Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Ok Eiyer nimekuelewa.Kwa hiyo wewe doubt yako ni pale kwenye Daniel,kwamba Rumi haipo.Labda tujiulize kidogo,ni sifa gani zilitumika kuziingiza falme katika unabii wa Sanamu?Falme ni nyingi duniani,lakini pale tumepewa tano tu,which means kwamba kuna sifa maalum zilizotumika kuchuja wengine wote na kupata falme hizo tano.Then baada ya hapo tutazame katika historia kama vimeshakuwepo vitu vyenye sifa hizo au bado.Then tujadili hawa wanyama na Mungu atuongoze.

Rumi ipo kwa maana hizo Falme kulingana na wale Wanyama au tukirudi katika ile mfuatano wa ile sanamu ina maana zilikuwa zikienda kwa kupokezana na historia inaonyesha baada ya Ugiriki ilifuatia Rumi, na kipindi cha Yesu Rumi ndio iliyokuwa ikitawala... kwa hiyo sifa kubwa ilikuwa ni ile trend ya mfuatano wa zile Falme ndio maana huwezi iweka Ottoman hapo au Falme nyingine...
 
Mkuu,zipo harakati za kuunganisha dini.Mojawapo ya institutions zinazotumika kwa suala hilo ni World Council of Churches WCC.Kapitie hayo mkuu.Na haya ni marejeo ya jambo ambalo lilishawahi kufanyika.Himaya ya Rumi katika historia yake imeua wakristo wengi sana.Kwa sababu wafalme wa Rumi walitaka system moja,huku wakiabudiwa wao pia,contrary to Christian beliefs,pakawa na mvutano,wakristo wakauawa sana na maemperors akina Hadrian,Nero etc.Pale political leaders wanapotaka kila kitu kifanyike kwa maslahi yao,ndipo hali kama hizi hutokea.Tutazame kwa kina ni sura gani hii system itachukua,kwa mazingira nionayo,nadhani itakuwa official,sio siri,tena inaleta mantiki kutokana na source ya tatizo,vita kati ya Mungu na shetani,mwishowe shetani atajifunua.Kama leo ipo satanic worshipping,basi sio ajabu ikikubalika na wengi ikawa rasmi,na ushahidi upo,kwamba katika historia ya dunia maeneo fulani,watu waliabudu hizi dini kwa wazi bila kificho,mfano ni kule Babylon.
Mkuu mbona una madini hivi halafu kule kwenye ule uzi chini sikuoni sana!?
 
Mkuu unajua nyakati za kale ni tofauti na sasa,ustaarabu ulivyokuwa wakati ule ni tofauti na sasa,naamini kama baadhi ya dini zilizoko leo zingekuwa zinaanzishwa leo zisingekuwepo na wala zisingeruhusiwa kuwepo,lakini zamani iliwezekana kwasababu ya ustaarabu ulivyokuwa wakati ule,uliruhusu haya

Lakini leo mkuu ni vigumu sana,kama maelezo yako yako sahihi basi muda bado ni mrefu sana hadi yaje yatimie kwani leo hii ukisema mtu fulani anamuabudu shetani anaweza kutengwa na jumuia karibia yote

Lakini watu wanamuabudu shetani bila wao kujua na nadhani mbinu hii ndio itakayofanya kazi,na nadhani lile neno la siri kwenye paji la uso wa mwanamke aliye juu ya mnyama lina maana hiyo

Sijui ila nadhani ni hiyo mkuu!

Mkuu,si zamani sana,ni miaka ya 90's tu sikuwahi kufikiri kuwa kuna siku kanisa litasimika askofu shoga,leo hii vipi?sikuwahi kufikiri kuna siku nitasikia nchi ya kiafrika ikiwekewa vikwazo kwa kukataa ushoga.Leo hii vipi?Sikuwahi kufikiri,kuna siku nitakuwa na mijadala mingi kumshawishi mtu aamini uwepo wa Mungu kama humu jf.Leo hii vipi?Sikuwahi kufikiri kuna siku ntashuhudia haya nishuhudiayo middle east,africa,n.k mauaji,vita,njaa,magonjwa.Sikuwahi kufikiri wala kuamini kuwa ipo siku ntashuhudia mmomonyoko wa maadili kwenye jamii kama leo hii.Mwaka jana nilikuwa na project fulani iliyonikutanisha na vijana wengi teenagers from 14 to 19.Mkuu,hali inatisha.sijui hawa wakifika umri wetu kuiendesha hii dunia hali itakuwaje.Juzi tu nilialikwa semina fulani ya wanafunzi kutoka mataifa mbalimbali,mada mojawapo ni kuwafundisha kuvumiliana na kuheshimu watu wote,including gays.Na umeipata kashfa iliyotokea kwa makasisi wakatoliki ulaya na Marekani.Maana yake jamii imeoza to the core,wala hatapata shida huyo atakayeamua kuyaweka rasmi hadharani haya maovu.Kizazi nikionacho huku chini,ni kizazi cha mpinga kristo,nazungumza hili kwa ujasiri kabisa tena hapa hadharani mkuu.Hata hivyo,ukitazama ule Ufunuo wa 666,kwamba hakuna kununua wala kuuza,do you really think itakuwa mazingira ya usiri kweli?!
 
Rumi ipo kwa maana hizo Falme kulingana na wale Wanyama au tukirudi katika ile mfuatano wa ile sanamu ina maana zilikuwa zikienda kwa kupokezana na historia inaonyesha baada ya Ugiriki ilifuatia Rumi, na kipindi cha Yesu Rumi ndio iliyokuwa ikitawala... kwa hiyo sifa kubwa ilikuwa ni ile trend ya mfuatano wa zile Falme ndio maana huwezi iweka Ottoman hapo au Falme nyingine...

Mkuu,haya mambo nashindwa kuyaelewa kwa kiasi ambacho nyie mnayaelewa

Ni kwanini Danieli aliona wanyama wawili tu ambao waliwakilisha falme mbili tu kama Rumi ilikuwa na umuhimu ambao tunauona hapa?

Kitu kingine ambacho kinanishangaza ni kuwa,Danieli aliona falme ambazo zilikuja kutawala na aliambiwa kuwa hayo ni ya wakati wa mwisho [Danieli 8] kweli kabisa mkuu iliwezekanaje kushindwa kuona mnyama aliyeiwakilisha Rumi hapo kwenye Danieli 8?

Mkuu sijui ni kwanini hili linanisumbua sana kichwani,lakini huenda kuna sababu ...!!
 
Mkuu,si zamani sana,ni miaka ya 90's tu sikuwahi kufikiri kuwa kuna siku kanisa litasimika askofu shoga,leo hii vipi?sikuwahi kufikiri kuna siku nitasikia nchi ya kiafrika ikiwekewa vikwazo kwa kukataa ushoga.Leo hii vipi?Sikuwahi kufikiri,kuna siku nitakuwa na mijadala mingi kumshawishi mtu aamini uwepo wa Mungu kama humu jf.Leo hii vipi?Sikuwahi kufikiri kuna siku ntashuhudia haya nishuhudiayo middle east,africa,n.k mauaji,vita,njaa,magonjwa.Sikuwahi kufikiri wala kuamini kuwa ipo siku ntashuhudia mmomonyoko wa maadili kwenye jamii kama leo hii.Mwaka jana nilikuwa na project fulani iliyonikutanisha na vijana wengi teenagers from 14 to 19.Mkuu,hali inatisha.sijui hawa wakifika umri wetu kuiendesha hii dunia hali itakuwaje.Juzi tu nilialikwa semina fulani ya wanafunzi kutoka mataifa mbalimbali,mada mojawapo ni kuwafundisha kuvumiliana na kuheshimu watu wote,including gays.Na umeipata kashfa iliyotokea kwa makasisi wakatoliki ulaya na Marekani.Maana yake jamii imeoza to the core,wala hatapata shida huyo atakayeamua kuyaweka rasmi hadharani haya maovu.Kizazi nikionacho huku chini,ni kizazi cha mpinga kristo,nazungumza hili kwa ujasiri kabisa tena hapa hadharani mkuu.Hata hivyo,ukitazama ule Ufunuo wa 666,kwamba hakuna kununua wala kuuza,do you really think itakuwa mazingira ya usiri kweli?!

Umeongea mambo ya maana sana na nikiyakataa nitakuwa sina maana......

Pamoja na hayo kama ni hivyo wewe unadhani itachukua muda gani hadi tufikie kwenye kilele kabisa?
 
Umeongea mambo ya maana sana na nikiyakataa nitakuwa sina maana......

Pamoja na hayo kama ni hivyo wewe unadhani itachukua muda gani hadi tufikie kwenye kilele kabisa?

Turudi kwenye imani yetu mie na wewe,wafuasi wa Bwana Yesu.Alituambiaje?kwa mtini jifunzeni...maana yake tutazame ishara ambazo unabii umetuachia.Ni kosa la jinai kutumia muda ili kujua unabii wa biblia unless bible yenyewe imetaka hivyo.Hivyo tuitazame dunia,tuwe wachunguzi tukioanisha mambo na unabii ili kuona kama ishara tulizoambiwa zinaonekana.Ndio maana ni muhimu kujua tafsiri sahihi ya Neno la Mungu.Kwa mfano eiyer,hivi chukizo la uharibifu ni kitu gani?mkuu wa chuo,unaelewaje hiyo kitu,abomination of desolation?
 
Turudi kwenye imani yetu mie na wewe,wafuasi wa Bwana Yesu.Alituambiaje?kwa mtini jifunzeni...maana yake tutazame ishara ambazo unabii umetuachia.Ni kosa la jinai kutumia muda ili kujua unabii wa biblia unless bible yenyewe imetaka hivyo.Hivyo tuitazame dunia,tuwe wachunguzi tukioanisha mambo na unabii ili kuona kama ishara tulizoambiwa zinaonekana.Ndio maana ni muhimu kujua tafsiri sahihi ya Neno la Mungu.Kwa mfano eiyer,hivi chukizo la uharibifu ni kitu gani?mkuu wa chuo,unaelewaje hiyo kitu,abomination of desolation?

Mkuu chukizo la uharibifu hapo naona ni lile ambalo limenenwa na nabii Danieli

Kama ni hivyo basi,hapa hadi hekalu lijengwe tena ....
Mkuu wa chuo ...!!
 
Last edited by a moderator:
Lakini mkuu ungemjibu tu maswali yake badala ya kumshambulia yeye na kitabu chake na pengine imani yake. Inawezekana akawa hajui lakini usingemshambulia. We muonyeshe tu kuwa huyo ndo yule mnyama aliesemwa ktk Ufunuo 17:3 kwamba mnyama huyo ana vichwa 7 na mapembe 10 au labda hiyo sanamu inamuwakilisha huyo mnyama. Tueleweshe mkuu inawezekana wewe ni mmoja wa mitume mlioshushiwa ufahamu wa mambo ya bibilia na habari ya wakati ujao.

Unawajua Vizuri hao jamaa??
 
Labda nikuulize pia,Mwanamke ni nini katika unabii wa biblia?kwa nini alitumika mwanamke pale juu ya mnyama mwekundu?

Nadhani tafsiri ya Mwanamke aliitoa malaika mwenyewe kwamba ni MJI MKUU kwenye Ufunuo 17
 
Turudi kwenye imani yetu mie na wewe,wafuasi wa Bwana Yesu.Alituambiaje?kwa mtini jifunzeni...maana yake tutazame ishara ambazo unabii umetuachia.Ni kosa la jinai kutumia muda ili kujua unabii wa biblia unless bible yenyewe imetaka hivyo.Hivyo tuitazame dunia,tuwe wachunguzi tukioanisha mambo na unabii ili kuona kama ishara tulizoambiwa zinaonekana.Ndio maana ni muhimu kujua tafsiri sahihi ya Neno la Mungu.Kwa mfano eiyer,hivi chukizo la uharibifu ni kitu gani?mkuu wa chuo,unaelewaje hiyo kitu,abomination of desolation?

Chukizo la uharibifu ni kile kitendo cha Mpinga kristo kukaa ndani ya Hekalu la Mungu na kufanya yale mambo yake...

2 Wathesalonike 2:4 yule mpingamizi, ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu.
 
Mkuu mbona una madini hivi halafu kule kwenye ule uzi chini sikuoni sana!?

Mkuu,kile kichwa cha habari kinanipa shida.Halafu nimekumbuka swali kila siku nataka kuwauliza wakuu,hivi mpinga kristo ni nani,ni yule mnyama aliyebeba mwanamke,au mwanamke aliyebebwa?je,kuna connection kati ya mnyama yule no 666 anayewapiga chapa watu na huyu aliyebeba mwanamke pamoja na mwanamke mwenyewe?
 
Mkuu chukizo la uharibifu hapo naona ni lile ambalo limenenwa na nabii Danieli

Kama ni hivyo basi,hapa hadi hekalu lijengwe tena ....
Mkuu wa chuo ...!!
Halafu chukizo la uharibifu ni baada ya mpinga kristo kufanya agano na Wayahudi, kwa juma moja yaani ile miaka saba kati kati ya juma atavunja agano ndipo chukizo la uharibifu litakaposimama

Chukizo la uharibifu ni msemo wa Kiyahudi una maana ya kukufuru au kunajisi patakatifu pa hekalu...
 
Chukizo la uharibifu ni kile kitendo cha Mpinga kristo kukaa ndani ya Hekalu la Mungu na kufanya yale mambo yake...

2 Wathesalonike 2:4 yule mpingamizi, ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu.

Ok.niliuliza purposely kwa sababu hilo tukio ni one of the signs.nadhani wakuu iko haja kuweka mlolongo au timeline ya matukio makuu ambayo unabii umeyaeleza kama ishara ya kuelekea ule mwisho
 
Mkuu,kile kichwa cha habari kinanipa shida.Halafu nimekumbuka swali kila siku nataka kuwauliza wakuu,hivi mpinga kristo ni nani,ni yule mnyama aliyebeba mwanamke,au mwanamke aliyebebwa?je,kuna connection kati ya mnyama yule no 666 anayewapiga chapa watu na huyu aliyebeba mwanamke pamoja na mwanamke mwenyewe?

Yeah ni Yule mnyama aliyebeba mwanamke ndio mpinga kristo mwenye vichwa saba na pembe kumi, kile kichwa cha habari kisikuogopeshe mkuu... Yeah connection ipo, yule mnyama anaye sababisha watu kupigwa namba 666 ni nabii wa uongo, ukienda Ufunuo 13 imeelezwa vizuri, Mwanamke yule ni Kahaba, kwenye paji la uso wake kuna BABELI MKUU MAMA WA MAKAHABA huyo mwanamke pia anaweza akawa anawakilisha system fulani hivi ya dini mfano wa Babeli, pia huyo mwanamke ni mji, nikikaa vyema ninaweza kuja kuichambua Ufunuo 17 kule chini...
 
Nipo makini kufatilia hatua kwa hatua
lakini kuna mdau kasema Mungu hana dini,hili linanipa wakati mgumu kuamini.
Binafs Kupitia maandiko matakatifu naona kabisa kupitia nabii Musa,kupitia Yesu kirsto na manabii wengine Mungu alijitambulisha vyema kwa mwanadamu,
Yesu kirsto alikuja kuingunisha mwanadamu aliyejitenga na MUNGU
NIPO TAYARI KUKOSOLEWA
ila naamini kabisa kuputia agano la kale na agano jipya,Mungu katuelekeza dini ya kufuata
 
Back
Top Bottom