Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Mkuu hongera sana kwa kuliona ilo.shetani anatufanya wehu sana kwa kutupa vijikazi vya kipuuzi kuvijadiri ili tupoteze mda tu na kuacha kusali na kufanya mambo mengine ya maendeleo.ebu imagine nguvu watu wanayotumia kufukunyua mitandao cjui wanaingia adi kweny kumbukumbu za kanisa na pahala kibao.je effort io ingetumika kuwazia mambo ya maendeleo ingekuaje??

Kitabu cha Biblia kimeandika mambo mengi sana kumuhusu shetani na kazi zake na jinsi gani tuziepuke.. huwezi kulipinga hilo

IN RED
Mentor amesema tafuteni Ufalme wa Mungu kwanza wewe unasema Tofauti

Hivi Unafikiri kazi za Maendeleo hata Watu waovu hawawezi kuzileta? Hata shetani ndo ahadi yake kuu kwa Yesu alivyokuwa anamjaribu
 
Kitabu cha Biblia kimeandika mambo mengi sana kumuhusu shetani na kazi zake na jinsi gani tuziepuke.. huwezi kulipinga hilo

IN RED
Mentor amesema tafuteni Ufalme wa Mungu kwanza wewe unasema Tofauti

Hivi Unafikiri kazi za Maendeleo hata Watu waovu hawawezi kuzileta? Hata shetani ndo ahadi yake kuu kwa Yesu alivyokuwa anamjaribu

Tatizo me cojaona tija yoyote iliyojitokeza inayoonekana tangu haya masuala yaaanze kujadiliwa ktk mitandao mbalaimbalai ya kijamii na makongamano.cha zaidi nachokiona ni kutishana tu na kupelekea kuibuka wachungaji kibao wakitumia michoro na mambo kibao kupga sadaka na kisha kujikusanyia utajiri lakini mambo yanabaki vilevile.me naona ni mbinu za kumjaza binadamu woga aache kujadili mambo ya msingi na kujikuta anaweka efforts kubwa kujadili vitu vya kufikilika ambavyo havina mahusiano ya moja kwa moja na. Maisha take ya kila siku.
 
Tatizo me cojaona tija yoyote iliyojitokeza inayoonekana tangu haya masuala yaaanze kujadiliwa ktk mitandao mbalaimbalai ya kijamii na makongamano.cha zaidi nachokiona ni kutishana tu na kupelekea kuibuka wachungaji kibao wakitumia michoro na mambo kibao kupga sadaka na kisha kujikusanyia utajiri lakini mambo yanabaki vilevile.me naona ni mbinu za kumjaza binadamu woga aache kujadili mambo ya msingi na kujikuta anaweka efforts kubwa kujadili vitu vya kufikilika ambavyo havina mahusiano ya moja kwa moja na. Maisha take ya kila siku.

Unaamini Mungu?
 
Jisome hapo juu uone upeo wako wa kufikiri.

Sasa we hauko peke yako mkuu.
Asilimia 98.6% ya wagalatia wako km wewe.

Ndio maana sisi tunapata shida sana kuwasomesha.

Hivi kuna Ugumu gani wa wewe kwenda kusoma Quran kama nilivyokuambia...
 
Kwanza kabisa nawaomba wachangiaji wote wa mada hii kutunza heshima ya jukwaa.Kama unaona huna njia nzuri ya kuwakilisha upinzani wako kwa mada husika ni vema ukakaa kimya hadi pale utakapoona kichwa kimetulia,uje uchangie kwa ustaarabu.pili,ninaomba mods mtafute njia nzuri ya kutusaidia kuget rid of hawa watu wanaochafua mijadala makusudi ili ifungwe.hawapendi kinachozungumzwa ilhali wao hawana hoja za kuleta hapa zenye mashiko watu tukachangia matokeo yake huja humu na kutibuatibua tu ili mzifungie au kuzihamisha hizi mada,hivyo mnauingia mtego wao.hivi haiwezekani kufuta post?si sheria za jf haziruhusu lugha za kuudhi?mods tunaomba mlitazame hili.it seems kuna watu humu wanachafua mijadala makusudi ili ifutwe.
 
Kwanza kabisa nawaomba wachangiaji wote wa mada hii kutunza heshima ya jukwaa.Kama unaona huna njia nzuri ya kuwakilisha upinzani wako kwa mada husika ni vema ukakaa kimya hadi pale utakapoona kichwa kimetulia,uje uchangie kwa ustaarabu.pili,ninaomba mods mtafute njia nzuri ya kutusaidia kuget rid of hawa watu wanaochafua mijadala makusudi ili ifungwe.hawapendi kinachozungumzwa ilhali wao hawana hoja za kuleta hapa zenye mashiko watu tukachangia matokeo yake huja humu na kutibuatibua tu ili mzifungie au kuzihamisha hizi mada,hivyo mnauingia mtego wao.hivi haiwezekani kufuta post?si sheria za jf haziruhusu lugha za kuudhi?mods tunaomba mlitazame hili.it seems kuna watu humu wanachafua mijadala makusudi ili ifutwe.

Mkuu umesema kweli kabisa

Sijui mtu kinamkera nini kuacha kuchangia kama anaona mada haimuhusu si anapita tu?

Mods nao sijui wanakuwaje,mtu anaanzisha mada ambayo mtu anaweza kuchangia au kuiacha kama haimhusu,badala ya kutumia busara mtu anakuja na kuanza kuichafua makusudi kabisa sijui ni kwanini hawaziondoi hizi post ambazo mtu anakuja kufanya vurugu makusudi

Wakati mwingine nahisi nao wanakuwa wana ile roho ambayo tunaiweka wazi hapa!
 
We jini maimuna toka kwa Jina la Yesu

pata darsa dogo kisha ujibu swali hapo chini:

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina. Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi: "Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.Mathayo 7.6
Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu. Kama asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake Guide to the Bible (Uwongozi kwa Biblia):
"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wnaokusudiwa katika mstari huu? Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Kutokana na Biblia, na kama isemavyo hapo juu, Jee, wewe ni mbwa au nguruwe uliyeitwa na Yesu? maana katika ukondoo haupo.
Pedagogist at Heart.
 
Back
Top Bottom