Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Nipo makini kufatilia hatua kwa hatua
lakini kuna mdau kasema Mungu hana dini,hili linanipa wakati mgumu kuamini.
Binafs Kupitia maandiko matakatifu naona kabisa kupitia nabii Musa,kupitia Yesu kirsto na manabii wengine Mungu alijitambulisha vyema kwa mwanadamu,
Yesu kirsto alikuja kuingunisha mwanadamu aliyejitenga na MUNGU
NIPO TAYARI KUKOSOLEWA
ila naamini kabisa kuputia agano la kale na agano jipya,Mungu katuelekeza dini ya kufuata

Labda tungejaribu kudadavua maana ya dini.Halafu tutazame kama ni lazima dini na imani kuwa kitu kimoja.
 
Mkuu,haya mambo nashindwa kuyaelewa kwa kiasi ambacho nyie mnayaelewa

Ni kwanini Danieli aliona wanyama wawili tu ambao waliwakilisha falme mbili tu kama Rumi ilikuwa na umuhimu ambao tunauona hapa?

Kitu kingine ambacho kinanishangaza ni kuwa,Danieli aliona falme ambazo zilikuja kutawala na aliambiwa kuwa hayo ni ya wakati wa mwisho [Danieli 8] kweli kabisa mkuu iliwezekanaje kushindwa kuona mnyama aliyeiwakilisha Rumi hapo kwenye Danieli 8?

Mkuu sijui ni kwanini hili linanisumbua sana kichwani,lakini huenda kuna sababu ...!!

Ukirudi katika Daniel 9:26 kuna habari za Rumi pale, kwasababu imeandikwa watu wa mkuu atakayekuja na ukiona yule mkuu alichomokea kwenye yule mnyama wa nne, mkuu atakayekuja ni mpinga kristo, na Warumi waliuangamiza mji wa Yerusalem mwaka 70 AD...

Pia tukirudi Ufunuo 13 ndio maana tunaona yule mnyama akiwa ana sifa za Falme tatu zile zilizopita inawezekana pia kukawa na mchanganyiko inabidi kuonganisha dots kwa sababu mnyama pia anaonekana na sifa nyingi nyingi...

Halafu pia kutokana na trends ya yale matukio na jinsi yalivyokuwa yanafuatana kwa series, ilitoka Dhahabu ikafuata Fedha halafu shaba halafu chuma inamaana ilikuwa pia hivi Babeli, Umedi na Uajemi, Uyunani halafu Rumi kufuatana na historia vivyo hivyo kwa wanyama...
 
Lakini mkuu ungemjibu tu maswali yake badala ya kumshambulia yeye na kitabu chake na pengine imani yake. Inawezekana akawa hajui lakini usingemshambulia. We muonyeshe tu kuwa huyo ndo yule mnyama aliesemwa ktk Ufunuo 17:3 kwamba mnyama huyo ana vichwa 7 na mapembe 10 au labda hiyo sanamu inamuwakilisha huyo mnyama. Tueleweshe mkuu inawezekana wewe ni mmoja wa mitume mlioshushiwa ufahamu wa mambo ya bibilia na habari ya wakati ujao.

Asante Mkuu, next time I will use your way of thinking na kumjibu huyo dada
 
wewe shetani uliye ndani achakufundisha injili feki

Naam, hicho ndicho tusemacho Waislam siku zote, hii injili mnayofundishwa ni feki, maana haiwezekani Yesu aleyhi salaam, awaite wayahudi kondoo na wewe usiye Myahudi akuite mbwa na nguruwe. Sisi haituingii akilini kama ambavyo haikuingii wewe unaeiona kuwa ni injili feki.

Sasa wewe weka hiyo mistari kutoka injili yako ambayo si feki na ukishindwa ujuwe huo wa u feki ndio ukweli wenyewe.

Hapo sasa!
 
Nipo makini kufatilia hatua kwa hatua
lakini kuna mdau kasema Mungu hana dini,hili linanipa wakati mgumu kuamini.
Binafs Kupitia maandiko matakatifu naona kabisa kupitia nabii Musa,kupitia Yesu kirsto na manabii wengine Mungu alijitambulisha vyema kwa mwanadamu,
Yesu kirsto alikuja kuingunisha mwanadamu aliyejitenga na MUNGU
NIPO TAYARI KUKOSOLEWA
ila naamini kabisa kuputia agano la kale na agano jipya,Mungu katuelekeza dini ya kufuata

Kama Mungu aliwaelekeza wanadamu dini ya kufuata basi hiyo dini itakuwa ni kwaajili ya wanadamu na sio Mungu

Dini maana yake ni njia ya mwadamu kumtafuta Mungu

Sasa Mungu akiwa na dini itakuwa ya kumtafuta nani?
 
Ukirudi katika Daniel 9:26 kuna habari za Rumi pale, kwasababu imeandikwa watu wa mkuu atakayekuja na ukiona yule mkuu alichomokea kwenye yule mnyama wa nne, mkuu atakayekuja ni mpinga kristo, na Warumi waliuangamiza mji wa Yerusalem mwaka 70 AD...
Mkuu hebu rudia kuisoma hii sentensi yako uone kama iko sahihi
Pia tukirudi Ufunuo 13 ndio maana tunaona yule mnyama akiwa ana sifa za Falme tatu zile zilizopita inawezekana pia kukawa na mchanganyiko inabidi kuonganisha dots kwa sababu mnyama pia anaonekana na sifa nyingi nyingi...

Halafu pia kutokana na trends ya yale matukio na jinsi yalivyokuwa yanafuatana kwa series, ilitoka Dhahabu ikafuata Fedha halafu shaba halafu chuma inamaana ilikuwa pia hivi Babeli, Umedi na Uajemi, Uyunani halafu Rumi kufuatana na historia vivyo hivyo kwa wanyama...

Mkuu,kwa umuhimu ambao Rumi inapewa leo kwenye huu unabii,sidhani kama ingekuwa hivyo kwenye unabii [kimaandiko] isingetajwa kwa uwazi kama ilivyokuwa kwa Umedi na Uajemi na Uyunani

Bado siioni Rumi kwenye huu unabii ....!!
 
Naam, hicho ndicho tusemacho Waislam siku zote, hii injili mnayofundishwa ni feki, maana haiwezekani Yesu aleyhi salaa, awaite wayahudi kondoo na wewe usiye Myahudi akuite mbwa na nguruwe. Sisi haituingii akilini kama ambavyo haikuingii wewe unaeiona kuwa ni injili feki.

Sasa wewe weka hiyo mistari kutoka injili yako ambayo si feki na ukishindwa ujuwe huo wa u feki ndio ukweli wenyewe.

Hapo sasa!

Tumekusikia mama ....!!
 
Mkuu hebu rudia kuisoma hii sentensi yako uone kama iko sahihi
Daniel 9:26 Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.

Mkuu zingatia hapo nilipopiga mstari, hayo yalitendeka mwaka 70 AD baada ya Warumi kufanya hivyo...

Je mkuu anayeongelewa hapo ni nani!? tuangalie Daniel 7:8

Daniel 7:8 Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang'olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu.

Kwa hiyo kumbe mkuu ni pembe ndogo katika yule mnyama wa nne, na watu wa mkuu automatically ni watu wa huo Ufalme ambaye ni mnyama wa nne, sasa huo Ufalme utakuwa ni nini, kama sio Rumi!? maana tumeona ya kwamba Warumi ndio walifanya hivyo...
Mkuu,kwa umuhimu ambao Rumi inapewa leo kwenye huu unabii,sidhani kama ingekuwa hivyo kwenye unabii [kimaandiko] isingetajwa kwa uwazi kama ilivyokuwa kwa Umedi na Uajemi na Uyunani

Bado siioni Rumi kwenye huu unabii ....!!
Kwa hiyo mkuu mnyama wa nne unafikiri ni nani kwa mtazamo wako!? na ile miguu ya chuma ni nini mkuu kwa mtazamo wako!? Halafu kumbuka mkuu katika Falme Rumi imetawala muda mrefu zaidi, pia Rumi imefanya mambo sana...
 
Daniel 9:26 Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.

Mkuu zingatia hapo nilipopiga mstari, hayo yalitendeka mwaka 70 AD baada ya Warumi kufanya hivyo...

Je mkuu anayeongelewa hapo ni nani!? tuangalie Daniel 7:8

Daniel 7:8 Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang'olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu.

Kwa hiyo kumbe mkuu ni pembe ndogo katika yule mnyama wa nne, na watu wa mkuu automatically ni watu wa huo Ufalme ambaye ni mnyama wa nne, sasa huo Ufalme utakuwa ni nini, kama sio Rumi!? maana tumeona ya kwamba Warumi ndio walifanya hivyo...
Mkuu,tatizo nililoliona kwenye maelezo yako yaliyopita ni kuwa,umesema kuwa watu wa mkuu atakaekuja ni Rumi,ngoja niseme kile ambacho nakiona hapo

Wakati masihi anakatiliwa mbali ilikuwa ni wakati wa utawala wa Rumi,sasa huyo mkuu aliyesemwa ni nani?
Je ni mfalme wa Rumi aliyefuata au ni Mpinga Kristo?

Hebu nijibu kwanza hapo ili niweke mambo sawa kwenye kichwa changu
Kwa hiyo mkuu mnyama wa nne unafikiri ni nani kwa mtazamo wako!? na ile miguu ya chuma ni nini mkuu kwa mtazamo wako!? Halafu kumbuka mkuu katika Falme Rumi imetawala muda mrefu zaidi, pia Rumi imefanya mambo sana...
Danieli hakupewa description na pia hakutajiwa kwa jina ili tuweze kumjua kwa urahisi

Kwenye hayo inayodaiwa kufanya ndipo maswali yangu yanapokuja,ni kwanini haukutajwa kwa uwazi kama ilivyokuwa kwa Babeli,Uyunani na Umedi na Uajemi?
 
Mkuu,tatizo nililoliona kwenye maelezo yako yaliyopita ni kuwa,umesema kuwa watu wa mkuu atakaekuja ni Rumi,ngoja niseme kile ambacho nakiona hapo

Wakati masihi anakatiliwa mbali ilikuwa ni wakati wa utawala wa Rumi,sasa huyo mkuu aliyesemwa ni nani?
Je ni mfalme wa Rumi aliyefuata au ni Mpinga Kristo?

Hebu nijibu kwanza hapo ili niweke mambo sawa kwenye kichwa changu
Mara ya kwanza hukuyaelewa maelezo yangu ila kwa sasa natumai umeyapata fresh, huyo mkuu Automatically ni Mpinga kristo kwasababu katika Daniel 9:27 ndio anaonekana atafanya agano na Wayahudi na fungu la 27 ndio lile juma la 70 la Daniel yaani ile miaka 7 ya mwisho kwa hiyo siyo mfalme wa Rumi, halafu kuna resume kati ya juma la 69 na 70 kwa hiyo juma la 70 bado halijatimia, majuma 69 yote yamekwisha timia...

kwa hiyo sio mfalme wa Rumi wa kipindi hicho...

Danieli hakupewa description na pia hakutajiwa kwa jina ili tuweze kumjua kwa urahisi

Kwenye hayo inayodaiwa kufanya ndipo maswali yangu yanapokuja,ni kwanini haukutajwa kwa uwazi kama ilivyokuwa kwa Babeli,Uyunani na Umedi na Uajemi?
Sasa hapo swali linabaki kwanini hakutajwa kwa jina, Ila kwa mtiririko anaingia yeye, kwasababu mkuu unatakiwa ujiulize tena kwa nini huyo mnyama wa nne hakutajwa kwa jina!?

Lakini pia hizo falme zilikuwa zinaenda kwa series

Daniel 2:40 Na ufalme wa nne utakuwa na nguvu mfano wa chuma; kwa maana chuma huvunja vitu vyote na kuvishinda; na kama chuma kisetavyo vitu hivi vyote, ndivyo utakavyovunja-vunja na kuseta.
 
Mkuu,tatizo nililoliona kwenye maelezo yako yaliyopita ni kuwa,umesema kuwa watu wa mkuu atakaekuja ni Rumi,ngoja niseme kile ambacho nakiona hapo

Wakati masihi anakatiliwa mbali ilikuwa ni wakati wa utawala wa Rumi,sasa huyo mkuu aliyesemwa ni nani?
Je ni mfalme wa Rumi aliyefuata au ni Mpinga Kristo?

Hebu nijibu kwanza hapo ili niweke mambo sawa kwenye kichwa changu

"Na watu wa mfalme atakayekuja watauangamiza Mji mtakatifu..."

Mkuu Eiyer kulingana na mimi nilivyoelewa...hapo nadhani ni jeshi la mfalme wa rumi aliyekuwepo ndiye aliyezungumziwa hapo baada ya Yesu kristo kukataliwa. Yaani yule aliyeliongoza jeshi kwenda kuuharibu mji mwaka 70AD.

Danieli hakupewa description na pia hakutajiwa kwa jina ili tuweze kumjua kwa urahisi

Kwenye hayo inayodaiwa kufanya ndipo maswali yangu yanapokuja,ni kwanini haukutajwa kwa uwazi kama ilivyokuwa kwa Babeli,Uyunani na Umedi na Uajemi?

Mkuu kutajwa kwa uwazi naona Hata Mungu si Mpango wake maana kama ingekuwa hvyo tusingekuwa tunaangaika kumtafuta Mpinga Kristo kule kwenye Hoja yetu jukwaa la Dini..

Ni madhumuni ya Mungu mwenyewe na Mpango wake mwenyewe kificha mambo na hilo lilionekana hata kwa Yesu mwenyewe kuongea kwa Mifano...

Hata wayahudi hawakuambiwa kwa Uwazi kwamba Masihi atazaliwaje mpaka leo hawajui jinsi gani masihi atakuja...
 
Last edited by a moderator:
Mara ya kwanza hukuyaelewa maelezo yangu ila kwa sasa natumai umeyapata fresh, huyo mkuu Automatically ni Mpinga kristo kwasababu katika Daniel 9:27 ndio anaonekana atafanya agano na Wayahudi na fungu la 27 ndio lile juma la 70 la Daniel yaani ile miaka 7 ya mwisho kwa hiyo siyo mfalme wa Rumi, halafu kuna resume kati ya juma la 69 na 70 kwa hiyo juma la 70 bado halijatimia, majuma 69 yote yamekwisha timia...

kwa hiyo sio mfalme wa Rumi wa kipindi hicho...

Sasa mkuu wa chuo huyo jamaa atakuwa nani?.... maana Daniel 9 hapo inaonyesha kwamba mkuu atakuja na kuuharibu mji.. Halafu mwenyewe umesema kuwa lilitimia 70AD
 
Halafu chukizo la uharibifu ni baada ya mpinga kristo kufanya agano na Wayahudi, kwa juma moja yaani ile miaka saba kati kati ya juma atavunja agano ndipo chukizo la uharibifu litakaposimama

Chukizo la uharibifu ni msemo wa Kiyahudi una maana ya kukufuru au kunajisi patakatifu pa hekalu...

Sawa mkuu wa chuo naona nimepata maana kamili ya chukizo haribifu..

Je hekalu la Mungu hapa Duniani ambalo atakaa huyo Mpinga Kristo lipo Yerusalem au ni mahali popote wakristo walipokusanyika?
 
Back
Top Bottom