahakama siku hizi mihimili ikijitambua kwamba ni mihimili iliyokamilika aitakiwi kupelekeshwa na mtu au watu flani basi Tanzania tutakua tumejikomboa
 
Hiki chombo ni mhimili muhum sana katika serikali.

Tukianza na Serikali haina shida
Mahakama haina tatizo

Shida ipo bunge

1. Chombo kinachotumia pesa nyingi bila tija.
2. Wahuni hujikusanya pale na kutudanganya.
3. Sekta nyingi muhimu zinahitaji pesa jeshi la kisasa, kukuza uchumi na elimu na kiteknolojia.
4. Hawa darasa la saba wanatuchezea akili zetu kwa kulipwa mishahara na kutembelea magari ya gharama.
5. Bunge liwe na wawakilishi waliopo katika ofisi ya DC na RC na madiwani na wenye viti wa vitongoji na vijiji.
RC na DC wawe wanagombea na si uteuzi. Kamati za bunge zitokane na timu ya kuanzia mwalimu hadi ngazi ya RC representative's.
Bunge pamekuwa sehemu ya kupata fedha zenye dhulma.

  1. Utalipajwe 10mil+?
  2. Who are you?
  3. Je Dr hana thamani?
  4. Mwl hana thamani?
Why
  • Bunge ni sehem ya kujitwalia pesa za burebure
  • Bunge pamekuwa na kupotezea wkt na hoja kichovu.

NB watakaokuwa wawakilishi wabunge wawe na elimu ya chuo na sio la saba.

Naomba kutoa hoja.
 
Humo bungeni la saba wapo wangapi!?
Mawaziri karibu wote wana masters na phd ukitoa nape 4m4 failure.
Waziri wa fedha na phd yake amefanya nini!?
Mtikila alisema tunawasomi wapumbavu(foolish)
 
Uwakilishi haihitaji elimu kubwa Kwa sababu jamii Kuna ambao hawana elimu ni wengi.pia kujua changamoto za kwenye jamii Yako hakuhitaji elimu ya PhD.Lakini Kwa aina ya bunge letu lilivyo hata likifutwa hakuna tatizo kabisa Kwa sababu
1.Bunge letu halina watu jasiri wakuhoji na kusimamia mapungufu ya serikali.bunge letu kibogoyo limekuwa la ndiyooooo.chochote kinacholetwa na serikali wao wanakubali hata kama Cha kipuuzi.Bunge limeshiriki kuuzwa Kwa bandari zetu,gesi ya mtwara,wamasai wamefukuzwa,wamepitisha tozo za simu Huku wao wakidai waongezwe mshahara kufikia milioni18 Kwa mwezi.Bunge la tz lifutwe.
 
Rekebisha heading hio,,nikajua bunge lifanyiwe partition
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…