Serikali ndio imefungua Kesi...Wasipomwachia watakula kichwa cha mama kama walivyokula cha Meko??
Kipindi kilichopita waliachiwa vipi? Kwa kesi ya uhujumu uchumi ukilipa hela wanayotaka unaachiwa, je hiyo ilikuwa sheria ipi?Amwachie kwa Sheria ipi?,mahakama ni muhimili waache ufanye kazi zake kwa uhuru
Mkuu hilo halijui kitu bora uliambie ukweli ni limbumbu fulaniTatizo mjadala kuvamiwa na mbumbumbu kama wewe. Kwani mahakama ndiyo imemfungulia kesi Mbowe? Na wao hawaiambii mahakama wanaiamnia Executive iliyo chini ya Rais kupitia DPP kuwa kesi yenu ni ya kijinga kwa nini mnaisumbua mahakama?
Toa kesi ya kijinga hiyo kama alivyotoa kesi zile za kina Rwegamalira za uhujumu wa kutunga.
Umeelewa wewe ngumbaru?
Nani kakudanganya ?Kivyovyote tuu, haikubaliki mkuu
Angalia wasije wakakupakua jombaa.!!Hao mashoga achana nao
Acha akili za kitumwa wewe, Nyerere angekucharaza bakaora kali sana kichwani mwako unaaibisha kazi aliyoifanya 9/12/1961.Wana familia nimewawekea clip ya walivyosema wafadhili wetu juu ya hali ya demokrasia hapa nchini.
View attachment 2030464
Hao hao ndiyo mnaenda kuwapigia magoti kuomba barakoaAcha akili za kitumwa wewe, Nyerere angekucharaza bakaora kali sana kichwani mwako unaaibisha kazi aliyoifanya 9/12/1961.
Kama unawapenda sana hao wazungu kalelewe na wewe kama Lisu na Lema.
Tumeyataka wenyeweUmoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.
============
View attachment 2030182
Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.
Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko.
Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito.
Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.
Msikilize huyu beberu mwenyeweSource ya info yako wapi tafadhali
Kwanini wewe upo kundi gani kati ya chato na mkojani?Hao mashoga achana nao
Leo unawaita shoga lkn siku mkihitaji barakoa mnawapigia magoti kuwaomba wawasaidie.Haha huyu Mbunge wa Bunge la Ulaya shoga ake Astedam[emoji1787] Naona wamemkumbuka Lissu[emoji2331]
Hamna jeuri ya kushindana na wafadhili wenu maana kila kitu mnatembeza bakuli kwaoAmwachie kwa Sheria ipi?,mahakama ni muhimili waache ufanye kazi zake kwa uhuru
Majuto ni mjukuuMama atazidi kuona kakabidhiwa janga..
Ndiyo maana Mungu aliwapa akili sana
Kwani wewe umewacha lini?Bunge la mashoga. Kwani hawajui kwamba tanzania ni nchi huru? Wajadili haki za binadamu ulaya ndio eneo lao. Wana mengi ya kujadili sio kujiingiza mambo ya nchi zingine.
Huyo kazi yake ni kupiga zumari tuTatizo mjadala kuvamiwa na mbumbumbu kama wewe. Kwani mahakama ndiyo imemfungulia kesi Mbowe? Na wao hawaiambii mahakama wanaiamnia Executive iliyo chini ya Rais kupitia DPP kuwa kesi yenu ni ya kijinga kwa nini mnaisumbua mahakama?
Toa kesi ya kijinga hiyo kama alivyotoa kesi zile za kina Rwegamalira za uhujumu wa kutunga.
Umeelewa wewe ngumbaru?
Kwani Saudia wao ni watembeza bakuli kama nyinyi?Wasiofahamu Siasa za kimataifa wanaona jambo kubwa sana na wengine wanahisi Tayari wanachukua Nchi
Magharibi wameishambulia sana Saudia kwny kadhia ya Mwandishi Khashoghi alieuwawa Ubalozi wa Saudia kule Uturuki
Lakin biashara na mambo mengine yanaendelea kama kawaida na hao Wazungu
Wazungu wanakuwa serious na Wewe ukiwakazia kwny mambo yao hizi zingine ni kitchen Talks tu
Sie tunaminya Demokrasia kuliko Rwanda na Uganda?